From the green world to a black world

From the green world to a black world

unahisi Mungu anafananaje....??

You must believe in imagination of what you believe...

Unahisi Mungu anafananaje...?? mkuu kutokana na uelewa wako mpaka hapo ulipofikia katika maswala ya imani...unahisi Mungu anafanana na umbo gani...??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanini umeuliza swali "Unahisi Mungu anafananaje ?"
 
human being ni source of energy....

we are not born but we are growing somewhere ....

Ukilijua hili ndo utajua kuwa haya maisha tunayopewa ni kukeep busy illusion tujue kuwa tunaadvance but we are growing somewhere ...

our mind interprete katika mazingira tofauti sana...ila kiukweli there is a purpose behind kwanini tupo hapa duniani...

you serve a purpose for beneficial purpose mkuu....

Ndani ya ulimwengu huu kuna maisha yanaendelea aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtu kutambua ya kuwa kuna lengo maalumu linalo fanya sisi tuwepo haoa duniani ni hatua kubwa sana na ni jambo la dharura.

Tatizo linakuja ni ile namna ya kuzungumzia uhalisia wa lengo hilo.
 
Kabla hujafa jiulize utakuwa umefanya kitu gani cha kuifanya dunia ikukumbuke? Ni zuri au baya!
 
Hapa una maanisha nini hasa ?

Unaweza kunipa mfano wa mtu hata mmoja anae jua kila kitu ?
mkuu kwanza sipendi sana mtu anayeuliza kwa majigambo makubwa huku akijua mwisho wa siku atashinda...napenda uulize katika misingi ya kuelewa usichokijua...ifanye akili yako ipokee mapya hata kama una imani yako juu ya jambo flani ...

Kwanza naomba nikufahamishe tu kuwa kuna elimu ya siri ambayo hutolewa kwa watu wachache kwa manufaa ya wengi au wachache wale wale...

kwanza tuanzie hapa kama unatambua hili useme na kama hutambui hilo kuwa muwazi ili upate mapya...make ukiendelea kubisha wakati hujui kitu utakuwa bado unakomaaa pale pale

Je unafahamu juu ya Esoteric knowledge au teachings???



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu kutambua ya kuwa kuna lengo maalumu linalo fanya sisi tuwepo haoa duniani ni hatua kubwa sana na ni jambo la dharura.

Tatizo linakuja ni ile namna ya kuzungumzia uhalisia wa lengo hilo.

Duh kwa hii post mkuu nakupa BIG UP
 
mkuu kwanza sipendi sana mtu anayeuliza kwa majigambo makubwa huku akijua mwisho wa siku atashinda...napenda uulize katika misingi ya kuelewa usichokijua...ifanye akili yako ipokee mapya hata kama una imani yako juu ya jambo flani ...

Kwanza naomba nikufahamishe tu kuwa kuna elimu ya siri ambayo hutolewa kwa watu wachache kwa manufaa ya wengi au wachache wale wale...

kwanza tuanzie hapa kama unatambua hili useme na kama hutambui hilo kuwa muwazi ili upate mapya...make ukiendelea kubisha wakati hujui kitu utakuwa bado unakomaaa pale pale

Je unafahamu juu ya Esoteric knowledge au teachings???



Sent using Jamii Forums mobile app

Huu ni mwanzo mzuri. Kwanza sijauliza kwa mtindo huo unao usema wewe sababu swali langu liko wazi sana.

Nacho jua mimi ni kuwa hakuna kiumbe chini ya jua anaejua kila kitu,hili halihitaji ushahidi wa kutumia akili sana sanjari na nguvu kiasi.

Nina fahamu machache kuhusu Teachings.

Ila hili zingatia. Umeniuliza maswali yako nimekujibu,naomba sana nikikuuliza maswali yangu unijibu pia.



Nina maswali mawili kwako

1. Huwa unatumia nyenzo gani kuujua ukweli ?

2. Kuna vyanzo vingapi vya ELIMU vya mwanadamu ?

Nipo ...
 
Huu ni mwanzo mzuri. Kwanza sijauliza kwa mtindo huo unao usema wewe sababu swali langu liko wazi sana.

Nacho jua mimi ni kuwa hakuna kiumbe chini ya jua anaejua kila kitu,hili halihitaji ushahidi wa kutumia akili sana sanjari na nguvu kiasi.

Nina fahamu machache kuhusu Teachings.

Ila hili zingatia. Umeniuliza maswali yako nimekujibu,naomba sana nikikuuliza maswali yangu unijibu pia.



Nina maswali mawili kwako

1. Huwa unatumia nyenzo gani kuujua ukweli ?

2. Kuna vyanzo vingapi vya ELIMU vya mwanadamu ?

Nipo ...
jibu la swali la kwanza ni kwamba I believe in hidden doctrines zinazoelezea things in oposite the way ukweli unavyokuwa umewekwa kwenye jamii..

Jibu la swali la pili ni kulingana na ufafanuzi katika jibu la swali la kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jibu la swali la kwanza ni kwamba I believe in hidden doctrines zinazoelezea things in oposite the way ukweli unavyokuwa umewekwa kwenye jamii..

Jibu la swali la pili ni kulingana na ufafanuzi katika jibu la swali la kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mfano wa hizo doctrines ?

Kama ulivyosema kwenye kile ulicho kisema ni jibu la pili ni ipi idadi yake ?

Nakumbuka mwalimu wangu aliniambia kuna adabu za kuuliza maswali na kujibu maswali. Miongoni mwa adabu hizo ni kujibu kile ulichoulizwa.

Hapa nakupa mfano sasa wa namna gani ulipaswa ujibu maswali yangu hayo mawili.

Swali la kwanza :

Ningeainisha hizo nyenzo. Sababu kuna tofauti kati ya kutaja na kuainisha.

Mfano wa swali hilo ni kama vile uulizwe hivi,huwa unatumia nyenzo gani kuandika. Ukijibu swali hili kama ulivyo andika wewe jua ya kuwa hujajibu swali.

Ama kuhusu swali la pili. Ulitakiwa kutaja tu kama ni mbili,kisha unasubiri nini kinachofata kutoka kwa muulizaji.

Leo nimeamua kutumia mtindo huu ili twende sawa.

Nipo ....
 
jibu la swali la kwanza ni kwamba I believe in hidden doctrines zinazoelezea things in oposite the way ukweli unavyokuwa umewekwa kwenye jamii..

Jibu la swali la pili ni kulingana na ufafanuzi katika jibu la swali la kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sasa nachambua jibu lako la kwanza. Kwanza umehusisha Imani na Uongo. Sababu kinyume cha ukweli ni uongo na hakuna kilicho baina ya viwili hivyo isipokuwa ni UTATA,na sisi jambo lenye utata salama huwa ni kutoshughulika nalo.

Sababu umekiri mwenyewe ya kuwa wewe huwa una amini katika hidden doctrines ambazo huwa ziko kinyume na ule ukweli uliowekwa kwenye jamii,bila shaka wewe huwa unaelezea watu mambo ya uongo,na kwanini umeamua kuwa muongo ? Kama ukikataa kama wewe sio muongo unatakiwa uikane hiyo kauli yako na ututhibitishie ya kuwa hayo unayo yasema ni ya kweli.

Nipo ...
 
Back
Top Bottom