kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,746
Wewe ungekuwa unajifunza lugha ungekuja na ID ya MSALANI? naona umeona unasakamwa sana umeamua kubadili na kuweka hicho ulichokiweka.Jifunze lugha acha porojo mingi.
Wewe ungekuwa unajifunza lugha ungekuja na ID ya MSALANI? naona umeona unasakamwa sana umeamua kubadili na kuweka hicho ulichokiweka.Jifunze lugha acha porojo mingi.
Nyerere aliiuwa nchi kabisa katika utawala wake wa miaka 24, Mwinyi akaja kuwapa watu ahueni "ruksa", Mkapa akaanza vizuri halafu akawa kubwa la kujilimbikizia mali.
Kikwete kaja kubomoa misingi yote mibovu aliyotuwekea Nyerere. Kaanza Alif kwa kijiti, mimi nnahesabu miaka 9 ya Kikwete ndiyo iliyoleta mabadiliko na maendeleo ya ukweli, hao wengi sijaona cha maendeleo walichokifanyia Tanzania.
Kumbuka kuwa Mwinyi na Mkapa walikuwa remote na vikaragosi vya yule yule aliyeiuwa Tanganyika.