Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Kwa kingereza angesemaje hayo maneno?
Waelezeni wafadhili wenu wa nje ya nchi kwa nini hadi leo hamna ofisi ya makao makuu yenye hadhi iwe ya kujenga au kupanga? pesa zao mumefanyia nini Na muwaeleze hela zaidi ya milioni Mia tatu Na ishirini za rusuku mnazifanyia nini hadi mushindwe kuwa Na ofisi ya makao makuu ya kueleweka iwe ya kujenga au kupanga Mwambieni huyo balozi.Musiishie kumwachia hiyo sera mpya hewa ya Chadema!!!!!
 
Siku hizi ni buku 3 hivyo anajitahidi angalau apate post angalau 10 kwa siku
Yehodaya mbona unahangaika sana siku hizi ndugu yangu? Buku saba imekosekana?
Wezi wamejaa huko fisiem mnataka kuwahamisha kwingine???
 
Narudia kusema wacha tabia yako ya kushikishwa ukuta kama unadhani hujulikani basi jua unajidangany maana tunakufahamu fika
Mbona unamtetea sana au ndio alivunja bikra yako?
 
walikuwepo mbona
Alikuwepo ofisa ubalozi wa marekani tena mdogo sana sio balozi.Ndio maana kibaka Mbowe kaona Yule dogo hawezi mkwapua hela kamfuata balozi mwenyewe sababu dogo hana maamuzi na hawezi ongea Na Trump.
 
Alikuwepo ofisa ubalozi tena mdogo sana sio balozi
sasa mkuu mambo ya sera za vyama navyo aende barozi mbona ni mambo ya ndani alienda ka shuhuda tu hata hana haja ya kunote kitu ni kuangalia tu
 
watu wanafuatwa ikulu na mwana wa malkia wa Uingereza, we unaongelea ka picha na kabalozi tu...
Hiyo kwenda ikulu Prince William hata wewe ungekuwa rais bado angekuja hakumfuata Magufuli kama Magufuli amefuata Tanzania koloni Lao la zamani.
Wenzenu baada ya Brexit inabidi warudishe ndoa yao na jamaa zao wa commonwealth. Primer minister alikwenda Kenya.
 
sasa mkuu mambo ya sera za vyama navyo aende barozi mbona ni mambo ya ndani alienda ka shuhuda tu hata hana haja ya kunote kitu ni kuangalia tu
Kilichompekeka Mbowe ubalozini nini wakati ubalozi wa USA walishatuma mwakilishi? Si angeongelea Na hamsini zake? Kuwa sera imeshazinduliwa basi.Kwa nini aende kuuza sura Na kusumbua Balozi wa USA kama sio mwizi anayetaka kuibia American people?
 
Back
Top Bottom