Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,873
Ndio wanauza magari pamoja na service ya magari. Ila zile Ambulance huwa zinakodishwa.
Wewe ndio choo tena cha stand kwa hiyo watu binafsi hawawezi nunua sehemu nyingine
Ndio wanauza magari pamoja na service ya magari. Ila zile Ambulance huwa zinakodishwa.
Mwaka wa uchaguzi, tutayaona mengi sana.
Only if angefanya hivi 2011 ningemsifu sana...ila mwaka huu maigizo mengi hivyo tutashindwa kumjua wa ukweli ni nani na wa maigizo ni nani.
Sipingi hilo unalolisema na ndio maana nimesema ni mfano wa kuigwa. Ila ukumbuke sisi washabiki na wanachama wa cdm tunaikataa ccm kwa matendo yao na sio kwa rangi yao. Isije ikawa tunapinga matendo yanayofanywa na ccm wakati huo huo tukawa mabubu wanapofanya cdm. Kama ni kweli limekuja mwaka huu na amelitoa kwa dhamira nzuri well and good. Nadhani wewe na mimi sio wageni wa miundo mbinu kama barabara, maji na umeme kuboreshwa mwaka wa uchaguzi na ccm ili waendelee kubaki madakani, sisi tutumie mbinu ya kweli ya kuwaletea maendeleo wananchi wakati wote na sio kipindi fulani tu ili kupata kura baada ya hapo tunaingia mitini. Rekodi ya Mh. F.Mbowe ya miradi ya maendeleo kipindi chote alipokuwa mbunge ndiyo itakayombeba na sio kuvuta shuka asubuhi. Ukweli utatuweka huru kama taifa na wote tunapaswa kusimamia hili ili tutembee kifua mbele pindi tunapotumia majimbo ya wabunge wetu kama mfano. Ila kama tutatumia approach zilezile za kiccm mbona itakuwa majanga huko mbeleni tukipata madaraka.
Kwani Mbowe ndiye Mbunge wa kwanza kutoa Ambulance?
Acheni ulimbukeni.Kwanza alikuwa wapi siku zote?
....
...safi sana hii hata nungunungu akisimama barabarani hapiti mtu !!!
![]()
Wametoa wengi na wakaja kupigwa chini, ila haimaanishi kuwa Hai itatokea, Mtasubiri sana
sasa jamani hiace inafaa kweli kwenye hii milima ya kwetu
ulitaka uletewe trekta etieee??
baba yenu alitaka kuwaletea bajaji ambulensi je zimefika?
pesa za escrow zinafanya kazi. Mbowe alipokea mgao wake Kenya
Kwa hiyo hai ni lyamungo pekee , sis wa masama, SONU ziko wapi au ndo anapendelea huko nyumban kwake alipo zailwa .
Wakati unaandika uliandika ukiwa unafikiria masaburi au? Nani mwenye jukumu la kusimamia ELIMU ni Mbowe kama yeye AU SERIKALI YA CHAMA CHA MAJA...........? any way b4 u write any thick by using ur BRAIN and NOT MASABURI PLS!!!!!! Have a Day.
Kweli kabsa lzma tuone mengi, ccm wanapokwaruzana nje nje na kurushiana makombola wao kwa wao, kufisidi kila sekta kama escroow,,,,, kwa CDM (UKAWA) mtakuwA mnashuhudia mambo kama hayo. Mnalo mwaka huu... mmekamatwa palepale na bado mpaka m..ja»»m»»b»»e