From the green world to a black world

Tatizo nikikuuliza kuna siri gani huwezi kujibu.

Ukisoma utaelewa.
Kama ambavyo unasema kuna elimu huwa hazifai kujifunza.Basi acha siri zibaki kuwa siri vinginevyo ukitaka kuujua uchawi wafuate wachawi watakufundusha ulivyo.Ukitaka kitu kajifunze kwa wahusika.
 
Hawa jamaa miyeyusho sana,tatizo lao kubwa ni kukimbia maswali magumu.


Maswali yangu huwa hawayajibu sasa sijui ni ya kipuuzi hayana maana au magumu sana.

Ila tu nawakumbusha hawa jamaa Elimu haiongopi na huo msamiati wao mara Esoteric Knowledge mara Exoteric Knowledge mara Chakra (Internal Energy/Spiritual Energy) ni mambo madogo sana ambayo yote hukomea kwenye uongo,uoga na wasi wasi tele. Sasa msingi wa maswali yangu huwa nataka wawe wana yajibu ili tuwapeleke huko wanakotaka wao.

Asili ya hizo waziitazo hidden doctrines ni ujinga na mwisho wake huwapelekea kwenye ushirikina.

Hizi lugha zao huwa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi ili kuja kuwapiga watu wasio jishughulisha na elimu,ilo waweke matabaka yaliyo asisiwa katika uongo na ujinga,ili wawafanye watu fulani waonekane bora kuliko wengine kisa eti wana elimu zilizofichikana/elimu za siri/hidden doctrines/علم الباطن.

Hakuna binadamu katika uso huu wa dunia anaejua elimu ya mambo yaliyofichikana,Elimu hii hata mitume na manabii hawakupewa seuze hawa wasio jua kwanini kuna usiku na mchana au wasio jua ni zipi lazi za nyota.

Nimewakumbusha tu.
ya kipuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao watu ni kina nani na wapo chini ya nani yani. Na unyama huo wanaufanya ili iweje😯😯
probably and that matters coz kuna watu wanajua kila kitu...

Life assurance wanapeana wao huku idadi kubwa ikiachwa njia panda...

Ila kuna watu pia wanapewa life assurance ambayo sio kwa hiyo ni kuwa mjanja kutambua ni ipi sahihi zaidi ...

Utaishia kupewa task uzifanye kisha upewe life assurance ambayo sio..



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vile pengine umezaliwa kwenye hizi zama kila kitu kinakwenda kwa kubonya kitufe..., au mhenga umekua ukaiona tofauti ya vizazi 3 (babu na mjukuu wake) na ndio ukaweza kujenga hoja!!
Vyovyote vile iwavyo kila kitu ni ubatili mtu!

Uwe ni Steve Jobs au ni mvuta bangi wa mtaani au iwe ni USA au Tz life goes on!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja yako ni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lugha bora kuliko nyingine ni ipi au zipi na ina vigezo vipi na umeipima kwa kwa vipimo gani
Hapo kaka kiingereza sio kikwazo mzee na tunasoma vitabu vya kiingereza kama kawaida,ila kuna lugha bora kuliko nyingine na hili halikwepeki.

Siwezi kujitega mwenyewe katika hili,sababu ninajua nini ninacho kimaanisha na kama ukijibu nina jua wapi pakukumata.

Nipo ....
 
Lugha bora kuliko nyingine ni ipi au zipi na ina vigezo vipi na umeipima kwa kwa vipimo gani

Lugha bora ni KIARABU.

Vigezo viko vingi,hasa hasa imejitosheleza kwa yenyewe,hapa siongelei ukopaji wa meneno la hasha,hapa nazungumzia ufasaha wake,historia,mjengeko wake na una fani nyingi za kuhusu lugha yenyewe. Kadhalika ina hazina kubwa sana ya elimu.
 
Lugha bora ni KIARABU.

