Freeman Mbowe akutana na Martin Maranja Masese

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,755
218,366
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.

Screenshot_2023-10-01-21-32-58-1.png


Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .

Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese

Screenshot_2023-10-01-21-33-06-1.png
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, akiwa Mjini Zanzibar, amekutana na kijana wa kazi, muadilifu sana na kada mtiifu wa Chama hicho Maranja Masese.

View attachment 2768963

Masese na Mbowe wamepata wasaa wa kubadilishana mawazo na mikakati , hasa ikizingatiwa kwamba Oparesheni 255 inatarajiwa kuendelea Kanda ya Nyasa .

Huu hapa Ujumbe wa Maranja Masese

View attachment 2768966
Great men.........Thumb Up
 
Back
Top Bottom