Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

Freeman Mbowe: Majipu matatu haya hapa

downloadfile-1.jpeg


swissme
 
Tutaamini vp? Ikiwa walisema Lowassa fisadi na ushahidi wanao, baadaye wakasema Lowassa msafi anayeona ni fisadi atoe ushahidi apeleke mahakamani. Leo kashasahau yote hayo anataka kutuaminisha tena mengine.
Nyei si ndio mlisema fisadi kwenye kampeni zenu nendeni mahakamani
 
KAMA Ilivyo Kwa Wale Waliokuwa Wakisisitiza Kuwa Wana Ushaidi Wa KUITHIBITISHIA MAHAKAMA Ufisadi Wa Mh. LOWASSA, ALISEMA Hivyo SAMUEL SITTA, HARRISON MWAKYEMBE, YUSUPH MAKAMBA, MAKONGORO NYERERE, JAKAYA KIKWETE, HUMPHREY POLE POLE, ABDALAH BULEMBO N.k .TENA Walizunguka Nchi Nzima Kusema Wana USHAIDI Wa Kuthibitisha Hilo Mbele Ya MAHAKAMA!!! SASA WATANZANIA WANASUBIRI Kuona MAFISADI WAKUBWA WALIOTAJWA Kipindi Cha KAMPENI Wakikamatwa, Wakihojiwa, Wakishitakiwa, Wakifungwa Na Wakifiisiwa Mali Zao Zooote!!!!! HATA Wale Walionunua MELI CHAKAVU Kwa Billion 8 Na KUMDANGANYA MAGUFULI Wkt Wa KUIZINDUA, Kuwa Ni MPYA!!!! YAANI "MAJIPU " Makubwa Hayajaguswa Kabisa!!
Bila kusahau mchungaji Msigwa, Lema, Mbowe na Dk Slaa!! Msigwa akaenda mbali zaidi kwa kusema anayemsapoti Lowassa akapimwe akili. Lema naye hakuwa nyuma kusema ni heshima kubwa kumzomea fisadi Lowassa mitaani! Na akashangaa kwa nini wananchi wanaua vibaka na kuacha Lowassa akila misele barabarani!
 
Bila kusahau mchungaji Msigwa, Lema, Mbowe na Dk Slaa!! Msigwa akaenda mbali zaidi kwa kusema anayemsapoti Lowassa akapimwe akili. Lema naye hakuwa nyuma kusema ni heshima kubwa kumzomea fisadi Lowassa mitaani! Na akashangaa kwa nini wananchi wanaua vibaka na kuacha Lowassa akila misele barabarani!
NYUMBA ZA SEREKALI SIYO BUSHA KWELI MAANA NIZAIDI YA JIPU
 
KAMA Ilivyo Kwa Wale Waliokuwa Wakisisitiza Kuwa Wana Ushaidi Wa KUITHIBITISHIA MAHAKAMA Ufisadi Wa Mh. LOWASSA, ALISEMA Hivyo SAMUEL SITTA, HARRISON MWAKYEMBE, YUSUPH MAKAMBA, MAKONGORO NYERERE, JAKAYA KIKWETE, HUMPHREY POLE POLE, ABDALAH BULEMBO N.k .TENA Walizunguka Nchi Nzima Kusema Wana USHAIDI Wa Kuthibitisha Hilo Mbele Ya MAHAKAMA!!! SASA WATANZANIA WANASUBIRI Kuona MAFISADI WAKUBWA WALIOTAJWA Kipindi Cha KAMPENI Wakikamatwa, Wakihojiwa, Wakishitakiwa, Wakifungwa Na Wakifiisiwa Mali Zao Zooote!!!!! HATA Wale Walionunua MELI CHAKAVU Kwa Billion 8 Na KUMDANGANYA MAGUFULI Wkt Wa KUIZINDUA, Kuwa Ni MPYA!!!! YAANI "MAJIPU " Makubwa Hayajaguswa Kabisa!!
Wakitoa ushahidi naacha siasa
 
Watanzania bwana wanataka vitumbuliwe vi upele kwa kuyaita majibu lakini majibu yenyewe wanayaacha kama tumeamua kweli kutumbua majibu tuyatumbue kweli
 
Yeye mwenyewe Mbowe anasubiri kutumbuliwa. Alipewa uongozi mwaka 2004, alipaswa kukabidhi uongozi kwa mwingine mwaka 2014, leo hii 2016 anawanyooshea vidole wengine, wakati kutumbuliwa kunamhusu pia.
 
Ndio maana Suma Lee alisema kaja ukawa kuwafundisha jinsi kazi za serikali zinavyofanywa...suali hilo alishawahi kujibiwa Kubenyea na Suma lee...nenda kamuulize!
Sasa wewe ulivyofundishwa inamisha mgogo hapo lumumba ndio unafikiri huku watu wanafundishwa tuu huku nikwawaerevu
 
NYUMBA ZA SEREKALI SIYO BUSHA KWELI MAANA NIZAIDI YA JIPU
Naona jiwe limekupata ukakimbilia nyumba!!!

Jipu la muidhinishaji mkuu wa uuzwaji wa hizo nyumba mnalo huko ufipa! Tena lilikuja hadharani kujitetea wakati linatangaza nia kupitia CCM. Sumayi
 
Back
Top Bottom