Usipotoshe nia nzuri ya Mbowe
Maridhiano ndiyo njia pekee ya kistaarabu kufikia maelewano
Ngoja nikuulize swali dogo tu, hivi kina Mandela walifkia maridhiano Afrika Kusini, kuna mtu alilaumu uamuzi huo??
Hivi Uhuru Kenyatta wa Kenya kufanya maridhiano na Odinga, kuna watu wanalaumu??
Unapoweka nchi mbele zaidi ya ubinafsi, unaweza ukafikia maridhiano, lakini unaooweka ubinafsi mbele ni lazima hutapendekeza yafikiwe maridhiano
Kwa hiyo wapinzani wa nchi hii wanalazimika kumpongeza Mbowe, kwa kuamwambia Rais Magufuli kuwa wao upinzani wako tayari kwa maridhiano..........
Kwa hiyo kazi kwake yeye Rais Magufuli, kama ataweka mbele.maslahi ya Taifa, ataridhia ombi hilo la Mbowe na kama ataweka mbele maslahi binafsi yake yeye mwenyewe binafsi, atayakataa