From the green world to a black world

Sasa nachambua jibu lako la kwanza. Kwanza umehusisha Imani na Uongo. Sababu kinyume cha ukweli ni uongo na hakuna kilicho baina ya viwili hivyo isipokuwa ni UTATA,na sisi jambo lenye utata salama huwa ni kutoshughulika nalo.

Sababu umekiri mwenyewe ya kuwa wewe huwa una amini katika hidden doctrines ambazo huwa ziko kinyume na ule ukweli uliowekwa kwenye jamii,bila shaka wewe huwa unaelezea watu mambo ya uongo,na kwanini umeamua kuwa muongo ? Kama ukikataa kama wewe sio muongo unatakiwa uikane hiyo kauli yako na ututhibitishie ya kuwa hayo unayo yasema ni ya kweli.

Nipo ...
Unataka niamini kama ulivyokalilishwa wew ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka niamini kama ulivyokalilishwa wew ??

Sent using Jamii Forums mobile app


Sio "Kalilishwa" sahihi ni "Karirishwa".

Kuamini kama ninavyoamini mimi sio kazi yangu na wala sishughuliki na hilo.

La msingi hapa ni kujenga hoja na kujibu hoja,sababu tumepewa neema ya akili ukweli utajulikana,kisha inakuwa ni maamuzi yako kuuchukua au kuuacha.

Sasa tuendelee kujadili hili kama ulivyotaka huko awali na mimi nikakubaliana na maoni yako.

Nikikosea popote na lolote nisahihishwe na mimi hupenda kusahihishwa na huwa nakiri pale nilipokosea,sababu elimu ni amana na kawaida ya amana huwa inarudishwa kwa watu wake.

Tuendelee ....
 
Unataka niamini kama ulivyokalilishwa wew ??

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimekuja kutimiza ahadi niliyo kuahidi.

Yale maswali mawili niliyo kuuliza pale awali ningeulizwa mimi ningekujibu hivi.

Swali la kwanza.
Huwa natumia ufunuo (Qur'an na Hadithi za mtume kuujua ukweli). Hii ni kwasababu akili iliyo salama haikanushi ufunuo.

Pia,huwa nakaa na wakweli ili kuujua ukweli ni upi.

Kadhalika huwa natumia elimu ya uhakiki habari kujua ipi habari ya kweli na ipi habari ya uongo na ipi ya kuchukua na ipi ya kuacha.

Swali la pili.
Ni njia mbili tu ambazo huwa tunatumia kupata Elimu/Maarifa,nazo ni (a) Milango ya fahamu na akili, (b) Ufunuo

Ama kwa milango ya fahamu leo hii najua hiki ni kiti na kile ni kiti,huyu ni mtu na yule ni mtu,hii rangi ya blue na ile ya njano. Pia kwa akili tunajua lipi baya na lipi zuri kadhalika tunajua vitu viwili vyenye kufanana na cha tatu bila shaka vitatu hivyo ni sawa. Kwa akili na milango ya fahamu tunajua ya kuwa moja ukiongeza moja unapata mbili,elimu hii haitaki ushahidi wowote.

Ama kuhusu ufunuo sasa,hii ni njia au chanzo cha elimu iliyofichikana kwetu sisi bunadamu,elimu hii walipewa mitume na manbii kuja kujibu yale maswali ambayo ile njia ya kwanza imeshindwa kujibu. Njia hii haina shaka ndani yake kwani imejibu suapa la kifo,mambo yajayo na mfano wake na elimu hii imeelezea chanzo cha ulimwengu,uhai na uumbaji. Elimu hii imejibu kwanini kunatokea majanga hapa duniani,kwanini kuna maradhi na mengine mengi.
 
Huu ni mwanzo mzuri. Kwanza sijauliza kwa mtindo huo unao usema wewe sababu swali langu liko wazi sana.

Nacho jua mimi ni kuwa hakuna kiumbe chini ya jua anaejua kila kitu,hili halihitaji ushahidi wa kutumia akili sana sanjari na nguvu kiasi.

Nina fahamu machache kuhusu Teachings.

Ila hili zingatia. Umeniuliza maswali yako nimekujibu,naomba sana nikikuuliza maswali yangu unijibu pia.



Nina maswali mawili kwako

1. Huwa unatumia nyenzo gani kuujua ukweli ?

2. Kuna vyanzo vingapi vya ELIMU vya mwanadamu ?

Nipo ...
Tofautisha kati ya uwongo na ukweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
thats true....human mind inaenda kusynchronize na mashine....

Kama tulivyoona huko Tokyo Japan kuwa tayari wanatengenezwa mainjinia ambao wamepandikizwa neural directive devices ambazo zinamwongoza kuelekeza watu namna ya kujenga tower na majengo makubwa yenye construction tata zaidi...

Any way wanaonekana binadamu na ngozi zao lakini mindly not....

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nashangaaa kitu kimoja...kuna watu wanadai wapo free ,yani hawapoaffected na maisha haya ya new error za civilization...ukimuliza umejuaje kama upo free na unapinga kuwa kwenye system controller hajui...


Unatumia kigezo gani kusema kuwa ustaarabu huu haukuharibu au haukuaffect....??

indicator zipi ...??


kama kila kitu unachotumia kinatengenezwa na wao,vyakula na mambo yote wanakupangia wao...

everything they control themselves...sasa huko kusema upo free unatumia kigezo gani...??

daaaah...elimu ni kitu kikubwa sana ambacho tunakosa...maarifa ya kutufanya tutambue kama tupo controlled ni madogo sana...

Yani unakuta mtu unapinga kwa nguvu zote huku kila anachotumia 100% ni manipulation kutoka kwao...


Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly indeed ..kuna watu wanashangaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hatari mkuu
thats true....human mind inaenda kusynchronize na mashine....

Kama tulivyoona huko Tokyo Japan kuwa tayari wanatengenezwa mainjinia ambao wamepandikizwa neural directive devices ambazo zinamwongoza kuelekeza watu namna ya kujenga tower na majengo makubwa yenye construction tata zaidi...

Any way wanaonekana binadamu na ngozi zao lakini mindly not....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu lifecoded nilimsikia DAVID ICKE akisema "The greatest hypnotist in the planet earth is an oblong box in the corner of the room. It is constantly telling us what to believe is really". Namfatilia sana huyu bwana na kuna huwa unavisema nikifatilia nayagundua mengi sana kimsingi dunia haipo kama wengi wanavyoitazama. Japo wengi wetu tunatawaliwa na ubishi.
Mimi nashangaaa kitu kimoja...kuna watu wanadai wapo free ,yani hawapoaffected na maisha haya ya new error za civilization...ukimuliza umejuaje kama upo free na unapinga kuwa kwenye system controller hajui...


Unatumia kigezo gani kusema kuwa ustaarabu huu haukuharibu au haukuaffect....??

indicator zipi ...??


kama kila kitu unachotumia kinatengenezwa na wao,vyakula na mambo yote wanakupangia wao...

everything they control themselves...sasa huko kusema upo free unatumia kigezo gani...??

daaaah...elimu ni kitu kikubwa sana ambacho tunakosa...maarifa ya kutufanya tutambue kama tupo controlled ni madogo sana...

Yani unakuta mtu unapinga kwa nguvu zote huku kila anachotumia 100% ni manipulation kutoka kwao...


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom