From the green world to a black world

Mwanadamu ana hali ya kuabudu. Ipo katika utu wake akiwa mzima wa akili.

Kukiwapo ombwe, maswali au wasiwasi huzuka.

Wasiwasi juu ya kifo na hali nyingine za maisha huongezeka.

Hatma ya uwepo wake hapa, hujaza fikra zake.

Katika mahangaiko yake kutafuta majibu, ndipo anaangukia katika dhana za dini, sayansi, consipiracy.

Akihisi kapata majibu, hufikiri wengine wote hawajui au wanakosea.


Kuhusu mada:

System ni nani? Kama ni watu je wao pia ni waathirika au ni tofauti na wengine.

Je ni viumbe tofauti?

Je ni maumbile kama dunia.

Faida na hasara ni kwao 'system' ni ipi?

Kama ni wanadamu basi ni ujanja tu na haudumu. Hakuna cha mwanadamu kilichodumu zama nyingi.

Kwa vyovyote vile hilo kuwepo au kutokuwepo kwa system hatuondelei kifo.
Ambacho kuna wanaopanga, lakini kinatuchagua.

Twendeje, Turuhusu fikra zetu zifanye mazuri sasa. Maana wanadamu wote kwa namna zao huukiri wema huwaletea furaha.

Miaka michache itumike vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu ana hali ya kuabudu. Ipo katika utu wake akiwa mzima wa akili.

Kukiwapo ombwe, maswali au wasiwasi huzuka.

Wasiwasi juu ya kifo na hali nyingine za maisha huongezeka.

Hatma ya uwepo wake hapa, hujaza fikra zake.

Katika mahangaiko yake kutafuta majibu, ndipo anaangukia katika dhana za dini, sayansi, consipiracy.

Akihisi kapata majibu, hufikiri wengine wote hawajui au wanakosea.


Kuhusu mada:

System ni nani? Kama ni watu je wao pia ni waathirika au ni tofauti na wengine.

Je ni viumbe tofauti?

Je ni maumbile kama dunia.

Faida na hasara ni kwao 'system' ni ipi?

Kama ni wanadamu basi ni ujanja tu na haudumu. Hakuna cha mwanadamu kilichodumu zama nyingi.

Kwa vyovyote vile hilo kuwepo au kutokuwepo kwa system hatuondelei kifo.
Ambacho kuna wanaopanga, lakini kinatuchagua.

Twendeje, Turuhusu fikra zetu zifanye mazuri sasa. Maana wanadamu wote kwa namna zao huukiri wema huwaletea furaha.

Miaka michache itumike vizuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
Safi mkuu
 
Mr lifecoded People won't understand you once you tell them you don't understand the presence of God particularly Africans.. kwa kuwaambia hutambui uwepo wa Mungu umewapeleka mbali sana they won't understand. Kama ujuavyo huwezi mchukua mtoto wa miaka 3 au 4 kisha umpeleke university first year, Yafaa zaidi umpeleke baby class, preUnity, Nursery kisha standard One then two na kuendelea. Hawa watu unaowaambia hutambui uwepo wa Mungu watakuona kama kichaa, tena Elimu yako kubwa uliyonayo kwao itakuwa haina maana.

Ipo hivi; Ukimwambia mtu Dini yako ni mbaya atakuelewa lakini ukimwambia Mungu wako ni mbaya hawezi kukuelewa hata kidogo ..its the bigin of endless war btween you.

Hawa watu nenda nao taratibu at the time they'll know the trueth.
Wape sababu halisi ya kutokuwepo kwa Mungu, na uwape source kwamba hii Elimu yako inayosema hakuna Mungu umeitoa wapi. Na ni lipi la maana kati ya kuwepo kwa Mungu na kutokuwepo.
La sivyo tayari umekwisha onekana mwendawazimu au ulie haribikiwa akili.
Hakuna utakae mweleza kitu akuelewe not only in Africa Duniani pote.

