makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,182
- 81,110
Waandishi ni Ansbert Ngurumo, Jesse Kwayu, Neville Meena, and Absalom Kibanda , wameshirikiana.[/QUOTE je hicho kitabu nakipata vipi?
Kenge tu hao waandishi uchwara njaa itawaua
Kama alifeli akaenda kusoma private shida iko wapi?! Hakumaliza masomo?! Hakupata qualification?! Huenda ana mafanikio kuzidi waliofaulu na kumtangulia mwanzoMwandishi J kwayu ni mwehu, leo ujinga wake ukatumike kufundishia? La saba mwenyewe alifeli akaenda kusoma private
Mbona hata JPM alisoma private na u Daktari wake alipata kwa kuunga unga na sio straight! Au hujui hata unazungumzia kitu gani?Mwandishi J kwayu ni mwehu, leo ujinga wake ukatumike kufundishia? La saba mwenyewe alifeli akaenda kusoma private
Mbona kama hawajiamini hivyo wamekaa kimchongo sana kama wanaoga njeYaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni
Ijumaa, Aprili 14, 2023
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.
Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.
Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.
Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.
Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.
Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.
Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.
"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Alijenga kwenye ubongo wakoMimi nawaona watu wa Aina yetu hamna Akili Kwa Sababu tunajua Magufuli alijenga vitu karibu kila sehemu Tanzania.
Kuuhusisha uzalendo na awamu ya 5, kunatia mushkeli wa ukweli wa unachoongea.Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.
Hongereni watunzi
😆Wapi huko?Mnajidai hamjaonana siku nyingi,au mmefukuzwa kwenye zile korido zenu Pendwa🏃🏃
Wewe masikini mwenzangu endelea kuhubiri uzalendo wakati wenzetu wanaendelea kulamba asali kupitia uzalendo wangu na wa kwako.Kwa kweli hakuna kitabu Bora kama hicho. Ili kuimarisha uzalendo, nashauri kitabu hicho kitumike kufundishia mashuleni elimu ya historia. Hakika watoto watakua wakielewa mambo mengi kwa kina.
Hongereni watunzi
Ndugu usilalamike sana kuhusu Magu,najua alikutumbua na vyeti vyako fake,Mama kasema wote wenye vyeti fake anawarudisha tena kazini na ma fake yenu ili muendeleze tena usanii wenu wa upigaji!!Kwa mamlaka nisiyonayo naagiza kitabu hiki kitumike mashuleni tuachane na kina Ngoswe walopitwa na wakati....
Lissu alisema "tumepata kiongo-zi wa ajabu haijawahi kutokea" mafurukuzenze hayakuelewa namengine Hadi Leo hayaelewi/yanajidai hayaelewi
Umenikumbusha kitu,zamani wakati ATM machine zinaanza kupelekwa nje ya mji Kama kule Mbagala kuna baadhi ya watu walikua wanashangaa sana,eti watu wa Mbagala na ATM machine wapi na wapi!? Leo hii ATM machine zipo kila mahali, na hayo ndiyo maendeleo yenyewe!!Historian ndo kitu gani? Huko Chato hakuna watu? Hayo maendeleo alopeleka hawastahili? Hebu kuweni na akili sometimes.
Ndio hisia zako zinavyokwambia hivyo? Halafu mie nilidhani huo uhuni wake ulikuwa hadharani kila mtanzania na dunia inajua kumbe sivyo, sasa mnamdananisha vp na Idd Amini na Hitler?Si naona unajiliza sana uhuni wa dhalimu ukiwekwa hadharani.
Ukiuliza kwanini fedha nyingi zilipelekwa Chato utajibiwa kwani Chato ipo Sudan.Yaliyojificha uwekezaji wa Hayati Dk Magufuli Chato yawekwa vitabuni
Ijumaa, Aprili 14, 2023
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka miwili tangu aliyekuwa Rais wa Tanzania, Dk John Magufuli kupoteza maisha Machi 17, 2021 akiwa madarakani, waandishi wakongwe wanne wamezindua kitabu kinachoonyesha sura ya kiongozi huyo na uwekezaji mkubwa alioupeleka wilayani Chato.
