From the green world to a black world

From the green world to a black world

probably and that matters coz kuna watu wanajua kila kitu...

Life assurance wanapeana wao huku idadi kubwa ikiachwa njia panda...

Ila kuna watu pia wanapewa life assurance ambayo sio kwa hiyo ni kuwa mjanja kutambua ni ipi sahihi zaidi ...

Utaishia kupewa task uzifanye kisha upewe life assurance ambayo sio..



Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hell IPO life assurance wanatoa kwa mamlaka kutoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hell IPO life assurance wanatoa kwa mamlaka kutoka wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu umejuaje kama hell ipo...ndo mana nakwambia hujajua chochote ,kwanza tambua kuwa hiyo sytem inayojua mambo yote ipo kisha synchronize kujua ukweli...usianze kulazimisha mambo ambayo umekuwa ukiyasikia...

Ndo mana nilitolea mfano mmoja kuwa Mbingu kwenye biblr zinazungumzwa na watu wanaamini kuna mbingu kama Anga ila mbingu sio Anga kama watu wanavyoamini...

ndivyo unapaswa kujua kuwa Hell inayozungumziwa kwenye bible sio ambayo unaijua wewe...
kuwa makini na maandiko na kumezeshwa matango mkuu...




Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umejuaje kama hell ipo...ndo mana nakwambia hujajua chochote ,kwanza tambua kuwa hiyo sytem inayojua mambo yote ipo kisha synchronize kujua ukweli...usianze kulazimisha mambo ambayo umekuwa ukiyasikia...

Ndo mana nilitolea mfano mmoja kuwa Mbingu kwenye biblr zinazungumzwa na watu wanaamini kuna mbingu kama Anga ila mbingu sio Anga kama watu wanavyoamini...

ndivyo unapaswa kujua kuwa Hell inayozungumziwa kwenye bible sio ambayo unaijua wewe...
kuwa makini na maandiko na kumezeshwa matango mkuu...




Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hell IPO nshafanya research nyingi tu,unadhani hell kuna swimming mkuu?tuache masiara kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubatili mtupu,mambo yote ni ubatili...mtu ana faida gani ya kazi yake yote aifanyayo chini ya jua..???

Hata hao wafanyao kwa siri wanajilisha upepo tuu.
 
unahisi Mungu anafananaje....??

You must believe in imagination of what you believe...

Unahisi Mungu anafananaje...?? mkuu kutokana na uelewa wako mpaka hapo ulipofikia katika maswala ya imani...unahisi Mungu anafanana na umbo gani...??

Sent using Jamii Forums mobile app
Haonekani ndo sifa yake hafanani hata na mawazo yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom