Duh!!!! Hili naweza liamin mkuu sababu huyo jamaaa ilifikiaga kipindi home kuna wale mapaka ya usku huja juu ya bati yanalia kama watu vile,,, akiwa ameenda kusoma kwa shikaji yalikua yanakuja lakin akawa anasema mimi leo siendi na wakija natoka kuwapiga , lakin haikuwahi jitokeza.
Nilikua napenda sana ile ligi itokeee na jamaaa alikua anasema siogopi mchawi asa ukimuuliza anadai tu kuwa hawana uwezo kivile.
Nakumbuka alikanyagwa na ng'ombe cha ajabu alikatika kidole kimoja tu nitatuma kapicha kake mida,
Na kile kidole kilikuja onekana kesho ake , asa kumbe ile ilikua ni ya kichawi na ilitakiwa kiende kutengenezewa dawa, sema tulikua tunaishi na mama wa kambo asa akakiomba kile kidole, na lisema akitunze mpaka mzee arudi asa jamaaa sku moja akaibuka kukisaka na kukiiba.
Sku iliyofata mama wa kambo alihangaika sana kusaka ndan sema hakuuliza na kuja amka ametoroka mpaka leo hakuwa kurud, jamaaa akajaga tu tupa story kuwa alitaka maza kile kidole akifanyie mambo.
Yan unaweza zania ni masihara vile, picha inafata
Sent using
Jamii Forums mobile app