Absalom Kibanda, Ansbert Ngurumo, Neville Meena na Jesse Kwayu ndio waandishi walioandika kitabu hicho chenye jina 'I am the State' ikiwa na maana Mimi ndio Dola.
Kitabu hicho linaonyesha hali ilivyo sasa wilayani Chato alipozaliwa kiongozi huyo mkuu wa nchi baada ya miradi mikubwa ya maendeleo
Miongoni mwa mambo yaliyoangaziwa katika kitabu hicho ni wanyama waliopelekwa Chato enzi ya utawala wa Rais Dk Magufuli, ujenzi wa kiwanja cha ndege, uboreshaji mkubwa wa miundombinu, wananchi kukimbilia kununua viwanja, ujenzi wa masoko na miradi mingineyo.
Pia kitabu hicho kimeangazia fedha zilizopelekwa wilayani huko zitarejeshwaje, mpango wa wilaya hiyo kuandaliwa kuwa mkoa uko uliishia wapi.
Kabla ya uzinduzi wa kitabu hicho Ansbert Ngurumo amesema jina la kitabu limetokana na hofu iliyoshuhudiwa baada ya utawala wa hayati Dk Magufuli tangu mwaka 2015-2021 kuelekeza miradi mingi eneo alikozaliwa bila kuwepo mtu aliyehoji.
Amesema kilichofanyika ndani ya utawala wa Dk Magufuli ilikuwa ni historia ya kipekee kwani awamu zote za viongozi waliopita hapa nchini hakukuwa na kiongozi aliyefanya uwekezaji mkubwa eneo alilotoka.
Mbali na uwekezaji walioutaja kuwa na dalili zote za ubinafsi alioufanya kiongozi huyo, amesema upo ukandamizaji mkubwa alioufanya kwenye jamii na kutoa kauli zenye vitisho kuonyesha hakuna aliye juu yake.
"Kama mnafikiri mpo huru kiasi hicho watch it,"Kauli hayati Dk Magufuli enzi ya uhai wake ambaye imeleta tafsiri kwenye kitabu hicho namna ambavyo uongozi wake haukutetereshwa na kitu chochote.
Akizindua kitabu hicho Askofu wa Jimbo la Karagwe mkoani Kagera, Dk Benson Bagonza amesema uandishi wa kitabu hicho uwe chachu kwa viongozi wastaafu na walio madarakani kuandikiwa vitabu kulingana na mazuri na mabaya yao.
Amesema kitabu cha I am the State kinaonyesha namna fedha za umma zilivyotumika nje ya bajeti ya bajeti ya serikali.
"Mambo yaliyotajwa katika kitabu hiki yalitendeka nchi ikiwa gizani na watu walinyamazishwa na haya yaliyoandikwa ni sehemu ndogo ya yaliyotendeka nchi ikiwa gizani"amesema.
Alishachafuka siku nyingi.Na bado ni our hero
Hiyo haitoshi kumchafua.
Upo sahihi kabisa. Wasomaji tupo. Tutavinunua vyote na kuvisoma..hakuna haja ya kufurumusha matusi.
..watetezi wa Magufuli nao waandike kitabu.
..waandishi wote waliokuwa wakimsifu na kumpamba Magufuli wakati akiwa hai wako wapi?
..Musiba, Kabudi, Makonda, etc wanasubiri nini kunyanyua kalamu zao kuandika kuhusu Magufuli?
Alikuwa anafelifeli sanaKama alifeli akaenda kusoma private shida iko wapi?! Hakumaliza masomo?! Hakupata qualification?! Huenda ana mafanikio kuzidi waliofaulu na kumtangulia mwanzo