Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Anajua kitu gani huyo wa lumumba?
Unajua kabla Miguna Miguna hajawa kambi ya Raila ule uchaguzi ambao Raila alikuwa anashiriki kama waziri mkuu mstaafu Miguna alikuwa anamchukilia vipi? Emb fuatilia kisha ujue tofauti zilizopo.."Come baby come..I have all things right here..." Unajua huo msemo ulitoka wapi? Uwe unafuatilia kwanza kabla ya kulipuka!