Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,272
Hadithi nzuri sana, kama tu, yasinge kuwa yanajulikana yaliyo nyuma ya pazia!Nadhani hata akisema tu madawa ayapeleke kwenye anwani fulani Ubungo au Rorya nako pia ni kusafirisha, na kupokea malipo kwa tigopesa nako pia; hata kama safari ilianzia Vwawa ikaishia Kundus nchini Pakistan huko nako ni kusafirisha. Zamani walitumia ngamia jangwani au meli baharini siku hizi ni Google. Tushukuru nji yetuTanzania ni nchi yenye katiba inayolinda raia wake na kuwapa nafasi ya kujitetea nahakamani. China au Kenya angekula risasi wakati akikamatwa.
Kuhusu risasi, Lisu alifyatuliwa makao Makuu ya nchi bila kukutwa na madawa yoyote!