taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,158
- 8,046
Kama ambavyo unasema kuna elimu huwa hazifai kujifunza.Basi acha siri zibaki kuwa siri vinginevyo ukitaka kuujua uchawi wafuate wachawi watakufundusha ulivyo.Ukitaka kitu kajifunze kwa wahusika.Tatizo nikikuuliza kuna siri gani huwezi kujibu.
Ukisoma utaelewa.