Wajapan ndio watu walioendelea zaidi in high technologies but wana Miungu yao wanayo iabudu na watu wana imani zao kuhusu Mungu. Mimi nipo hapa Japan naona. Hao hao unao sema wanaiongoza Dunia in hidden secrets wanayo Miungu yao ipo wazi kabisa na wanafanya ibada zao nzito nzito na za kutisha.. Kiasili ni kwamba Binadamu wote ndani yao wana asili ya Kuabudu ..Hajalishi nini anaabudu but they warship with their beliefs.
 
Mr lifecoded People won't understand you once you tell them you don't understand the presence of God particularly Africans.. kwa kuwaambia hutambui uwepo wa Mungu umewapeleka mbali sana they won't understand. Kama ujuavyo huwezi mchukua mtoto wa miaka 3 au 4 kisha umpeleke university first year, Yafaa zaidi umpeleke baby class, preUnity, Nursery kisha standard One then two na kuendelea. Hawa watu unaowaambia hutambui uwepo wa Mungu watakuona kama kichaa, tena Elimu yako kubwa uliyonayo kwao itakuwa haina maana.

Ipo hivi; Ukimwambia mtu Dini yako ni mbaya atakuelewa lakini ukimwambia Mungu wako ni mbaya hawezi kukuelewa hata kidogo ..its the bigin of endless war btween you.

Hawa watu nenda nao taratibu at the time they'll know the trueth.
Wape sababu halisi ya kutokuwepo kwa Mungu, na uwape source kwamba hii Elimu yako inayosema hakuna Mungu umeitoa wapi. Na ni lipi la maana kati ya kuwepo kwa Mungu na kutokuwepo.
La sivyo tayari umekwisha onekana mwendawazimu au ulie haribikiwa akili.
Hakuna utakae mweleza kitu akuelewe not only in Africa Duniani pote.

Wajapan ndio watu walioendelea zaidi in high technologies but wana Miungu yao wanayo iabudu na watu wana imani zao kuhusu Mungu. Mimi nipo hapa Japan naona. Hao hao unao sema wanaiongoza Dunia in hidden secrets wanayo Miungu yao ipo wazi kabisa na wanafanya ibada zao nzito nzito na za kutisha.. Kiasili ni kwamba Binadamu wote ndani yao wana asili ya Kuabudu ..Hajalishi nini anaabudu but they warship with their beliefs.
Watu wanawaita watu washirikina lakini kimsingi wanawaita wenzao washirikina ndio kama huo ushirikina umewasambaratisha.Waliojiweka kwenye dini wanaonekana kuwa kwenye jela kubwa na ngumu.
 
Hata tone ya maandishi yako inaakisi kisirani

kujadiliana na mtu mwenye element za kii silamu ni mzigo_bora yaishe
Umeshindwa hoja unakimbia.

Unamaanisha nini unaposema mfumo kamili wa maisha ndio uislamu..?

Ninachofahamu mimi kuhusiana na uislamu na waislamu ni kupitia imani yao iliyojengeka katika kitabu chao cha Qur'an wanachokiamini na hadithi pamoja na sunna zao_au uislamu unamaana zaidi ya hiyo.?

Sidhani kama ulijenga hoja_wewe ulitoa hatma ya mambo yote kwamba suluhu yake ni uislamu

Na kuhusiana na mafundisho yapi yanafaa na yapi hayafai ni juu yenu wenyewe waislamu na yeyote anayedai mafundisho yake ni sahihi au suluhu

