Free and Independent Zanzibar

Zanzibar's issue go way beyond Muungano. Zanzibar seceding from the union will not change their economic situation contrary to what they want to believe. Wajitenge kwa sababu zingine ila si uchumi.
Mkuu labda kama wakumbwe na Bad Leadership Syndrome ya Waafrica, sababu hiyo port yao tu wakiifanya free port Zanzibar inayo potential ya kuwa business hub ya Africa Mashariki na sisi wote tungekuwa tunafata bidhaa zenji na sio Dubai...,

lakini saying that Tanganyika ina potential ya kuwa tajiri zaidi ya majority ya nchi za Europe..., lakini as you know Ufisadi and nothing between our ears inatufanya tubaki masikini (but since Zanzibar is small it can be easily managed)
 
waaapi nyingi wenyewe mkiona washa washa tu mnakimbia.

Muulizen Seif now katulia anakula kuku kwa mrija!
Mnaichagua ccm wenyewe, ccm iliayopa kulinda muungano kwa nguvu zote then mnakuja kulia hapa, kwenden zenu huko alaaah!
mkuu, nafikiri ukweli upo dhahiri kwamba hatujawahi kuichagua CCM. CCM daima huwa inajichagua na kujiweka madarakani yenyewe. Na wala sisi hatuogopi washawasha. Sisi si waoga kama wabara, sisi kufa kwetu ni tunu mbele za mungu hasa tunapokufa kwa ajili ya ukombozi wa wengi.
 
View attachment 33609 Bendera ya tanganyikaView attachment 33610Ya tanzania ina tofauti gani na tanganyika ?View attachment 33611Nembo ya tanganyika hii sasa ona ya tanzaniaView attachment 33612hii sasa imekuwa ya tanzaniaView attachment 33613Wakiambizana kuwa zanzibar ni nchi ndogo sana hawatushughulishi,hii ndio ccm,hata ule wimbo wa taifa wa tanganyika umekuwa wa tanzania,huu ni utapeli wa kutupwa,hizo rangi za kanisa ndio zimetukaba watanzania na wazanzbari.Muungano lazima tuuvunje,hatuutaki umetukaa rohoni,mkubwa mnyanyasa mdogo
ina maana kanisa lina rangi zake! Fanyeni vitendo tumechoka na sound, kila mara muungano lazima tuuvunje. Muda ndio huu sasa vunjeni kwa vitendo sio kwa sound!
 
Mkuu labda kama wakumbwe na Bad Leadership Syndrome ya Waafrica, sababu hiyo port yao tu wakiifanya free port Zanzibar inayo potential ya kuwa business hub ya Africa Mashariki na sisi wote tungekuwa tunafata bidhaa zenji na sio Dubai...,

lakini saying that Tanganyika ina potential ya kuwa tajiri zaidi ya majority ya nchi za Europe..., lakini as you know Ufisadi and nothing between our ears inatufanya tubaki masikini (but since Zanzibar is small it can be easily managed)
Well said mkuu. By the way hawa jamaa hawana ufahamu wa namna gani karafuu limekuwa ni zao mhimu katika uchumi wa Tanzania. Najaribu kupata picha kama tutakuwa nchi huru na tukajipangia bajeti yetu ya kilimo and the likes, tukawekeza serious kwenye zao la karafuu na kuimarisha bandari yetu, hatutahitaji miaka kumi kuiacha Tanganyika mbali kabisa.
 
View attachment 33609 bendera ya tanganyika
View attachment 33610ya tanzania ina tofauti gani na tanganyika ?
View attachment 33611nembo ya tanganyika hii sasa ona ya tanzania
View attachment 33612hii sasa imekuwa ya tanzania

View attachment 33613wakiambizana kuwa zanzibar ni nchi ndogo sana hawatushughulishi,hii ndio ccm,hata ule wimbo wa taifa wa tanganyika umekuwa wa tanzania,huu ni utapeli wa kutupwa,hizo rangi za kanisa ndio zimetukaba watanzania na wazanzbari.

Muungano lazima tuuvunje,hatuutaki umetukaa rohoni,mkubwa mnyanyasa mdogo

ahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, kumbe eeeeh
 
znz mkivunja muungano mtapata tabu! Mnabebwa sana na Tanganyika, kama hamuamini vunjeni muone.
 
Well mie sikujua kama naingilia ugomvi wa jinsi hiyo ila nimewasikiliza kwa makini kafu na mkutano they were bold and sounded real .Wanaongelea Nchi yao ya Zanzibar pekee .Nikawa najiuliza na kafu bara nayo itaongelea nini ?
 
Tumeshawaambia tunataka uhuru wetu nyie watu wa bara. Wale walionijibu kwenye ile thread nyingine kwamba nisipige tu kelele hapa JF nafikiri wataelewa sasa what is going around. We are quit serious, we need out independence.
 
Well mie sikujua kama naingilia ugomvi wa jinsi hiyo ila nimewasikiliza kwa makini kafu na mkutano they were bold and sounded real .Wanaongelea Nchi yao ya Zanzibar pekee .Nikawa najiuliza na kafu bara nayo itaongelea nini ?

Mkuu hili swali zuri sana ila nakushauri umperekee yule mkurya Naibu Katibu Mkuu wa CUF bara.
 
Tumeshawaambia tunataka uhuru wetu nyie watu wa bara. we need out independence.
Walianza na mafuta, wakakuta mafuta menyewe ni hewa! Sasa wanazungumzia uhaini kuuvunja Muungano! Kama mna ubavu kama wale wazee wa Pemba vunjeni huo Muungano tuone!
 
