MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,512
sasa jamani hiace inafaa kweli kwenye hii milima ya kwetu
ulitaka uletewe trekta etieee??
baba yenu alitaka kuwaletea bajaji ambulensi je zimefika?
sasa jamani hiace inafaa kweli kwenye hii milima ya kwetu
sasa jamani hiace inafaa kweli kwenye hii milima ya kwetu
Hao wezi wa escrow mimi sijawajuwa mpaka sasa, akina nani?
Hao wezi wa escrow mimi sijawajuwa mpaka sasa, akina nani?
Member kama wewe humu mnahesabika! Pole sana!
Ametoa magari au gari?
Bora huyu amejitahidi, mwenzake Godbless J Lema yeye alipewa msaada na bado akayauza.
WEWE unatakaje? tupofuke tusione au?Mwaka wa uchaguzi, tutayaona mengi sana.
Wafata mkumbo kama wewe mko wengi sana humu.
Only if angefanya hivi 2011 ningemsifu sana...ila mwaka huu maigizo mengi hivyo tutashindwa kumjua wa ukweli ni nani na wa maigizo ni nani.
....
...safi sana hii hata nungunungu akisimama barabarani hapiti mtu !!!
![]()
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Magari yapo pale Arusha Art yaliuzwa kwa Muhindi.
rudi chooni mjinga we we..
Arusha Art sikuhizi wanauza Magari wewe choo
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Tatizo la Hai sio ambulance ni ukosefu wa madatari na madawa hospitalini.Sasa hiyo ambulance itakuwa inawakimbiza watu kuwapeleke mahali kusiko na madawa na madaktari?
Mwaka wa uchaguzi, tutayaona mengi sana.