Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

Freeman Mbowe anamiliki jumba la kifahari Dubai!

mbowe amenizidi pesa sana lakin mi mbona na nyumba marekan kwa hiyo na mim ni fisadi?

na sifany kwa mtu ni shuguli zangu. Tanzania ukiwa na pesa unaonekana fisadi
 
mbowe amenizidi pesa sana lakin mi mbona na nyumba marekan kwa hiyo na mim ni fisadi?

na sifany kwa mtu ni shuguli zangu. Tanzania ukiwa na pesa unaonekana fisadi

We una nini cha.kufanya na nchi?????
 
Hata kama ni ya kwake binafsi kuna tatizo gani? Kuna sheria yoyote inayomkataza kuwa na nyumba Dubai?Thread za kipumbavu kabisa hizi kutoka kwa mtu mjinga.

Inabidi tuhoji NSSF kuwa na jumba Nairobi!
 
Nyumba ya thamani ya Tsh.500 milioni Dubai nayo ni jumba la kifahari? Kuna watu wana roho za kimasikini huko ccm hadi wanatia huruma.

Vijana fanyeni kazi mjoletee maendeleo badala ya kupiga majungu. Baba zenu walikuwa masikini lakini walijitahidi wakawasomesha hadi vyuo vikuu. Badala ya kufight ili mtoke mmekubali kuwa misukule ya ccm na mtaendelea kuwa masikini maisha yenu yote.
 
Niliipenda CHADEMA ya kipindi cha akina Chacha Wangwe lakini hii ya kikanda zaidi sina imani nayo maana iko kijasiliamali zaidi.

Kama Mbowe, ananunua nyumba Dubai halafu anaandamanisha watanzania ili kikinuka yeye fasta Dubai.
ujinga unakusumbua hujui tofauti ya kuwekeza na ufisadi! maskini mkubwa wa kiakili!
 
Sio Dubai tu, kasomeni fomu zake za maadili ya Viongozi , unalipia sh.1000 unapata kujua kuwa alideclare nyumba Uk, USA, DUBAI NA SOUTH AFRICA.....

tatizo roho za za kimaskini, kama mtu anafanya biashara halali kujenga Nyumba nje ni sehemu ya kuwekeza asset , hajui kuwa huyu ni mwekezaji? Acheni aibu hiyo..
 
Tusijazane upumbavu....kuwa Mbowe ni mfanya biashara wa siku nyingi.....blah...blah...blah...

Nani angehangaika naye kama angebaki na hayo mabiashara yake na kukaa mbali na siasa za nchi.

Kwa mtu anayetafuta kuwaongoza wengine maadili ni huja kwanza....Mbowe ni mfanya biashara..na wengi tumejua hivyo tangu siku nyingi....na ndio maana tunaiona hatari ya Chadomo na Mbowe kuhadaa wanainchi na ili kuingia ikulu.

Sifa kubwa ya mfanya biashara ni tamaa iliyotukuka ya kuendelea kutajirika kila kukicha...ni asiye na akili timamu peke yake ndio unaweza kumuaminisha kuwa kuimarika kwa utajiri na biashara zake hakutohusiana/hakuhusiani na uwepo wa saccos...ups...sorry...Chadomo...na baadae nchi (kama mnavyoendelea kuota).

Mfanya biashara wa nyama anatumia mafuta ya kuhifadhia maiti kutunza nyama anayouzia watu.....mvuvi anatumia sumu na mabomu.....muuza maziwa anaweka maji (hata ya mferejini).......muuza duka haishi kuchezea mizani....mama lishe anatumia hamira....yaani alimradi ni majanga.

Kwa kifupi mfanyabiashara ni MALI KWANZA..UTU BAADAE...........mtaandamanishwa kila kukicha..ili hali wenzenu wanajua wanachokifanya.
 
-Mbowe ni Mfanyabiashara anayelipa kodi kwa Mujibu wa Sheria.


Kuhusu Malicious intent kwa kuandika story zenye malengo mabaya kisiasa ni.jambo la hatari sana

Raia Mwema nimekua nikiliheshimu na hadi sasa nawapa benefit of doubt ili niwe rational.

Ukweli wa jambo lolote ni suala la Muda.Sidhani sasa kama Raia Mwema wamebadili dimension ya Legacy yao waliojenga kwa muda Mrefu kwa kuamua kwenda Gutter na irresponsible Journalism.

Jenerali Ulimwengu ana heshima kubwa nchini kitaaluma na katika weledi.Sidhani kama anaweza kuruhusu mambo haya

Wakati huo huo hatuwezi kupuuza kila lisemwalo maana kuna mambo mengi.Uchaguzi ndani ya CHADEMA unakaribia,Hoja ya Kuficha Mabilioni nje inaweza kuwa diluted kwa mbinu mbalimbali na pia kwa kuwa kuna wanasiasa wanahusika na hoja hii wanaweza kuitumia kisiasa kujinufaisha na kuwalenga maadui zao kwa sababu wanazozijua ambazo no doubt ni za Kisiasa

Najua wanapita wahariri hapa,Sasa sote tujiulize ;

Je,Tunapokubali kutumia vyombo vyetu kwa maslahi ya kisiasa ya watu wachache tunaitendea haki jamii?Je,misingi ya Demokrasia na mhimili wa media tunautendea haki?Tunakuza au tunafifisha tasnia ya Habari?


Mkuu Ben Saanane kusema kweli hili limenipa shida !
Ninarundo la Rai ya enzi hizo ukiacha Raia mwema ya juzi tu na walipouza Kampuni nilisita kidogo kuwa msomaji wa mageti lao!

Lakini habari hii ya kuwataja watu wawili tu ,Mbowe na Rostam na anza kupata wasiwasi na hili Gazeti .Kama ulivyosema ni suala la muda tutajua na kufahamu nini kiko nyuma ya pazia
.
 
MBOWE KABLA YA KUINGIA KWENYE SIASA ALIKUWA MILIONEA.. Nyie payukeni 2
 
Je hilo jumba ni "flat","apartment " au "bungalow?"
fafanua mtoa mada
 
Hata kama ni ya kwake binafsi kuna tatizo gani? Kuna sheria yoyote inayomkataza kuwa na nyumba Dubai?

Thread za kipumbavu kabisa hizi kutoka kwa mtu mjinga.


Kama nakumbuka vizuri issue hapa ni njia ya malipo!!!!

Sasa kama yake na wanadhani anachafuliwa hivi kuna ugumu gani kusema yangu hati hii hapa nilinunua kiasi kadhaa siku fulani kwa njia hii na documents hizi hapa!!!!
 
Hapo Mh. Mbowe hajaingia Ikulu ameshanunua nyumba Dubai, akiingia Ikulu itakuwaje?

Wananchi tujiepushe na CHADEMA, CHADEMA ni matapeli kama matapeli wengine.
 
hawa wajinga wa ccm hawana akili kabisa kwani kumiliki nyumba dubai ndo unashangaa mbona anamiliki meli bado tembo wetu wamemaliza akili za kuku hizo
 
Back
Top Bottom