Freeman Mbowe, kwanini maridhiano sasa?

Freeman Mbowe, kwanini maridhiano sasa?

Anajua kitu gani huyo wa lumumba?
Unajua kabla Miguna Miguna hajawa kambi ya Raila ule uchaguzi ambao Raila alikuwa anashiriki kama waziri mkuu mstaafu Miguna alikuwa anamchukilia vipi? Emb fuatilia kisha ujue tofauti zilizopo.."Come baby come..I have all things right here..." Unajua huo msemo ulitoka wapi? Uwe unafuatilia kwanza kabla ya kulipuka!
 
Cherenganya,
Makala yako ni ndefu sana imenichosha, nimeshindwa kuimaliza. lkn kutokana na swali ulilouliza kwenye kichwa cha habari, jibu lake ni dogo sana. Nalo ni; Si lazima kufanya siasa wakati huu.

Muda utafika atakuja kiongozi atakaetaka tufanye siasa, atakuja kiongozi atakayetaka kusikiliza kutoka kwa wengine, hali ya siasa nchi na kwa maoni ya walio wengi wa naona ya kuwa viongozi wengi walio selikalini wanaamini wapinzani ndio kikwazo cha maendeleo. Bendera ndio kikwazo cha maendeleo, umoja wa makabila mikoani ndio kikwaazo cha maendeleo nchini, kuwa na viongozi wa serikali za mtaa na vitongoji ndio kikwazo cha maendeleo. Na ili kutuliza joto hili, ndio maana kwa busara Mh Mbowe kaomba maridhiano ya kitaifa.

Kama bendera zishashushwa, kama viongozi wa serikali za mitaa weshapatikana. Sasa ni wakati wa kuongea pamoja
 
Bila kusahau na kamati ya viongozi wa dini madhehebu yoote kwenye kutafuta muafaka, ambayo kimsingi jamaa zetu wa mwandiga wameukataa kisa wana uhakika wa kutinga magogoni kwa sababu ya maalim
Hebu fanyeni hata tafiti kidogo ndipo mtagundua appearance ya KUB kwenye sherehe za uhuru ni maazimio yaliyopitishwa na kamati kuu ya Chadema na sio maamuzi binafsi ya Kamanda Mbowe na taarifa ya kamati kuu ipo ilisambazwa.
 
Wenye ubongo wa kuku wanajifanya watabiri na wajuaji kwelikweli
 
Aisopos, Mkuu kama umeusoma uzi wangu nimeligusia hilo na nimeepeza pia wasiwasi wangu kwamba Kama mkandamizaji ana chuki binafsi alitaka kukukomoa sawa anaweza kuingia kwa maridhiano lau si hivyo hawezi acha kwakua lake halijatimia.
 
Wewe na wenzako wote hamjui chochote kinachoendelea kwa sasa..kama hujui kitu kubakia kimya nayo ni busara.
Lakini sawa hii kwakua hata katika kuahirisha uchaguzi wa chama kitaifa Ni msajili wa vyama ndio alitoa tishio ndio mkatoa miniti za kikao kwamba mmeridhiana kusogeza uchaguzi hadi desemba.
 
Mmawia Mbowe siyo mpinzani. Mbona kila mambo yakitaka kuiva anabadili gia angani? Hivi unajua asingebadili gia angani 2015 chadema ingekuwa ikikoroma JPM angekuwa anaufyata. Maana morali ya vijana ilikuwa juu sana under Dr Slaa. Walikuwa tayari kwa lolote. Baada ya yy kutoka vijana morali imekufa mnabakia na kuomba poo
 
Ni bahati mbaya sana watu hawajadili hoja iliyotolewa na Chadema (kupitia mdomo wa Mbowe) na wanamjadili Mbowe kama vile hoja ile ni yake katika nayo nyumbani au anatabia kama za Magufuli kutoa kauli za kisera tokea kichwani mwake bila ridhaa ya chama.
Nchi kwa wale walioitembelea na kuifahamu vyema ni kuwa imekwisha bomoka bado kidogo tuu migogoro chungu nzima itaibuka kila upande hasa baada ya uchaguzi wa SM.
Watu waliochomekewa viongozi huko vijijini wana uelewa na kimeanza kuwaka maeneo mbalimbali kuwakataa.View attachment 1287773
Tutaacha vipi kumzungumzia Mbowe, ilihali yeye niye Mwenyekiti, yeye ndiye Mkuu wa kuteua (lisu kuchukua fomu ya ugombea umakamu)

Hivi leo hii CCM wazingue alafu Magufuli asikuswe? Wanasiasa wana DINI NA MUNGU WAO si huyu wakwetu tunayemtolea Zaka na Sadaka, wakwao anataka kafara, na kafara miongoni mwa waumini katika DINI yao MABOYA/MAKOLO hawa ndio huishia kutundikwa na kuwambwa kama panya.
 
