Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

Kinachonishangaza zaidi katika sakata Ili Ben Saanane ni ukimya wa muajiri wake hata baada ya taarifa hiyo kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kimataifa. Haiwezekani Katibu Myeka wa Mwenyekiti apotee kwa siku zaidi ya 20 mwajiri usishtuke. Leo mnataka kupaka matope serikali kwa kwa issue ya kijinga kama hii.
Hivi Watanzania tumekuwa mazuzu wa kufikiri kiasi hiki? Kama raia au mtu yeyote akipotea na ikatolewa taarifa kwamba kapotea, NI JUKUMU LA SERIKALI na vyombo vyake kuhakikisha anapatikana au inamtafuta. Tunaweka serikali madarakani ili ilinde Uhai na mali zetu. Hilo ndilo jukumu kuu la serikali na siyo jukumu la chama cha siasa kiwe ni CCM au CHADEMA. Ni jukumu la kwanza la serikali na ndiyo maana tunaipa serikali vyomba vya kuisaidia kutimiza wajibu wake huo. Serikali isiyotimiza wajibu wa kunilinda akaniacha nikatishwa na jirani zangu, wawe wa hapa nchini au wa nje, imepoteza uhalali wa kuwepo. Hili siyo jambo la kijinga. Kama kupotea mtu ni jambo la kijinga la kielevu ni lipi? Ebu tuweke mihemuko pembeni na tusiipe akili yetu likizo isiyo na malipo. In such matters, Let us use our Reason and not our Hearts.
 
[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#TunamtakaBenAkiwaHai[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#usirudiekosa2020[/HASHTAG]
 
nitajiepusha na uzi kama hizi anzia sasa zinadumaza akili zangu na kunisababisha biwe na akili za kipumbavu kama wewe uliyeleta mada hii na wenzako wote
 
Polisi wafanye kazi yao; kama Mbowe au Chadema wanahusika na kutoweka kwa Ben basi waisaidie polisi badala ya Polisi kutupa majibu rahisi ati wakaangalie wale maiti waliookotwa Mto Ruvu.

Suala la wakosoaji wa watawala kutoweka ktk mazingira tata ni hatari kwa ustawibwa demokrasia na utangamano wa Taifa; masuala hayo tumezoea kuyasikia Burundi na Rwanda, sio Tanzania.

Vv
 
Hivi Watanzania tumekuwa mazuzu wa kufikiri kiasi hiki? Kama raia au mtu yeyote akipotea na ikatolewa taarifa kwamba kapotea, NI JUKUMU LA SERIKALI na vyombo vyake kuhakikisha anapatikana au inamtafuta. Tunaweka serikali madarakani ili ilinde Uhai na mali zetu. Hilo ndilo jukumu kuu la serikali na siyo jukumu la chama cha siasa kiwe ni CCM au CHADEMA. Ni jukumu la kwanza la serikali na ndiyo maana tunaipa serikali vyomba vya kuisaidia kutimiza wajibu wake huo. Serikali isiyotimiza wajibu wa kunilinda akaniacha nikatishwa na jirani zangu, wawe wa hapa nchini au wa nje, imepoteza uhalali wa kuwepo. Hili siyo jambo la kijinga. Kama kupotea mtu ni jambo la kijinga la kielevu ni lipi? Ebu tuweke mihemuko pembeni na tusiipe akili yetu likizo isiyo na malipo. In such matters, Let us use our Reason and not our Hearts.
Angekuwa ndugu yako usingeropoka hivi. Tuwe na uchungu na wenzettu
 
2. Hofu ya CHADEMA juu kupotea kwa Ben Saanane ni kwa sababu BEN alikuwa mkosoaji mkubwa wa Rais Magufuli (kwa mujibu wa Tamko la Chama kupitia Mwanasheria wake mkuu, Tundu Lissu) au ni kwa sababu alikuwa Mfedheheshaji, Mtukanaji na mdhalilishaji mkubwa wa rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Ebu sema alimtukana matusi gani? hata tusi moja tu linatosha. ili Tuwe objective! Tuanzie hapo
Yaani anampita hadi Lema na Lissu mwenyewe?
Kwanza hata angefanya hivyo alikuwa na impact gani ya kumzidi Lema au Tundu? Alikuwa kijana mdogo tu, a minor, asiye na cheo chochote cha maana ndani ya chadema na asiyejulikana na wengi.

