Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
ant christ @work........kwa jina la yesu washidwe
Teh teh teh teh teh teh!nliwahi kusoma article moja hawa freemanson wanadai wakristo ni wanafiki kwakuwa imeandikwa uombapo usifanye kama wanafiki wafanyavyo wao hupayukapayuka, bali wewe ingia nyumbani kwako kwa siri muombe mungu kwasiri nae atakujaza kwa siri. hii ndo inayofanya wao wawe wanasali kwa siri.
msaada.......hii kitu freemason,what all about?
It's all about power.msaada.......hii kitu freemason,what all about?
Freemasons ni taasisi ya kijamii kusaidia shughuli mbali za misaada mfano MV Kagera ilipozama, yeye alimpigia simu mkuu wa Freemasons wa Uingereza, Malkia Elizabeti wa Uingereza hivyo walileta msaada wa Pauni 10,000 za Uingereza (just imagine kile kivuno)!.
kuna siku lile jengo lilipata dhoruba ya kuungua moto,of course vitu vilivyoonekana ni pool table na machupa ya whisky thats why wenyeji wakahisi ni casino.
Mkuu Platozoom, unaweza kuunganisha na hii ili kuitia nyama zaidi.Grand lodge leader of freemason. Nafikiri ni kipindi cha marudio
Pasco anadhani Sir Andy Chande anaweza kufanya interview bila kuwa na ushawishi wa maswali ya kuulizwa? Hujawahi kuletewa maswali ya kuuliza na kuambiwa stick to the script?Mkuu Platozoom, unaweza kuunganisha na hii ili kuitia nyama zaidi.
Wanabodi
Kwa mnaotaka kuifahamu Freemasons, angalia Clouds TV now, Mkuu wa Freemasons Kanda ya Afrika Mashariki na Kati, Sir Andy Chande anahojiwa na Gerald Hando na kuweka what is purported to be "kila kitu hadharani!".
Kipindi kimekwisha!.
My Take!.
Andy Chande ame mention about Freemasons lakini hakusema lolote kuhusu inside freemasons!.
Mtangazaji Gerald Hando, very unfortunately didn't do his homework well!.
1. Alipoambiwa ili mtu kuwa freemasons lazima ufanyiwe "initiation" alipaswa kuuliza hii "initiation",inafanika vipi?, na ni kwa nini kila
member lazima afanyiwe?!.
2. Alipoelezwa huwa fremasons wanafanya "ceremonies" hakukuliza hizo ni ceremonies za kusherehekea nini na zinafanyikaje?!.
3. Alipoelezwa Freemasons sio dini, ila ili kuwa member wa freemasons lazima kwanza uwe na dini, kwa nini wasio na dini
hawaruhusiwi?!, kama sio dini, what does dini ya mtu got to do freemasons.
4. Ameeleza hawana siri zozote (no secret) ila tuu ishara za jinsi ya kujuana, alipaswa aseme kama sio secret society hizo ishara za siri
ni za nini, what for and why secret?!.
5. Alipoelezwa kuwa hicho ni chama cha kutoa misaada alipaswa aulize misaada gani wametoa au wameshasaidia nini?.
6. Alipoambiwa kuwa MV Bukoba ilipozama, freemasons wa Uingereza walitoa Pauni 10,000, alipaswa kuuliza why only that wakati taifa
limepata majanga kibao?.
7. Alipoambiwa freemasons wala level fulani fulani na grand lodge za kila level, kama hujafikia level fulani huwezi kuingia lodge fulani,
alipaswa aulize hizo levels ni za nini?, kuna vigezo gani kufikia level fulani? na kwa nini watu wa level fulani hawaruhusiwi kuingia
lodge za level fulani?, nini kinafichwa humo? na ikitokea asiyehusika kuingia lodge isiyomhusu, nini huwa kinamkuta?!.
8. Alipaswa kuuliza what time of a day do they meet and why?. Kwanini hukutana usiku wa manane?, mikutano yao huwaje?,
wakikutana wanafanya nini?!.
9. Angeuliza kwenye hizo karamu zao za usiku wa manane, wanakula vyakula gani na wanakunywa vinywaji gani?.
10. Alipaswa kumuuliza kwa nini wanawake hawaruhusiwi? na zaidi ya yeye, ma freemasons wengine prominent Tanzania ni akina nani?.
Kusema ukweli, Andy Chande has taken Gerald Hando for a ride kwa leading questions za maswali mboga mboga ili kuipromote freemasons, nimejikumbuka enzi zangu nilipokuwa nikifanya interview programs, ilikuwa ni grilling time and leave no stone unturned!.
All and all tuishukuru Clouds FM, something is better than nothing!.
Thanks
Pasco.
kwa arusha ni onsea house kama kwa mbele ya kwa mrefu hiviametaja eneo ilipo.....?
Kwa kweli Gerald
ameni-disappoint sana katika interview hii. Yani kama vile Chande ndio
alikuwa anaongoza...badala ya kuchimbua mambo anayoyasema Chande juu
juu, unaona Chande akifika mahali Gerald anasema kwa kurudia
alichomalizia kusema anakifanya kiwe kama swali "kwa hiyo umesema
freemasonry hawatoi pesa eh!?"..aahhg!!Very poor interview!
Anyways, nisimlaumu sana. Amejitahidi kidogo!
My Opinion to Interviwers: Jitahidini jamani mfanye homework yenu
kabla hamjaenda eneo la tukio. You need to learn and know most of the
things already known or written, ili uweze kujua maeneo zaidi
yanayotatiza ndio uyaulize. Waandishi tujitahidi kuwa interviewers not
just reporters!!
ametaja eneo ilipo.....?