Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,649
- 164,808
Ni hatua nzuri lakini wenye hela za ufisadi watakuwa wamepata sababu ya kutumia vibaya hela zao na CHADEMA tutashindwa kuhoji lolote.
Lkn huu ni uwanja wa kufundishana!
Mwaka wa uchaguzi, tutayaona mengi sana.
FaizaFoxy;
Aheri huyo aliyetoa gari, wale wa kwako wanaotoa flana na khanga tena nyepesiii zenye sanamu za wagombea, tena kipindi hiki hiki cha uchaguzi pamoja na pilao la nyama ya tembo mliochukua zile tusker zake, wamwona ni yupi bora?? Angeuza hiyo gari, hiyo pesa ingeweza gawa khanga ngapi na vest na chepeo ngapi??
Jamani, msiangalie kipindi cha zawadi kutolewa; angalieni thamani ya zawadi na watakao ifaidi hiyo zawadi. Hakuna mgonjwa anayeulizwa itikadi
Kwani Mbowe ndiye Mbunge wa kwanza kutoa Ambulance?
Acheni ulimbukeni.Kwanza alikuwa wapi siku zote?
Kwakifupi wambie hizo nikodi za wananchi kama si ufisadi isingetakiwa wakabizi gari tena ingetakiwa ndegeUnasifia hizo zinazotolewa na Serikali hao wabunge wanachofanya ni kukabidhi ili kujipa ujiko na CCM kutaka kuonyesha kuwa Wabunge wao wanawajibika kitu ambacho hakipo.
Unasifia hizo zinazotolewa na Serikali hao wabunge wanachofanya ni kukabidhi ili kujipa ujiko na CCM kutaka kuonyesha kuwa Wabunge wao wanawajibika kitu ambacho hakipo.
Kamanda zaidi ya miaka 50 ccm wameshindwa kuwapa wananchi hata gari la wagonjwa kamanda kaingia juzi katimiza ingekua ni sisi wenye dollar tungewapa ndege wananchiMkuu, povu la nini? Wenzio wamepewa Ambulance wewe ile bajaj yako uliyoahidiwa na JK iko matumboni mwa wenye nji hii!
Faizafoxy;
Kweli usichezee chama dume. Lakini, ukiangalia miaka ulioitawala Tz na kipimo hicho luwa mpaka leo bado tunatembeza bakuli. It is a shame. Sisi si waku tembeza bakuli tena. Kumbuka vita yetu kuu tangu uhuru, Ujinga, Maradhi na Umasikini. Leo, vyote vimetushinda.
Hakuna madawa Hospitali, Hakuna vitanda kwa ajili ya hao wagonjwa, madaktari migomo kila uchwao, hatuna access bank hata kukopa na elimu yetu haina sylabus mpaka leo 53 yrs old Taifa.
Na zaidi ya yote Faizafoxy anasema tumepiga maendeleo. Moyo unauma sana kwani najua weye ni miongoni mwa waliofaidi Escrow. Msifia mvua imemnyea
Ametoa magari mangapi ya wangojwa? Miaka tisa yote alikuwa wapi mpaka atoe mwaka wa uchaguzi.Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA, Mbunge wa Jimbo la HAI,,na Kiongozi wa kambi RAsmi bungeni MH FREEMAN MBOWE ameendeleza juhudi zake katika kuokoa maisha wa watu wa jimbo lake ambapo wiki hii ametoa ambulances kwa ajili ya watu wa jimbo lake....
Kutolewa kwa ambulance hiyo itakuwa ni ukombozi mkubwa kwa wakazi wa HAI jimbo ambalo limetawaliwa na mito na mabonde mbalimbali ambapo litatumika kuwawaisha wagonjwa hospitali za teule ya Machame na ile ya Wilaya.
Kufuatia kutolewa kwa ambulance hiyo mkazi mmoja wa kata ya Machame Mashariki(LYAMUNGO KATI) amesema itakuwa ni msaada mkubwa sana kwao maana itarahisisha kupeleka wagonjwa kutoka Kituo cha afya Lyamungo Hadi hospitali teule ya Machame.
Baadhi ya wakazi wa Masama(Masama Bweera) wameonekana kufurahia na wengine kudiriki kusema kama FREEMAN MBOWE atagombea tena watampa ushiindi wa kishindo kutokana na mheshimiwa Mbowe kutoa Ahadi zake bila kupendelea upande wowote.
![]()
Nyerere aliiuwa nchi kabisa katika utawala wake wa miaka 24, Mwinyi akaja kuwapa watu ahueni "ruksa", Mkapa akaanza vizuri halafu akawa kubwa la kujilimbikizia mali.
Kikwete kaja kubomoa misingi yote mibovu aliyotuwekea Nyerere. Kaanza Alif kwa kijiti, mimi nnahesabu miaka 9 ya Kikwete ndiyo iliyoleta mabadiliko na maendeleo ya ukweli, hao wengi sijaona cha maendeleo walichokifanyia Tanzania.
Kub ka kuwa Mwinyi na Mkapa walikuwa remote na vikaragosi vya yule yule aliyeiuwa Tanganyika.
Ametoa magari mangapi ya wangojwa? Miaka tisa yote alikuwa wapi mpaka atoe mwaka wa uchaguzi.