Sasa iweje yeye apotezwe na serikali na kuachwa hao wenye influence kama Lema na Tundu? Haiingii kichwani.
 
Yaani anampita hadi Lema na Lissu mwenyewe?
Kwanza hata angefanya hivyo alikuwa na impact gani ya kumzidi Lema au Tundu? Alikuwa kijana mdogo tu, a minor, asiye na cheo chochote cha maana ndani ya chadema na asiyejulikana na wengi.

Sasa iweje yeye apotezwe na serikali na kuachwa hao wenye influence kama Lema na Tundu? Haiingii kichwani.
Tendency ya kufuata wadogo kwenye mitandao ime dominate! Vitu vidogo vidogo serikali hii inavifuatilia sana na kuacha vikubwa
 
Roho inaniuma.Ben namjua Ni Kijana makini NA mstaarabu.Ungekuwa S.Africa ingejulikana.Bring Back our Ben.
 
Bila shaka ni serikali tu yenye mamlaka yakufanya upelelezi na kutoa ukweli kuhusu Ben Saanane. Sasa mtu mwenye akili timamu nakushangaa unaposema CHADEMA wanajua aliko Ben Saanane wakati wao sio polisi. Kuna wakati inabidi mtu ukubali tu kwa utashi wako kutumia akili zako nasio kutumia mawazo uliyopewa na wakubwa wako...POLIDECTIVE FENCES IN POLITICS
 
Mazingaombwe ya wahamiaji haramu. Mara hii mmesahau mzee wa ugaidi?Na sasa ndiye mkuu wa kitengo.​
 
Haingii akilini kabisa, kwa mtu ambae ananisaidia au msaidizi wangu wa kazi zote asionekani kwa siku bili tu kazini nikose kumtafuta haingii akilini kabisa
Imechukua siku 25 bila mwenyekiti mbowe, kutamka jambo lolote, lile zaidi ni juzi tu nimemsikia mwanasheria wa chama ndugu lisu akiongea kwa maneno yasiokua na kichwa wala miguu mwansheria wa chama unasema saa name alitumia meaege na mtu ambaehajulikani huo ni upuuzi kwa wanachama na kuapumbaza
Neona mbowe akisema vijana waacha kushutumu viongozi na kuhoji maswala ya chama kwenye mitandao
Narudia tena mbowe anaeza kujua alipo saa nane hilo alikwepeki kabisa
6dc8d3c1d32f66b2dc1366b888e0a92b.jpg
 
Duniani kote hamna democrasia ya kutukana watu matusi.

Nyumbu wanatakiwa wajieshimu.
Kwa hili hongera sana Mbowe
 
maneno yasiokua na kichwa wala miguu mwansheria wa chama unasema saa name alitumia meaege na mtu ambaehajulikani huo ni upuuzi kwa wanachama na kuapumbaza

Polisi wamkamate Lissu ili akaelezee huo upuuzi ameutoa wapi..Its very simple

Kwa nia njema tu ya polisi kutafuta raia ben ambaye hajulikani alipo
 
Duniani kote hamna democrasia ya kutukana watu matusi.

Nyumbu wanatakiwa wajieshimu.
Kwa hili hongera sana Mbowe
na wewe naweee...Mbowe ameongea hayo akiwa wapi? una ushahidi wapi wa hayo maneno kasema/kaandika mbowe? Poor you
 
Kwani ww hujui mbowe yuko wapi? Mwambieni tunamtaka saa nane hata akitoka ulaya aje namajibu
 
Back
Top Bottom