Sisi watu wa kawaida huwa tunaangalia matokeo ya kile kilichopondikizwa kwa watu kinaakisi vipi kwenye uhalisia wa maisha ikiwemo faida na khasara

sasa katika yote hayo ndio nimefikia 'mimi' kuona kuwa uislamu haufai _labda uwe na maana nyengine zaidi ya hiyo juu ya uislamu
 
ukweli tu usemwe kwenye jf kuna baadhi ya watu wanauchukia sana uislam na waislam wenyewe na vitabu vyao ,maana nmeifatilia sana uzi huu kutoka mwanzo mpaka mwisho na nimeona fact nyingi zilizohusishwa na biblia juu ya elimu ya siri na sjaona povu au kejeli ya aina yoyote but kwa watu wawili walioanza kushambuliwa bi faiza fox na zurri ndo nkajua kwa nini world order inasimama kwa dini ya kikcristo ambayo freemason wamejifichia ndani yake ili kukamilisha agenda zao na kiongozi ataesimama kama ndo leader atakua ni mkristu from catholic .sisi tunaelewa kua uislam unapakwa matope kwa kila njia ulimwenguni ili waliokua na roho nyepesi waamini kua waislam ni magaid ,na hatarishi katka ulimwengu kumbe kwenye uhalisia ni wrong ila naamini ipo siku ukweli utajuilikana tu .
 
Lugha bora ni KIARABU.

Vigezo viko vingi,hasa hasa imejitosheleza kwa yenyewe,hapa siongelei ukopaji wa meneno la hasha,hapa nazungumzia ufasaha wake,historia,mjengeko wake na una fani nyingi za kuhusu lugha yenyewe. Kadhalika ina hazina kubwa sana ya elimu.
kwa waliokua hawana akili bora nsisitize kwa kusema hawana akili watasema lugha bora english
 
Hawa jamaa miyeyusho sana,tatizo lao kubwa ni kukimbia maswali magumu.


Maswali yangu huwa hawayajibu sasa sijui ni ya kipuuzi hayana maana au magumu sana.

Ila tu nawakumbusha hawa jamaa Elimu haiongopi na huo msamiati wao mara Esoteric Knowledge mara Exoteric Knowledge mara Chakra (Internal Energy/Spiritual Energy) ni mambo madogo sana ambayo yote hukomea kwenye uongo,uoga na wasi wasi tele. Sasa msingi wa maswali yangu huwa nataka wawe wana yajibu ili tuwapeleke huko wanakotaka wao.

Asili ya hizo waziitazo hidden doctrines ni ujinga na mwisho wake huwapelekea kwenye ushirikina.

Hizi lugha zao huwa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi ili kuja kuwapiga watu wasio jishughulisha na elimu,ilo waweke matabaka yaliyo asisiwa katika uongo na ujinga,ili wawafanye watu fulani waonekane bora kuliko wengine kisa eti wana elimu zilizofichikana/elimu za siri/hidden doctrines/علم الباطن.

Hakuna binadamu katika uso huu wa dunia anaejua elimu ya mambo yaliyofichikana,Elimu hii hata mitume na manabii hawakupewa seuze hawa wasio jua kwanini kuna usiku na mchana au wasio jua ni zipi lazi za nyota.

Nimewakumbusha tu.
Mmojawapo ni ww usietaka kujua ndugu nimekufatilia sana ni mbishi sijapata kuona,ila nikusihi tu jaribu kupokea jambo geni akilini mwako hata kama huna imani nalo natumai litakujenga siku moja.
 
Hili ndio tatizo ambalo huwa naliona kwa watu. Shirki haishii tu kwa waganga wenye kuagua au kuroga na matunguri.

Sio kila elimu ukiijua au ukiisoma lazima uifanyie kama inavyotaka elimu hiyo,bali kuna wakati tunazijua elimu zisizo faa kwa lengo la kuziepuka elimu hizo.

Lakini ku experience au kuto experience hakubatilishi ukweli juu ya uovu wa kitu husika. Leo hii huwezi kuniambia nisiseme ukweli kuhusu uchawi eti kisa labda mimi sitendi uchawi au sijadhurika na uchawi. Ufahamu ni wa kitoto na unaenda kinyume na elimu inavyotaka.