Wapinzani wa nchi hii ni wapumbav* sana sijawahi kuona. Inakuwa je unalinganisha Hand Shaking ya Odinga na Kenyatta na ombi la Mbowe kwa JPM?

Hivi mkiulizwa ni maridhiano gani mbowe walikuwa anaomba MNA jibu?

Msivyo na akili mtasema uminywaji wa Demokrasia. Je Chadema kuna Demokrasia?
 
Wapinzani wa nchi hii ni wapumbav* sana sijawahi kuona. Inakuwa je unalinganisha Hand Shaking ya Odinga na Kenyatta na ombi la Mbowe kwa JPM?

Hivi mkiulizwa ni maridhiano gani mbowe walikuwa anaomba MNA jibu?

Msivyo na akili mtasema uminywaji wa Demokrasia. Je Chadema kuna Demokrasia?
Haya tueleze wewe mwenye akili uliyebwabwaja bila kutoa hoja yenye akili, Mbowe aliomba maridhiano gani?
 
Mbowe siyo mpinzani. Mbona kila mambo yakitaka kuiva anabadili gia angani? Hivi unajua asingebadili gia angani 2015 chadema ingekuwa ikikoroma JPM angekuwa anaufyata. Maana morali ya vijana ilikuwa juu sana under Dr Slaa. Walikuwa tayari kwa lolote. Baada ya yy kutoka vijana morali imekufa mnabakia na kuomba poo
very true
 
Mleta mada, umeandika mambo mengi sana na mengi ni mawazo yako binafsi ukijaribu kuwaza nia ya Mbowe ni hii ama ile. Ukiuliza swali, usiweke assumptions, assertions, opinions zako!!

Huenda hujui siasa ni nini. Siasa ni jambo linaloongozwa na mahitaji ya nyakati!! Swali langu ningekuwa “Kwanini unahitaji maridhiano?” Kuongeza “sasa” hapo mwishoni kunaonesha huna ufahamu wa kutosha kuhusu jambo unalouliza. Lakini hata kama na “sasa” itakuwepo - hukusikia Mbowe akisema mambo ambayo anadhani taifa hili linahitaji sasa hivi??
 
katika yote haya SIO ZITTO ALIYEFANYA!!! Zitto angefanya haya na ACT, CDM yote wangemgeujia na kusema ''unaona??""
 
Mkuu umeongea vema.
Mbowe na wanao mpondea hili wazo lake la maridhiano nawafananisha Luther King Jr na Malcolm X.
Mbowe ni kama Luther King Jr na wakosoaji wake ni kundi la Malcolm X.

Wakati fulani lazima utumie njia za kidiplomasia zaidi kulingana na mazingira ya vita na aina ya adui wako na nyenzo zake.
Nasimama na Mbowe, maridhiano sio kushindwa vita.
Mfano Magu akikataa atafanyaje?
 
Mfano Magu akikataa atafanyaje?
Basi hapo wapinzani watakuwa wameongeza point muhimu za kuthibitisha hakuna demokrasia , na wenye dhamana hawana nia ya kufikia muafaka wa kuondoa tatizo.
Hivyo wapinzani watapata uhalali wa kufanya uhasi (civil unrest), pia kutakuwa na uwezekano mkubwa wa kuungwa mkono na nchi zenye ushawishi mkubwa wa kuweza kuibana serikali au kuwawekea vikwazo wenye dhamana.

Unapotaka mabadiliko makubwa na ya kudumu inabidi lazima yawe ni gradual process sio unataka yatokee mara moja ghafla tu.
 
Aisopos,
Tatizo mfumo wa vyama vingi haujawahi kukubalika nchini, ambacho kilifanyika mwaka 1992 ni kuihadaa dunia (ili kuepusha kukosa misaada). Kinachoendelea tangu wakati huo mimi naita ni "kufanya maiti itembee".

Hata awamu zilizopita walisimamia kuhakikisha mfumo wa awali hautikiswi, wakafanikiwa kuionyesha dunia kuwa tuko kwenye multiparty politics kwa kuachia kidogo mpaka pale walipotaka wao (they set limits to safeguard the old system).

Napendekeza forums kama hii ziende deep zaidi watu kwa elimu, uwezo na ujuzi wao wa mambo waweke wazi kinachopaswa kufanyika kwa mazingira ya sasa.
 
Back
Top Bottom