The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,137
- 14,654
pale hata wewe unaeza enda ,mkuu mbona kama unakitu hutakiKilichompekeka Mbowe ubalozini nini wakati ubalozi wa USA walishatuma mwakilishi? Si angeongelea Na hamsini zake? Kuwa sera imeshazinduliwa basi.Kwa nini aende kuuza sura Na kusumbua Balozi wa USA kama sio mwizi anayetaka kuibia American people?