Wazenji bana, ni kama TROJAN Virus vile, heheheee.......
Soma post yangu namba 22. utaelewa ni hatua gani tumeanza kuichukua hivi sasa. Na inshallah Munyazi Mungu akijalia zikawa na mafanikio, naamini watawala wetu wataelewa nini wazanzibar tunawaza na kwamba umefika wakati sasa tunataka kuwa huruUmechukua hatua gani?, inabidi ufanye zaidi ya kubwabwaja hapa JF
Sasa kama mmetuchoka mbona mnaendelea kutung'ang'ania? Mara ngapi wabunge wazanzibar wamelalamika kuhusu muungano, nyie mnawatishia wasiendelee kusema. Kama mngewapa uhuru wa kusema wanachokifikiria naamini kabisa wangewapa ukweli kwamba wazanzibar hatutaki muungano.Mungu abariki siku moja muungano ufe, ki ukweli kabisa huu muungano kwa sasa ni wa viongozi tu.
Wananchi wa kawaida wa Tanganyika hawanufaiki wala hawaupendi, Wazanzibari walio wengi hawautaki hata kuusikia sijui upo kwa manufaa ya nani! Wote tunaelewa kuwa hawa jamaa sasa wamekuwa kama ndugu zetu ila kwa kweli kuna haja ya kuangalia upya hili swala. Ndugu zangu wa Zanziberi kuweni makini sana, Muungano unawasidia nyinyi zaidi kuliko Bara, ni heri mnyenyekee ili muendelee kufaidi.
Viongozi wetu kama wapo wanaopita hapa, please wafurahisheni wa zanziberi, waacheni wajitegemee wameshaota ndevu sasa wamepata mafuta (kama yapo lakini) yanawadanganya
Tunadai uhuru kutoka kwa watanganyika. Tunawezaje kujitoa ilihali tunasutwa na sheria za kimataifa. Hapo tutakapotangazwa kuwa ni nchi huru ndipo tutakapoweza kujipambanua kimataifa kama taifa huru.Mnadai uhuru kwa nani sasa? Jitoeni tu wenyewe
Lipeni kwanza deni la Bilioni 50 kwa kuwapatieni umeme, halafu mnasepa tu.
Tunampango wa kuonyecha mabao yetu ya (Free Zanzibar) na utawala wa Tanganyika ijitayo Tanzania.ntasherehekea sana siku hiyo,yaani nisivo ipenda zanzibar kha