macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 29,230
- 60,320
........Ugomvi wa mtu na mke wake mwaingilia kwanini?..... ILIWAHI KUIMBA BENDI MOJAKama kuna mtu kaisikiliza hotuba ya KAFU hadi mwisho ambayo link iliwekwa hapa mtandaoni basi atakuwa amesikia onyo alilopewa Pinda .Wamesema asiwatishe na asijidanganye yeye na wenzake .Wamesema kauli zake zinaudhi na hawako tayari kuvumilia .Wamesema mjadala ya Muungano uwepo na marekebisho waliyo mpa Sitta .Wakasema kama hawatafuata ushauri wao wako tayari kuvua koti maana linawabana sasa wanataka koti size yao .Pinda kaambiwa hajui siasa an historia ya Nchi ya Zanzibar .CCM kimya , JK kimya , Wabunge wa CCM kimya , haya inakuwaje hapo ?
Ukumbuke Zanzibar ni nchi ambayo ilipigania uhuru wake na ikajitawala kwa muda wa miezi kadhaa kabla ya kunyang'anywa huo uhuru na Nyerere.
Hata leo jitangazieni uhuru, tumewachoka sana. Mnangoja nini? Mjitoe haraka sana,
IYO bendera ya tanganyika leo imeberuzwa ndio imekuwa ya tanzania,na nembo ya tanganyika imekuwa ya tanzania,wimbo wa taifa wa tanganyika umekuwa wa tanzania,sas amuungano huu vipi ? Tanganyika sio ndio hii tanzania sasa kuna muunganano gani ?View attachment 33606View attachment 33607Mimi nayashangaa haya maviongozi yetu kwa nini yana ng'ang'ania nchi ya watu. Visiwa vyenyewe vidogo kuliko hata wilaya yoyote iliyo ndogo kuliko zote hapa Tanganyika. Haya Mazanzibari tuyaache yakachinjane yenyewe kwa yenyewe kwa sababu hayo Mapemba na Maunguja hayatakaa meza moja. Hivi sasa yana kaa meza moja kwa sababu yako ndani ya Muungano. Natamani siku moja nione maneno haya: JAMHURI YA WATU WA TANGANYIKA!
Ewe Mwenyezi Mungu, kama ulivyomruhusu Simon amwone mtoto Yesu ndipo afariki dunia nami pia nijaalie nione taifa langu ndipo nilale mauti. Nimechoshwa vya kutosha na kelele za Wazanzibari!
........Ugomvi wa mtu na mke wake mwaingilia kwanini?..... ILIWAHI KUIMBA BENDI MOJA
Zanzibar's issue go way beyond Muungano. Zanzibar seceding from the union will not change their economic situation contrary to what they want to believe. Wajitenge kwa sababu zingine ila si uchumi.
mimi hapo nipo njia panda kumbe kuna mume na mke kwenye mungano !
........Ugomvi wa mtu na mke wake mwaingilia kwanini?..... ILIWAHI KUIMBA BENDI MOJA
Pasco, heshima mbele mkuu. Siku ya mapinduzi ya Zanzibar, nilikuwa nina umri wa miaka minne, na sitasahau siku ile ambapo tulila msituni na mamangu pamoja na dadangu katika harakati za kujificha kutokana na watu kuwa wanakimbia huku na kule. Sijawahi sahau hata siku moja. Wakati wa mapinduzi yale, watanganyika hawakuwepo, wala mapinduzi yale hayakufanyika ili baadaye tuje tuunde serikali ya muuungano? Tulifanya yale mapinduzi kwa maslahi ya watu wa zanzibar, na tulikuwa tunaitaka Zanzibar huru na si vinginevyo. Nikiwa kama mhanga wa adha za yale mapinduzi, siwezi kukubali damu ya wazanzibar iliyomwagika kwa ajili ya ukombozi wa wazanzibar ipotee bure.
Wazanzibari hadi hivi sasa bado hatupo huru, kwa kuwa hatuna uwezo wa kufanya mambo yetu wenyewe. Wazanzibar tunaamuliwa mambo yetu na watanganyika ambao wanatudanganyishia nafasi za uwaziri na umakamu wa rais. Sisi hatuna shida na nafasi hizo, tunataka zanzibar huru. Tunataka uhuru tulioupigania wakati wa mapinduzi ya mwaka 1964, utunufaishe wa zanzibar na iwe ni shukurani kwa mashujaa wetu waliopigania uhuru wetu.