Vigezo viko vingi,hasa hasa imejitosheleza kwa yenyewe,hapa siongelei ukopaji wa meneno la hasha,hapa nazungumzia ufasaha wake,historia,mjengeko wake na una fani nyingi za kuhusu lugha yenyewe. Kadhalika ina hazina kubwa sana ya elimu.
Lugha ya kwanza ulimwenguni ni IPI?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu lifecoded kuna kipindi kuna memba alianzishaga uzi unaohusu tafsiri za ndoto humu.wengi tulichangia humu kuna ndoto nilizisimulia humu,taabu niliyoipata nilijuta nashukuru nilipona.Ila onyo ndoto zina siri kubwa ya maisha usimsimulie kila mtu.HIZO NDOTO NI SEHEMU YA HIZO ENERGY MNAZOZINGUMZIA HAPA.KWA LEO NI HAYO.
Yan mkuu umeonhelea ndoto, umenikumbusha sijawahi lala hata kama ni mchana nisiote na huwa napenda sana kulala sababu maisha nayoyaishi ndoton hunipa aman sana huwa naumia sana nikiamka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fafanua kidgo
Dunia ni kama pori,kuna watu waweza wafananisha kimakundi kama yalivyo makundi ya wanyama mwitu."nitadadavua".kuna makundi matatu hapa,kuna wanadamu ni sawa na Tembo simba chui na fisi halafu na nyoka.Tembo ni mnyama mpole mkimya na mwenye nguvu.hana taabu wala shida na yeyote hachokozwi hachokozi ila akiudhiwa wote mtaona hali halisi.Sasa hawa wasiogusika hawa ni watu wenye kila kitu ila ni hatari ukiwagusa.Simba mfalme mwenye nguvu asiye na mpinzani,aliyeumbwa kutawala huwinda si sababu ni mkorofi kuwinda ni sehemu ya lishe yake kwa hiyo yeye hana tabu.hawa ni watu jamii ya akina reginarld Mengi na kariba hiyo.wana kila kitu ila unapotaka kuwadhuru wana kinga kubwa itokanayo na asili ambayo wengine wanaiita "Mungu".Hawa wanaitawala dunia kwa nguvu ya asili na nguvu iliyojengwa kibinaadamu"fedha na mali"huheshimiwa hata na mmlaka za kinchi na kijamii.Halafu wapo chui hapa kuna wachawi,majambazi,wachochezi,mafisadi na wanaadam wote walio na tabia za kishenzi na kizandiki.Wengi hapa ni wanasiasa na matajiri wenye dhulma watu watumiao mamlaka au nguvu zozote nyeusi kupata chochote.Hawa hupatikana katika kila jamiii kulungana na hadhi tofauti za kihali na kimali.
Ni waharibifu na wenye tamaa wasiopenda wengine wapate na kufanikiwa,wengi hawalijuagi hili ila watu weupe wengi haswa wazungu wapo kundi hili.hutaka kuonekana wao bora zaidi wawe na kila kitu wao waonekane wao na kumzuia yeyote anaetaka kuchomoza.Hawa ndio msingi mkuu wa mada hii na ndio wenye kuiendesha hiyo iitwayo hapa system hawaogopi kumaliza hata jamii nzima kutimiza malengo yao.Nitamalizia na fisi na mfano ni polepole and the like.Nitarejea
 
Yan mkuu umeonhelea ndoto, umenikumbusha sijawahi lala hata kama ni mchana nisiote na huwa napenda sana kulala sababu maisha nayoyaishi ndoton hunipa aman sana huwa naumia sana nikiamka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndoto hukueleza jinsi ulimwengu wako unavyokwenda,ni uwezo wa asili kumwendesha mwanaadam.usisimulie hovyo maana utawaambia watu heri na au matatizo yako.
 
Ndoto hukueleza jinsi ulimwengu wako unavyokwenda,ni uwezo wa asili kumwendesha mwanaadam.usisimulie hovyo maana utawaambia watu heri na au matatizo yako.
Huwa ni ngum sana kumwambia mtu, kwani mengi sana niliyajua kupitia ndoto mfano, darasa la pili nilipata tabu sana kuhesabu kingereza lakin nashukuru nilifundishwa kwa ndoto tena sku moja na mengi sana niliyaota leo hii nayaishi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom