Mkuu hivi anayekusanya kodi toka kwa wananchi wa Hai na Tanzania kwa ujumla ni nani?hiyo kodi yao inafanya kazi gani kama hata dawa wanakosa.Huyu anayekusanya kodi hivi hajui kama hawa wananchi wasipokuwa na afya njema hawataweza kufanya kazi na hivyo kushindwa kuendelea kulipa kodi?Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?