Mnzajila GairoTz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2014
- 562
- 153
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Sio kazi ya Mbunge kufanya kazi ya utabibu! Yeye kama mbunge ametoa Ambulance kusaidia watu wake ambayo itawafikisha mahala husika kupata tiba yaani Hospitalini ambako mgonjwa akifika huko ataonana na tabibu/daktari ambaye atamuandikia dawa stahili! Dawa zinapatikana chini ya usimamizi wa Serikali((MSD), yeye Mbowe kama mbunge wa jimbo hana bohari ya madawa nyumbani kwake na wala siyo kazi yake kujua matatizo ya mgonjwa isipokuwa daktari tu! Kama dawa hospitalini hakuna ataipigia kelele Serikali ili watu wake wapate dawa! Kama dawa hakuna lawama zinapaswa ziende kwa CCM kupitia Serikali yake kwakuwa CCM ndiyo wasimamizi wa Serikali na ndiyo wanaounda Serikali na ndiyo wanapanga utaratibu wote kuhusu usambazaji wa dawa kwenye Zahanati/Mahospitalini na kwenye vituo vya afya! Usitupotoshe hapa! Ova