Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Freeman Mbowe Atembelea Ubalozi wa Marekani

Kuna watu hawatalala leo kisa Picha
Yehodaya mbona unahangaika sana siku hizi ndugu yangu? Buku saba imekosekana?
Wezi wamejaa huko fisiem mnataka kuwahamisha kwingine???
Waelezeni wafadhili wenu wa nje ya nchi kwa nini hadi leo hamna ofisi ya makao makuu yenye hadhi iwe ya kujenga au kupanga? pesa zao mumefanyia nini Na muwaeleze hela zaidi ya milioni Mia tatu Na ishirini za rusuku mnazifanyia nini hadi mushindwe kuwa Na ofisi ya makao makuu ya kueleweka iwe ya kujenga au kupanga Mwambieni huyo balozi.Musiishie kumwachia hiyo sera mpya hewa ya Chadema!!!!!
 
Marekani waliwasaidia mno Ila Chadema Mbowe Na genge lake wezi.Hana haya hapo kaenda ofisi ya ubalozi wa Marekani balozi yeye kamtaka wakutane ofisini sababu ana ofisi nzuri sasa ifike zamu ya Chadema kukutana Na balozi mbio watamkimbizia hotelini kuwa tukutane hotelini!!!!! Shame on you Chadema balozi mwanamke mkutane naye hotelini!!!!! Pesa zote za ruzuku za Kila mwezi na michango ya wafadhili wa ndani Na nje mumeshindwa kujenga ofisi vibaka nyie? Hamna hata haya.Ona kibaka wa fedha Mbowe macho makavu utafikiri sio kibaka.Hapo kapeleka sera hiyo ya Chadema ili wamtapeli balozi na pesa za wamarekkani as if he is a serious politican wakati mwizi.Balozi piga kelele za mwizi tafadhali watu wamkimbize Mbowe Na Mawe on your behalf
We jinsia gani kwanza tuanzie hapo
 
Yehodaya mbona unahangaika sana siku hizi ndugu yangu? Buku saba imekosekana?
Wezi wamejaa huko fisiem mnataka kuwahamisha kwingine???
Naona Kibaka Mbowe pichani kavaa suti ya uhakika ya kutapelia ofisi za ubalozi.Ambassodor beware
 
Kuna mzee ana kipara leo katia aibu mbele ya mwana mfalme
Balozi beware siku ukitaka kukutana nao Mbowe mkware atataka mkutane hotelini take care.Pesa mlizowapa zote wamezila heri hata wangepanga ofisi ya kueleweka Ukiona makao makuu yao utalia hailingani Na support from American people.Mbowe is a certified thief .Mind your handbag honourable Ambassador.
 
Unataka kusema huyo balozi kahongwa?mbona unauliza swali kama umetoka leo kule inakopitaga ccm bila kupingwa?
Taratibu za kwenda ofisi ya ubalozi wa nje zilifuatwa?Nakumbuka kuwa viongozi wa kisiasa wanatakiwa wafuate taratibu fulani.
 
Unadhani balozi anaweza kuchukua huo ushauri wako wa ki kuda?balozi ni mtu wa heshima
Balozi beware siku ukitaka kukutana nao Mbowe mkware atataka mkutane hotelini take care.Pesa mlizowapa zote wamezila heri hata wangepanga ofisi ya kueleweka Ukiona makao makuu yao utalia hailingani Na support from American people.Mbowe is a certified thief .Mind your handbag honourable Ambassador.
 
Pumbaf kabisa yaani hata bila aibu unamvunjia heshima mwenyekiti wetu kisa itikadi za kipumbavu?unakidharaulisha ccm
Balozi beware siku ukitaka kukutana nao Mbowe mkware atataka mkutane hotelini take care.Pesa mlizowapa zote wamezila heri hata wangepanga ofisi ya kueleweka Ukiona makao makuu yao utalia hailingani Na support from American people.Mbowe is a certified thief .Mind your handbag honourable Ambassador.
 
Back
Top Bottom