Freeman Mbowe atoa magari ya wagonjwa Hai

Freeman Mbowe atoa magari ya wagonjwa Hai

Sijapenda hili gari lilivyondikwa na jina la Mbowe pia pale kwa juu.

Hili ndio umependa kwa kuwa tu huyu aliyetoa ni miongoni mwa maCCM?

DSCF7201.JPG
 
Mada tamu sana hii.. wenyee wivu wakike wameumia sana... Nasikitika sana.. badala ya kumpongeza wanaanza kuponda alikua wapi... mbona sisi hatuulizi hizi barabara zinazojengwa kwa kasi mwaka huu ni kwa lengo gani..?? Watanzania sio MAFALA TENA.... tunajua mtashinda ila kwa Wizi.....
 
Kwa hiyo
1. Barabara ya Dar to Mwanza Kajenga Kikwete?
2. Uwanja wa Ndege wa JK Nyerere kajenga Kikwete?
3. Uwanja wa kisasa wa Taifa kajenga Kikwete?
4. Ukumbi wa Kisasa wa Bunge kajenga Kikwete?

** Naomba unitajie kitu kimoja tu kinacho onekana kwa macho alichokijenga Mwinyi ambacho kipo hadi sasa lakini usinitajie misikiti kwani wakati wa utawala wake ndio ilijengwa kwa wingi.

Ndugu jitahidi kuwa na fikra zenye ukweli kuliko kuwa na fikra za kutumika kwa kuegemea misingi ya kidini, Kikwete ndugu ndio aliyeibomoa hii nchi hadi kufanya CCM kupoteza mvuto na imani kutoka kwa wananchi kama Kikwete angekuwa kafanya vizuri inakuwaje CCM inazidi kupoteza mvuto kwa Watanzania.

Kanisome upya post yangu. Sijaongelea kujenga. Huo ni mjadala mwingine kabisa. Na unaweza ufungulia nyuzi yake mpya tuujadili. Hapa tunaongelea Mbowe na Ambulance na mengine yanajitokeza by the way lakini si pa kuyajadili kwa kina.
 
Ubunge sio ufadhili, ubunge ni uwakilishi. Ninapinga vikali dhana hii ya misaada kutoka kwa so called MPs kwenda kwa wananchi hasa karbia kipindi cha uchaguzi, hali hii ni ya kukemewa na wanamageuzi wote nchini kwani inahalalisha rushwa. Ni aibu kwa kiongozi wa upinzani kutumia mbinu zile zile za mafisadi wa CCM, Mfano ukienda morogoro mjini wanaCHADEMA wamekuwa wakimpinga sana mhe.Abood kwa tabia hizi hizi za kuleta misaada kwenye uchaguzi, sasa iweje na sisi upinzani tufanye hivi?
Huenda mhe.Mbowe hakuwa na nia mbaya lakini kakosea timing, so almostly hili linakuwa ni kosa. UBUNGE SIO UFADHILI.
 
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?

Kwahiyo ni jukumu la Mbowe kuleta madaktari na madawa au ni jukumu la Serikali?
Akili za msoga ni jinga haswa
 
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?

Sasa hayo madawa si kazi ya serikali makini, au uitaka na madawa pia mbowe atoe, kazi ya kodi ni nini
 
Nyerere aliiuwa nchi kabisa katika utawala wake wa miaka 24, Mwinyi akaja kuwapa watu ahueni "ruksa", Mkapa akaanza vizuri halafu akawa kubwa la kujilimbikizia mali.

Kikwete kaja kubomoa misingi yote mibovu aliyotuwekea Nyerere. Kaanza Alif kwa kijiti, mimi nnahesabu miaka 9 ya Kikwete ndiyo iliyoleta mabadiliko na maendeleo ya ukweli, hao wengi sijaona cha maendeleo walichokifanyia Tanzania.


Kub ka kuwa Mwinyi na Mkapa walikuwa remote na vikaragosi vya yule yule aliyeiuwa Tanganyika.
Kub ka= kumbuka!
 
