Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,204
- 10,850
Binti wa zamani nimekumiss narudia tena, siku chache hizi nimekukosa jukwaani njoo please
Unajoin na kuleft sio😆Kumbe kaka ndiyo mwenye jimbo Acha nijitoe tu
Dah, kweli mkuu.Kwako bila mbege najiweka pembeni
Heshima ni muhimu
Shemeji sitaki 😅😅😅Unajoin na kuleft sio😆
Aliyeniita ni rafiki yangu wa kweli. Yeye ndiye aliyenitambulisha kwako hata nikakupenda haswa 😂.Anza na muhuni aliyekuita hapa kwanza😅
🙏
Kamati ya mbege kwenye harusi nipo
Mnafique huyo achana naye!Aliyeniita ni rafiki yangu wa kweli. Yeye ndiye aliyenitambulisha kwako hata nikakupenda haswa 😂.
Hilo limepita bila pingamizi. Full stop.Kamati ya mbege kwenye harusi nipo
Naomaba tu umsameheme bhana. Binadamu hukosea na kupatia.Mnafique huyo achana naye!
Hajui ata jinsia yangu tayari ananionea wivu mxiew!
Huyo hakosei ndivyo alivyo!Naomaba tu umsameheme bhana. Binadamu hukosea na kupatia.
Yeye ni kiumbe chenye kasoro kama viumbe wengine.Huyo hakosei ndivyo alivyo!
Mkuu kwani kuna nini hapo? Naona sielewi msamaha unamuombea nani tena mkuu😀😀, hiyo ni baada ya kugoma kuwekwa kwenye list ndo povu kubwaa kweli kweli limekujaYeye ni kiumbe chenye kasoro kama viumbe wengine.
Mbona kashanikubalia tangu kale mkuu. Nakuombea msamaha ili nisijione nina hatia nikiwa nasakata mbususu kiasi cha performance yangu kushuka 😂.Mkuu kwani kuna nini hapo? Naona sielewi msamaha unamuombea nani tena mkuu😀😀, hiyo ni baada ya kugoma kuwekwa kwenye list ndo povu kubwaa kweli kweli limekuja
BRAND HAIJIBU COMMENTS ZA HATERS
Hahaha hongera sana mkuuMbona kashanikubalia tangu kale mkuu. Nakuombea msamaha ili nisijione nina hatia nikiwa nasakata mbususu kiasi cha performance yangu kushuka 😂.
Sajawahi 😂.Hahaha hongera sana mkuu
Ila kwenye kuniombea msamaha haijakaa sawa😀😀, kwani ushawahi ona brand kubwa inajibu haters?
Unajua ukitaka kuona mtu yukoje gusa kwenye udhaifu wake weeeh lazima POVU lijae jabaSajawahi 😂.
Criteria muhimu sana hasa kwenye urafiki criteriaWe mama nawe,🤣🤣