cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,409
- 137,045
khaaaahMuuza kuku (Mr Kuku) alibambikizwa kesi ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha. Muuza spare za simu akabambikizwa kesi ya kusafirisha madawa ya kulevya kutoka pakistani kwenda mbeya wakati hata passport wala kitambulisho cha NIDA hajawahi kumiliki.
Magu Fool alikua ana matatizo kisaikolojia.