RAJ PATEL JR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 743
- 169
My opinion is that Zanzibar will prosper if the union collapses
Nawaonea huruma wanaojiita ni wazanzibar wazalendo, maskini ya Mungu wanaponzwa na wawakilishi wao waliopewa nyadhifa kubwa serikali ya Muungano.
Na ndo maana kila hoja inayoletwa ya kuuangalia Muundo wa muungano ili kuweza kuuboresha inapingwa kwa nguvu zote na wawakilishi kutoka Zanzibari. Nashindwa kuelewa nia ya hawa wawakilishi ni nini ? hasa ukitambua hisia na mamazo ya wananchi kuhusu muungano.
Kwa mwendo huu, Zanzibar litaendelea kuwa koloni la Tanganyika huku manung'uniko ya wananchi yakiendelea kuzimwa na hawa wachache.
..msitusubiri wa-Tanganyika. kwetu sisi mgao wa umeme, na vita dhidi ya ufisadi, ndiyo priority zetu kwa sasa hivi and in the near future.
..njia ya uhakika na haraka ni wa-Zanzibari kutoshiriki ktk hii inayoitwa serikali ya muungano.
..pia wabunge wote walioko kwenye bunge la muungano watangaze kuachia nafasi zao.
..mkifanya hivyo muungano utakuwa umefikia tamati.
Lipeni kwanza deni la Bilioni 50 kwa kuwapatieni umeme, halafu mnasepa tu.
Tanganyika will prosper when people like you die on both sides of the union.My opinion is that Zanzibar will prosper if the union collapses
..msitusubiri wa-Tanganyika. kwetu sisi mgao wa umeme, na vita dhidi ya ufisadi, ndiyo priority zetu kwa sasa hivi and in the near future.
..njia ya uhakika na haraka ni wa-Zanzibari kutoshiriki ktk hii inayoitwa serikali ya muungano.
..pia wabunge wote walioko kwenye bunge la muungano watangaze kuachia nafasi zao.
..mkifanya hivyo muungano utakuwa umefikia tamati.
My opinion is that Zanzibar will prosper if the union collapses
Sasa kama mmetuchoka mbona mnaendelea kutung'ang'ania? Mara ngapi wabunge wazanzibar wamelalamika kuhusu muungano, nyie mnawatishia wasiendelee kusema. Kama mngewapa uhuru wa kusema wanachokifikiria naamini kabisa wangewapa ukweli kwamba wazanzibar hatutaki muungano.
Kwani ninyi kinachowazuia kuwa na hiyo serikali ya jamhuri ya watu wa Tanganyika ni nini? Kwanini msiamua kufanya hivyo ili wazanzibar tuwe huru. Tumechoka kukandamizwa na Tanganyika.Mimi nayashangaa haya maviongozi yetu kwa nini yana ng'ang'ania nchi ya watu. Visiwa vyenyewe vidogo kuliko hata wilaya yoyote iliyo ndogo kuliko zote hapa Tanganyika. Haya Mazanzibari tuyaache yakachinjane yenyewe kwa yenyewe kwa sababu hayo Mapemba na Maunguja hayatakaa meza moja. Hivi sasa yana kaa meza moja kwa sababu yako ndani ya Muungano. Natamani siku moja nione maneno haya: JAMHURI YA WATU WA TANGANYIKA!
Ewe Mwenyezi Mungu, kama ulivyomruhusu Simon amwone mtoto Yesu ndipo afariki dunia nami pia nijaalie nione taifa langu ndipo nilale mauti. Nimechoshwa vya kutosha na kelele za Wazanzibari!