Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Kama Mbowe ni jipu, haiondoi hao aliowataja. Ikithibitika watumbuliwe tu, maana PM alisema namnukuu maneno yake-Wakati wa Kutumbua Majipu, Hatutamuonea Mtu,mwisho wa kunukuu.

Hivyo kila anaestahiki jipu atumbuliwe tu!

Ila falsafa hii ya jipu sijaipata kinagabaga lengo ni nini?!:-
1. Kuondoa wabadhirifu
2. Kuwashtaki Wabadhirifu
3.Kuondoa wazembe
4. Kuunda Team Mpya

Au hasa ni nini?
Kuondoa wale waliokula wa hawamu ya 4 na kuweka walaji wa hawamu ya 5
 
Kama Mbowe ni jipu, haiondoi hao aliowataja. Ikithibitika watumbuliwe tu, maana PM alisema namnukuu maneno yake-Wakati wa Kutumbua Majipu, Hatutamuonea Mtu,mwisho wa kunukuu.

Hivyo kila anaestahiki jipu atumbuliwe tu!

Ila falsafa hii ya jipu sijaipata kinagabaga lengo ni nini?!:-
1. Kuondoa wabadhirifu
2. Kuwashtaki Wabadhirifu
3.Kuondoa wazembe
4. Kuunda Team Mpya

Au hasa ni nini?
1,2 na 3 ni maana ya utumbuaji wa majipu, lakini inalenga zaidi kwenye ufisadi wa mali ya umma.
 
Chadema wananiboaga mara nyingi, wao matumbo mbele na kiki za kutamkwa/kuongelewa ndilo kama kawa.
 
Mbowe lazima tumtolee uvivu hatakama vijana wanaokufatisha wanayajua matusi. Ameshapoteza hadhi ya kupambana na ufisadi, anatuletea ujanja kama wa disco kuopoa vimwana kwa uongo. Ataje na majipu yaliyopo chadema asiyalinde kwakuwa ni marafiki zake! Atuambie yule babu aliyewahi milikishwa Ubungo bus terminal kama alituibia ama la!
Demokrasia yetu ni kushambulia upande wa pili bila hâta kujitafsiri wewe na wenzio wa karibu....bado sana japo wanajaribu.
 
Mnafiki tu mbona lowasa hajamtaja? Anatafuta kick mianya yote ya kujipanua kisiasa imezibwa sasa anahaha
 
Mnafiki tu mbona lowasa hajamtaja? Anatafuta kick mianya yote ya kujipanua kisiasa imezibwa sasa anahaha
Kama umemtaja atatumbuliwa. Yeye kawataja hao, wewe umemtaja huyo, basi watatumbuliwa wote
 
Mbowe lazima tumtolee uvivu hatakama vijana wanaokufatisha wanayajua matusi. Ameshapoteza hadhi ya kupambana na ufisadi, anatuletea ujanja kama wa disco kuopoa vimwana kwa uongo. Ataje na majipu yaliyopo chadema asiyalinde kwakuwa ni marafiki zake! Atuambie yule babu aliyewahi milikishwa Ubungo bus terminal kama alituibia ama la!
Demokrasia yetu ni kushambulia upande wa pili bila hâta kujitafsiri wewe na wenzio wa karibu....bado sana japo wanajaribu.
Hiyo unayemwita Babu alichukua hivyo vitu akiwa kwenye kapu lipi? KAPU LA CHAMA CHA MAJIPU
 
U
Majipu si ndio mada ya uzi huu, hayo ya Zanzibar mie sijaona kitu kinachoonesha wakichakachua embu nirushie nione labda nilipitwa. Usisahau
Kilitokea nini tarehe 25/10/15 mpaka mpaka mkafuta uchaguzi katiba inasemaje?
 
Na wanaoshabikia CCM na utawala huu huwa najiuliza kama ni hamnazo au ni kufaidika na ushabiki huo. Mambo yako wazi wasomi wa nchi hii waisaidie nchi historia isije kuwahukumu
Haha mie naona CDM ndio hamnazo
 
Back
Top Bottom