Mfano leo hii tunasikia ya kuwa wachawi wanawaambia watu ya kuwa "Fulani nitakugeuza paka". Yule asie jua hakika ya uchawi lazima ataogopa wakat uhalisia hakuna binadamu anae weza kumgeuza binadamu mwenzie kuwa paka au mfano wake.

Kaka unaposema uislamu haujamzia mtu kuchukua maarifa,kauli yako haijakamilika sababu suala la elimu katika uislamu ni pana sana. Uislamu unamtaka mtu kuchukua elimu yenye manufaa na si kinyume chake na si kila elimu unatakiwa uchukue au uisome.

Sasa,sababu hapa tunajadilian la kielimu,leteni hoja zenu kama nyinyi mnasema ukweli,kisha tukiwauliza maswali myajibu.
Uchawi pia ni maarifa na tunatumia kila siku katika mzunguko wa maisha yetu,nina uhakika sidhani hata kama utaweza kuamini pia mawimbi ya radio,stream video n.k navyo ni uchawi kwa kuwa neno uchawi unalichukulia ni kinyume na lilivyo kulingana na lugha ama upande linapotumiwa zaidi ndio maana nikaona ww ndugu yangu kichwani mwako ni empty kabisa kabisa utabaki kuwa hivyo tu,usipende kumkomoa mtu kwa maswali yasiyo ya msingi ilimradi ashinde kujibu na kujinadi kuwa upo perfect zaidi yake kuna maswali huwa hayajibiki na hata yakibika yatazalisha swali jingine na jingine na jingine ni sawa na waamini mungu ukawajibu ndio nakubaliana na mungu je mungu nae alitokana na nini na hiko kilichomuweka wazi kilotokea wapi mkajikuta mnakosa majibu,hivyo basi ni heri tukawa na kustaarabika katika kujifunza mawili matatu mageni machoni petu na katika ufahamu wetu,si kila unachokiona ndivyo kilivyo si hivyo,kuna mmoja nilimuona akiuliza je moto ni illusion akiwa na maana kama moto ni uraghai baasi muusika akauguse tuone kama hatochomwa,sasa baasi kuna usichokijua moto huo huo kuna mtu kama ww na mwny nyama kama ww anauweza wa kuufanya chochote na usimdhuru,ndio maana tunabaki kwenye msimamo wa kuwa tuwe wapole kwny tusiyoyaju ulizwa swali ndio lakini lisiwe la kipingamizi ambacho unamlenga mjibuji kuwa lazima ashindwe na akimbie,inafika wakati mtu ana nondo safi kabisa akiona ubugudhi unazidi anaamua kuacha maswali kuyaruka na kukoment anachokifaam yeye mnaishia ishia kama gari bovu mpka kutoweka bila mtu kuambulia hata kimoja cha ziada katika akili yake,mind ni kitu chenye nguvu sana katika uwepo wako ukishindwa kuitumia ipasavyo basi hutoambulia kitu,...nina mengi niishie hapo ....
 
Mmojawapo ni ww usietaka kujua ndugu nimekufatilia sana ni mbishi sijapata kuona,ila nikusihi tu jaribu kupokea jambo geni akilini mwako hata kama huna imani nalo natumai litakujenga siku moja.
Jambo geni kama lipi ?p
Sio kila jambo la kuchukua lazima uchuje na hivi ndivyo binadamu mwenye akili anatakiwa awe.
ppAma kuhusu suala la ubishi hizi zinabaki kuwa tuhuma au madai yasiyokuwa na ushahidi wowote bali ni maoni yako.

Hii maana ya ubishi itakuwa ni mpya,mtu akiwa kinyume na nyinyi tena kwa hoja maswali anaitwa mbishi.

Tuendelee...
 
