Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Lema yeye alipewa msaada akaziuza.
Kwani ela za escrow zilikuwa za msaada?
Lema yeye alipewa msaada akaziuza.
Mgawo wa ESCROW unafanya kazi
Taja Gamba aliyewahi kutoa Ambulance jimboni kwake?
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Miccm haiwezagi kujenga hoja, yenyewe ni kushambulia tu.Haumuoni Nape mwehu mwenzao yule? Ndiyo sample za sahihi za magamba.Nafikiri nimekujibu hapo juu hakuna Ambulance yoyote zilizotolewa sasa nijibu swali langu la mabandiko
Naomba nikueleweshe hayo magari ndio yamefika mwaka huu ulitaka awagawie mwaka kesho?
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Profesa maji marefu anatoa ambulance za ungo
Nimekuelewa sana Fanya reserch ndogo tu ya madiwani na wabubge wa chadema mara kwa mara wako na wananchi kwenye swala la maendeleo na hila zote wanavyofanyiwa na mkoloni mweusi yani ccmSipingi hilo unalolisema na ndio maana nimesema ni mfano wa kuigwa. Ila ukumbuke sisi washabiki na wanachama wa cdm tunaikataa ccm kwa matendo yao na sio kwa rangi yao. Isije ikawa tunapinga matendo yanayofanywa na ccm wakati huo huo tukawa mabubu wanapofanya cdm. Kama ni kweli limekuja mwaka huu na amelitoa kwa dhamira nzuri well and good. Nadhani wewe na mimi sio wageni wa miundo mbinu kama barabara, maji na umeme kuboreshwa mwaka wa uchaguzi na ccm ili waendelee kubaki madakani, sisi tutumie mbinu ya kweli ya kuwaletea maendeleo wananchi wakati wote na sio kipindi fulani tu ili kupata kura baada ya hapo tunaingia mitini. Rekodi ya Mh. F.Mbowe ya miradi ya maendeleo kipindi chote alipokuwa mbunge ndiyo itakayombeba na sio kuvuta shuka asubuhi. Ukweli utatuweka huru kama taifa na wote tunapaswa kusimamia hili ili tutembee kifua mbele pindi tunapotumia majimbo ya wabunge wetu kama mfano. Ila kama tutatumia approach zilezile za kiccm mbona itakuwa majanga huko mbeleni tukipata madaraka.
Profesa maji marefu anatoa ambulance za ungo
Nimekuelewa sana Fanya reserch ndogo tu ya madiwani na wabubge wa chadema mara kwa mara wako na wananchi kwenye swala la maendeleo na hila zote wanavyofanyiwa na mkoloni mweusi yani ccm
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
ni kweli mkuu
kuna siku nilimshauri mbowe
_vijiji vya kyeri,uraa na uswaa kigeografia vipo pamoja kwani vimetenganishwa na mto marire na kikafu,kuna zahanati ipo centre inaitwa "kishibwe"
angeiboresha na ingekuwa msaada sana kwa vijiji husika
Ametoa magari au gari?
Bora huyu amejitahidi, mwenzake Godbless J Lema yeye alipewa msaada na bado akayauza.
Hata wezi wa escrow tumewajua sababu ya uchaguzi?