Freemasons: Sir Andy Chande Live On Clouds TV!

Freemasons hawana mambo yoyote ya siri zaidi ya "rituals" na "ceremonies" ila siri ni jinsi wanavyotambuana kuna alama fulani za siri ambazo ni freemasons tuu watatambuana.
 
Alisema sifa kubwa ya kuwa Freemasons lazima kwanza uwe na umri wa miaka 21 na lazima uwe unaamini Mungu, ila ni mungu yoyote, God, Allah, Budha, Krishna, etc, wapangani au wenye kuabudu dini za kiasili hawaruhusiwi kuwa members!.
 
Lengo la kuja hapo ni nini?

•kutafuta wanachama?
•kuelimisha umuhimu wa freemason?

Waandishi wenyewe ndio wamemfuata hao ndio wa kuulizwa na siyo yeye..........kifupi anaonyesha kuna ugumu wa ku-join kuliko inavyofikiriwa
 
Wakati wakifanya " rituals" wanatakiwa kuvaa kama ulivyokuja duniani, with nothing but huvaa white pyjamas!.
 
[COLOR=#ff0000 said:
Nyani Ngabu;4623845]Hivi kwa nini kuna fascination na fixation ya hiyo freemason?[/COLOR][]

I know...right !!! Kila kitu conspiratorial always takes a lot of our energy.
Pia najiuliza mbona hawazungumzagi kuhusu SKULL AND BONES?
 
Faida za kuwa freemasons, ni kujitolea tuu, only charity no any monetary benefits.
 
Mimi nimetune ITV Televishion yetu ya Taifa naangalia malumbano ya hoja.
Back to topic huyu mzee Chande anataka kuharibu dili la Shigongo la adakadabla za Freemason, huu ni mgogoro wa kimaslahi.
 
Back
Top Bottom