Pasco, kwa nafasi yako, yawezekana hicho unachokisema ndo kinadhihirisha msimamo wa serikali ya Tanganyika. Sasa nasema wazanzibar hatujanyamaza katika hili. Tunaendelea na mikakati, wala msijeshangaa siku tutakapo iondoa serikali ya CCM madarakani na kuweka kiongozi mwingine atakayeitangaza Zanzibar kama nchi huru.
Nakuhakikishia kuwa siku mkiondosha majeshi yenu ya uvamizi Zanzibar, Zanzibar ina potential kubwa kufaulu kiuchumi.
Ni fitna tu za mkoloni mweusi Tanganyika ndio ilioidumaza nchi yangu niipendayo.
I cant wait to see your backs.
what happened MM? Tutengane kwanza,wajifunze then tuungane tena,malalamishi yatakuwa yameisha.Jumuiya ya Africa Mashariki ilivunjika, guess what happened later?
Chukueni bure!! Tunawasamehe hata hizo bi. 50. Tumewachoka. Kama mngekuwa wanawake tungehama na kuwachia nyumba, naenda kuoa mwingine na kujenga nyumba nyingine
Tell me what was it?Jumuiya ya Africa Mashariki ilivunjika, guess what happened later?
uvunjike 2 hauna tija kwe2 ce watanganyika.Na wao walipeni pound 600,000 walizoanzishia benki kuu ya Tanzania 1960s na US dollar zao zilizotumika katika vita vya kagera kutoka kwenye mauzo ya karafuu yaliyopita.Dharau mkuu hazitaleta mwafaka wala kuelewana hekima na demokrasia ndio solution ya muungano huu. Serikali 3 au muungano kuvunjika kabisa kwa ustaarabu.
View attachment 33609
Bendera ya tanganyika
View attachment 33610
Ya tanzania ina tofauti gani na tanganyika ?
View attachment 33611
Nembo ya tanganyika hii sasa ona ya tanzania
View attachment 33612
hii sasa imekuwa ya tanzania
You guys are joking! So unaona kwamba tukitengana tutaomba tena kurudi kwenu? You are kidding guys. Kwanza wabara mnatuzibia sana nyie, kama tungekuwa huru hivi leo tungekuwa kwenye jumuiya ya nchi za kiislam and I believe tungekuwa tumeshapata watu makini wa kutafiti mafuta yetu na kuanza kuyachimba kwa faida ya wazanzibar. Sasa hivi nyie mmekalia tamaa tu. Dhahabu ikipatikana bara, mnasema ni yenu, mafuta yakipatikana Zanzibar ni ya muungano. I will not stand to tolerate this, I will fight for my country.what happened MM? Tutengane kwanza,wajifunze then tuungane tena,malalamishi yatakuwa yameisha.
Sasa wewe mwanafalsafa, mmeambiwa nyie watanganyika, kama mna nia ya dhati ya kutaka tujitenge, basi yaondoeni hayo majeshi yenu mliyoyajaza kila kona huku zanzibar? Maana bora wanajeshi walioko zanzibar wangekuwa ni wazanzibar, sasa wamejaa wabara tupu. Waondoeni muone kama hatujaiomba jumuia ya kimataifa itutambue kama nchi?Nyie nendeni tu kaka/dada wengine tusha choka haya makelele. Haya jitengeni muende kuwa kama ulaya.
Mimi nawashangaeni sana nyie watu wa bara, hivi kama kweli mnatubeba, na kwamba hatuna faida kwenu, sasa mnatung'ang'ania wanini? Mbona wabunge wa zanzibar wameleta hoja bungeni kutaka zanzibar itambulike kama nchi mkatufunga mdomo?I wish mjitenge leo,maana mnalalamika sana.hvi mnadhani tunafaidi nini toka kwenu? Tumewabeba sana hamlioni hlo..mmejaa huku bara kwetu,mpaka vijijini then kila siku mnalalamika..aarh! Sijui mnangoja nini.i can tell you,hakuna damu ya mtu hata mmoja itamwagika mkitaka kujitenga tofauti na sudan walouawa watu 1.6 milion...mafuta chukueni,kila mnachoona kinawafaa chukueni muondoke,kila mkutano wa bunge mnatupotezea muda kwa kulalamika...go!