Kwakeli wabunge wanatakiwa wasaidie mahitaji yanayohitajika kwa waajiri wao(wananchi),hv karibuni mbunge wa chalinze mh ridhiwani kikwete pia ametoa ambulance jimboni kwake,tena yeye ana miezi sita toka achaguliwe
 
Teh Teh wana hai kuweni makini yasije kuwa chakavu mkaingizwa mjini kama chadema walivyo pewa Fuso chakavu.

wewe nyonyesha mtoto...
baba yenu mbona hajawaletea hivyo vibajaji ambulance mpaka leo hamjamuuliza?
 
Nyerere aliiuwa nchi kabisa katika utawala wake wa miaka 24, Mwinyi akaja kuwapa watu ahueni "ruksa", Mkapa akaanza vizuri halafu akawa kubwa la kujilimbikizia mali.

Kikwete kaja kubomoa misingi yote mibovu aliyotuwekea Nyerere. Kaanza Alif kwa kijiti, mimi nnahesabu miaka 9 ya Kikwete ndiyo iliyoleta mabadiliko na maendeleo ya ukweli, hao wengi sijaona cha maendeleo walichokifanyia Tanzania.


Kumbuka kuwa Mwinyi na Mkapa walikuwa remote na vikaragosi vya yule yule aliyeiuwa Tanganyika.

kwahiyo baba RIZ ndio ameirekebisha nchi etiee... kwahiyo mambo safi kabsaa!!!
katika mazuzu humu jf naona wewe sijui nikuweke nyumaaa au mbelee... ?
 
Nyerere aliiuwa nchi kabisa katika utawala wake wa miaka 24, Mwinyi akaja kuwapa watu ahueni "ruksa", Mkapa akaanza vizuri halafu akawa kubwa la kujilimbikizia mali.

Kikwete kaja kubomoa misingi yote mibovu aliyotuwekea Nyerere. Kaanza Alif kwa kijiti, mimi nnahesabu miaka 9 ya Kikwete ndiyo iliyoleta mabadiliko na maendeleo ya ukweli, hao wengi sijaona cha maendeleo walichokifanyia Tanzania.


Kumbuka kuwa Mwinyi na Mkapa walikuwa remote na vikaragosi vya yule yule aliyeiuwa Tanganyika.
Hivyo ndivyo unavyoamini. Ila sio reality.
 
Chezea uchaguzi wewe! Watu wanasoma Raman!

UOTE=Standalone;11714347]Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA, Mbunge wa Jimbo la HAI,,na Kiongozi wa kambi RAsmi bungeni MH FREEMAN MBOWE ameendeleza juhudi zake katika kuokoa maisha wa watu wa jimbo lake ambapo wiki hii ametoa ambulances kwa ajili ya watu wa jimbo lake....

Kutolewa kwa ambulance hiyo itakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wakazi wa HAI jimbo ambalo limetawaliwa na mito na mabonde mbalimbali ambapo litatumika kuwawaisha wagonjwa hospitali za teule ya Machame na ile ya Wilaya.

Kufuatia kutolewa kwa ambulance hiyo mkazi mmoja wa kata ya Machame Mashariki(LYAMUNGO KATI) amesema itakuwa ni msaada mkubwa sana kwao maana itarahisisha kupeleka wagonjwa kutoka Kituo cha afya Lyamungo Hadi hospitali teule ya Machame.

Baadhi ya wakazi wa Masama(Masama Bweera) wameonekana kufurahia na wengine kudiriki kusema kama FREEMAN MBOWE atagombea tena watampa ushiindi wa kishindo kutokana na mheshimiwa Mbowe kutoa Ahadi zake bila kupendelea upande wowote.

10933724_345578208967134_2984157386036978574_n.jpg
[/QUOTE]
 
John Komba, Samwel Sita na wengineo wengi wa huko CCM wameishatoa msaada kama huu kwa wananchi? niliyemshuhudia akijinadi katoa Amburance ni RIZIONE lakini nina uhakika 150% amburance aliyotoa RIZIONE imenunuliwa na fedha za serikali kupitia IKULU. tofauti na hii ya Mh. Mbowe.

= Ambulance
 
Back
Top Bottom