Uchawi pia ni maarifa na tunatumia kila siku katika mzunguko wa maisha yetu,nina uhakika sidhani hata kama utaweza kuamini pia mawimbi ya radio,stream video n.k navyo ni uchawi kwa kuwa neno uchawi unalichukulia ni kinyume na lilivyo kulingana na lugha ama upande linapotumiwa zaidi ndio maana nikaona ww ndugu yangu kichwani mwako ni empty kabisa kabisa utabaki kuwa hivyo tu,usipende kumkomoa mtu kwa maswali yasiyo ya msingi ilimradi ashinde kujibu na kujinadi kuwa upo perfect zaidi yake kuna maswali huwa hayajibiki na hata yakibika yatazalisha swali jingine na jingine na jingine ni sawa na waamini mungu ukawajibu ndio nakubaliana na mungu je mungu nae alitokana na nini na hiko kilichomuweka wazi kilotokea wapi mkajikuta mnakosa majibu,hivyo basi ni heri tukawa na kustaarabika katika kujifunza mawili matatu mageni machoni petu na katika ufahamu wetu,si kila unachokiona ndivyo kilivyo si hivyo,kuna mmoja nilimuona akiuliza je moto ni illusion akiwa na maana kama moto ni uraghai baasi muusika akauguse tuone kama hatochomwa,sasa baasi kuna usichokijua moto huo huo kuna mtu kama ww na mwny nyama kama ww anauweza wa kuufanya chochote na usimdhuru,ndio maana tunabaki kwenye msimamo wa kuwa tuwe wapole kwny tusiyoyaju ulizwa swali ndio lakini lisiwe la kipingamizi ambacho unamlenga mjibuji kuwa lazima ashindwe na akimbie,inafika wakati mtu ana nondo safi kabisa akiona ubugudhi unazidi anaamua kuacha maswali kuyaruka na kukoment anachokifaam yeye mnaishia ishia kama gari bovu mpka kutoweka bila mtu kuambulia hata kimoja cha ziada katika akili yake,mind ni kitu chenye nguvu sana katika uwepo wako ukishindwa kuitumia ipasavyo basi hutoambulia kitu,...nina mengi niishie hapo ....
Sasa kwa mtu lazima mimi unione kuwa ni mbishi. Sasa mtu unae elezea Uchawi kwa maana hiyo,unaonekana ni mtu wa ajabu katika ulimwengu wa elimu na unaonekana hujui chochote kuhusuiana na Uchawi.

Nakuuliza swali sasa,ili uone ujinga wako uko wapi.

Uchawi ni nini ?

Tuendelee....
 
Jambo geni kama lipi ?p
Sio kila jambo la kuchukua lazima uchuje na hivi ndivyo binadamu mwenye akili anatakiwa awe.
ppAma kuhusu suala la ubishi hizi zinabaki kuwa tuhuma au madai yasiyokuwa na ushahidi wowote bali ni maoni yako.

Hii maana ya ubishi itakuwa ni mpya,mtu akiwa kinyume na nyinyi tena kwa hoja maswali anaitwa mbishi.

Tuendelee...
Endelea tu
 
Sasa kwa mtu lazima mimi unione kuwa ni mbishi. Sasa mtu unae elezea Uchawi kwa maana hiyo,unaonekana ni mtu wa ajabu katika ulimwengu wa elimu na unaonekana hujui chochote kuhusuiana na Uchawi.

Nakuuliza swali sasa,ili uone ujinga wako uko wapi.

Uchawi ni nini ?

Tuendelee....
Unajiona mjanja kumbe tumbusi tu.utabaki hivyo hivyo mkuu.nenda kasome psychic knowledge...
 
Unajiona mjanja kumbe tumbusi tu.utabaki hivyo hivyo mkuu.nenda kasome psychic knowledge...
Mkuu huyu jamaa kila uzi unaohusu teknolojia yeye anaingiza mambo yake ya dini na kuanza kupinga kwamba vitu haviwezekani
Huyu jamaa anaboa, nadhani anataka jF iwe inazungumzia dini tu
Kila thread inayozungumzia teknolojia jamaa anapinga f@#k
 
Back
Top Bottom