Sasa hapo ndo umeongea nini! Unataka kusema ccm ni wema kwa chadema ila wabaya ni vyombo vilivyo chini ya ccm?Acheni unafiki kwani hakuna msilolijua. Chadema haijawahi kupambana na ccm bali vyombo vya kimamlaka vilivyoko chini ya ccm. Mf rahisi kabisa ni majuzi tu kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Chadema walikumbana na vikwazo toka kwa Watendaji Kata/Vijiji na siyo ccm.
Mbowe siyo mpinzani. Mbona kila mambo yakitaka kuiva anabadili gia angani? Hivi unajua asingebadili gia angani 2015 chadema ingekuwa ikikoroma JPM angekuwa anaufyata. Maana morali ya vijana ilikuwa juu sana under Dr Slaa. Walikuwa tayari kwa lolote. Baada ya yy kutoka vijana morali imekufa mnabakia na kuomba poo
Wapinzani wa nchi hii ni wapumbav* sana sijawahi kuona. Inakuwa je unalinganisha Hand Shaking ya Odinga na Kenyatta na ombi la Mbowe kwa JPM?
Hivi mkiulizwa ni maridhiano gani mbowe walikuwa anaomba MNA jibu?
Msivyo na akili mtasema uminywaji wa Demokrasia. Je Chadema kuna Demokrasia?
Very true...jamaa ameitazama 2020, anapojiona hana Mbunge na Hana biashara.
Wewe ni wakupuuzwa..
Wapinzani wa nchi hii ni wapumbav* sana sijawahi kuona. Inakuwa je unalinganisha Hand Shaking ya Odinga na Kenyatta na ombi la Mbowe kwa JPM?
Hivi mkiulizwa ni maridhiano gani mbowe walikuwa anaomba MNA jibu?
Msivyo na akili mtasema uminywaji wa Demokrasia. Je Chadema kuna Demokrasia?
Haya tueleze wewe mwenye akili uliyebwabwaja bila kutoa hoja yenye akili, Mbowe aliomba maridhiano gani?
Ofcoz ndio maana makamanda wote walikuwa wamejaa uwanjani . Sasa kazi ni kupiga ramli nini lengo lao la mkiingia kichwa kichwa jasho litawatoka. Mi sijaelewa maridhiano ya kitu gani mpaka sasaLile halikuwa swala la mbowe Bali kamati kuu ya chama chao.
Safi sana kwa bandiko kama gharama za uchaguzi tu zinatushinda mpaka tutembeze bakuli kwa hao tunowaita Mabeberu si aibu sana hii.Nchi masikini in ngumu sana kujitegemea. Wazungu wanalijua hill vizuri. Wanajua wakati sahihi wa kukubana.
Sasa unalaumu tu wakati hujui hayo maridhiano yatalenga wapi labda ndio mwanzo wa kupata tume huru na katiba mpya who knows.CHADEMA wangekuwa wapinzani wa kweli hiyo ndio ilikuwa nafasi pekee ya kusimamia ajenda hasa kupata tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.
Ila kwa sababu wanajali matumbo yao ndio maana wanatupuuza wananchi...
Mkuu mwanzo wa ngoma ni lele. Au ulitaka Mbowe azungumze hayo yote kwenye hadhara ile aliyopewa sekunde chache za kusalimia?CHADEMA wangekuwa wapinzani wa kweli hiyo ndio ilikuwa nafasi pekee ya kusimamia ajenda hasa kupata tume huru ya uchaguzi na Katiba mpya.
Ila kwa sababu wanajali matumbo yao ndio maana wanatupuuza wananchi...
Mkuu Jerusalem, karibuWafadhili wameweka msimamo!! Masharti yanataka kuwe na Political agreement between Parties! Wapi waanzie? CHADEMA Wamevunja ukimya !! And very soon msimamo wa JPM utabadilika Kabisa.