Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
IMG-20180927-WA0050.jpg
 
Kiongozi makini; katika sehemu makini; na kwa umakini mkubwa!

Great leaders, Mbowe as an example, shine in evey circumstances even during hard times of oppression and injustice.

But someone at Magogoni who is badly obsessed with CHADEMA, will also be badly obsessed with photo!
 
Asiishie kupiga selfie tu na aombe msaada ujenzi wa HQ
Marekani waliwasaidia mno Ila Chadema Mbowe Na genge lake wezi.Hana haya hapo kaenda ofisi ya ubalozi wa Marekani balozi yeye kamtaka wakutane ofisini sababu ana ofisi nzuri sasa ifike zamu ya Chadema kukutana Na balozi mbio watamkimbizia hotelini kuwa tukutane hotelini!!!!! Shame on you Chadema balozi mwanamke mkutane naye hotelini!!!!! Pesa zote za ruzuku za Kila mwezi na michango ya wafadhili wa ndani Na nje mumeshindwa kujenga ofisi vibaka nyie? Hamna hata haya.Ona kibaka wa fedha Mbowe macho makavu utafikiri sio kibaka.Hapo kapeleka sera hiyo ya Chadema ili wamtapeli balozi na pesa za wamarekkani as if he is a serious politician wakati mwizi.Balozi piga kelele za mwizi tafadhali watu wamkimbize Mbowe Na Mawe on your behalf
 
Pendekezo:
Mh. Mbowe asiishie hapo US Embassy; hata China Embassy aende. Utaelewa baadae maana ya pendekezo hili.
Na hata Balozi nyingine asikose kwenda. Matumaini yangu ni kwamba anapokwenda huko analo lengo maalum alilotumwa na chama chake.
 
Marekani waliwasaidia mno Ila Chadema Mbowe Na genge lake wezi.Hana haya hapo kaenda ofisi ya ubalozi wa Marekani balozi yeye kamtaka wakutane ofisini sababu ana ofisi nzuri sasa ifike zamu ya Chadema kukutana Na balozi mbio watamkimbizia hotelini kuwa tukutane hotelini!!!!! Shame on you Chadema balozi mwanamke mkutane naye hotelini!!!!! Pesa zote za ruzuku za Kila mwezi na michango ya wafadhili wa ndani Na nje mumeshindwa kujenga ofisi vibaka nyie? Hamna hata haya.Ona kibaka wa fedha Mbowe macho makavu utafikiri sio kibaka.Hapo kapeleka sera hiyo ya Chadema ili wamtapeli balozi na pesa za wamarekkani as if he is a serious politian wakati mwizi.Balozi piga kelele za mwizi tafadhali watu wamkimbize Mbowe Na Mawe on your behalf
Jifunze kwanza kuandika jinga wewe!!
 
Back
Top Bottom