YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,051
Sina uhakika kwa hili lakini nafikiri liko ok .Ingehitajika kama balozi anatembelea ofisi ya Chadema kuna tararatibu ilitakiwa zifuatwe lakini Mbowe kwenda it is ok kwa ufahamu wangu mdogo kwenye hili naweza sahihishwa kama siko sahihi .Sioni tatizo la Kisheria kwa Mbowe au Balozi kwa mawazo yanguTaratibu za kwenda ofisi ya ubalozi wa nje zilifuatwa?Nakumbuka kuwa viongozi wa kisiasa wanatakiwa wafuate taratibu fulani.