Dah!!! Mkuu yan wewe acha tu sema napenda sana unipatie elim ya hiyo kitu, make hufikia sehem simwelewi huyu jamaaa life style yake, nakumbuka kunababu alikujaga kwa mama mdogo asa na dogo alikua kule kesho ake yule mzee kuamka tu,
Akaanza uliza huyu ni mtoto wa nani??? Make usku kanisumvua sana yan, na hapo yule mzee akaanza shuka kuwa, dogo atakuwa na kazi flan asa cha ajabu hakuwa ata anajua yule jamaaa amesoma na alisema atatafutwa akiwa home tu,
Ni mengi sana aliyaongea make na yeye huwa ni mganga wa kienyeji asa cha ajabu yule dogo hajui hata moja kuhusu maswala ya kumsumbua yule mzee.
Sema jamaaa anapendwa sana om na kwa vile ananidham sana waweza sema kutushinda wengine
Sent using
Jamii Forums mobile app