Let us hear the conclusion of the whole matter: Fear God, and keep his commandments: for this [is] the whole [duty] of man." --Ecclesiastes(muhubiri) 12:13
 
[h=1][/h]Written by amini // 09/07/2011 // Habari // No comments

Tunampango wa kuonyecha mabao yetu ya (Free Zanzibar) na utawala wa Tanganyika ijitayo Tanzania.

Hivi sasa kuna matarisho ya Wa-Zanzibar wanao ichi USA kuji Oganazi ili kusubiri kikao cha UN kukaa ili wapeleke ujumbe wao mzito unaoeleza Wazanzibar kukana Muungano fake wa Tanganyika ijitayo Tanzania.
Mataricho ya papes 98 tayari yamesha tarishwa yenye ujumbe mkoli na nyengine na copy nyengine zitagaiwa nje ya jengo hilo kwa wale wasio fahamu kipi kinajiri Zanzibar hivi sasa chini ya mtawala Tanganyika.
Kwa kunukuu tu vifungu vya pape hizo ni ujumbe wenye kusema Wzanzibar hawataki Muungano na kilichobaki ni kutawaliwa kinguvu na Serekali ya Tanganyika ijitayo Tanzania, kwa hio Wzanzibar wanataka Muungano uvunjike kwa vile upande mmoja umecha poteza uhalali wa Muungano kwa kujita Tanzania na kufanya chuhuli zote za Tanganyika ktk mwevuli wa Tanzania ikiwemo kuchukuwa misada ya nje kwa jina la Muungano wa Tanzania lakini kutumika kwa chuhuli za Tanganyika, kuwa na Mabalozi wa Tanganyika ktk ulimwengu wakajifanya ni mabalozi wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hali yakuwa wanawakilicha Tanganyika tu.
Kwa hio demand ya Wazanzibar nyumbani Zanzibar ni ujumbe wao wa kujulicha ulimwengu kuwa Muungano una kasoro nyingi kubwa ni kufa kwa mchirika Tanganyika na kuitumia Tanzania kwa faida ya Tanganyika huku Zanzibar kubanwa kwa masuala yasio ya Muungano, kutumia nguvu, kujengwa kambi nyingi za wanajeshi wa kigeni wenye asili za Tanganyika kwa wingi Zanzibar, kulitumia jina la Tanzania kwa benefit ya Tanganyika kwa Balozi za Tanganyika kwa jina laTanzania na mengi tu yalomo ktk papes.
Kwa hio tunawaomba Wazanzibar wote waloko Europ na nchi nyengine watunge mkono kuonyecha hisia zetu ktk UN ili kujulicha ulimwengu hali ya ujanja wa Tanganyika kutumia vibaya jina la Tanzania haliyakuwa ni Tanganyika ilovaa koti la Tanzania.


Kwa maandiko haya ya kuandika kwa papara hata hakuna mpangilio huko UN kama na wewe utaenda basi mmekwama maana hata kuandika hujui unaitaka Zanzibar ya kazi gani ?
 
View attachment 33609 Bendera ya tanganyikaView attachment 33610Ya tanzania ina tofauti gani na tanganyika ?View attachment 33611Nembo ya tanganyika hii sasa ona ya tanzaniaView attachment 33612hii sasa imekuwa ya tanzaniaView attachment 33613Wakiambizana kuwa zanzibar ni nchi ndogo sana hawatushughulishi,hii ndio ccm,hata ule wimbo wa taifa wa tanganyika umekuwa wa tanzania,huu ni utapeli wa kutupwa,hizo rangi za kanisa ndio zimetukaba watanzania na wazanzbari.Muungano lazima tuuvunje,hatuutaki umetukaa rohoni,mkubwa mnyanyasa mdogo
Ina maana wewe na akili zako zote unashindwa kuiona tofauti iliyopo kati ya bendera ya Tanganyika na Tanzania? Na bado unashindwa kuiona tofauti kwenye nembo hizo? Kuwa serious kidogo. Pengine ungeuliza kuna tofauti kwa kiwango gani? ngoja nikufafanulie tofauti zake ambazo ni kubwa sana ambazo zinazifanya bendera hizo na ngao zisifanane abadani ingawa zina rangi zinazokaribiana kama ilivyo kwa bendera ya Kenya na Sudani Kusini.Tofauti ya bendera ya Tanganyika na Tanzania ni kuwa ya Tanganyika haina rangi ya bluu halafu mistari yake imelala....Tofauti ya ngao ni kuwa ngao ya Tanganyika ndani yake ina bendera ya Tanganyika na ngao ya Tanzania ndani ina bendera ya Tanzania.Swali sasa. Hizo siyo tofauti? Ama ulitaka tofauti za kivipi kwa mfano?Idumu Tanganyika!
 
Ni mpango mzuri sana wa kuanza kutoa pressure ktk jumuia ya Kimataifa. ZNZ ina chance nzuri ya kujitenga kutokana location na iliyokuwa nayo. Good job.
 
Hawa magamba wanapigania kitu wasichokijua na kisicho kuwa na tija yoyote kwa watz,JK na maraisi wengne wanang'ang'ania muungano kwa kuepuka tu kuambiwa muungano ulifia mikononi mwao..but i am sure hata wao wangetamani uvunjike.JK,nyerere alishakufa,unamuogoga nani? Wape watu wanachotaka,waachie wazenji kisiwa chao,yamkini kelele zikapungua!
 
Si na ndiyo maana tunasema tuachieni nchi yetu, maana tunachokizalisha Zanzibar kinatutosha kabisa, maana hatuhitaji vikubwa kama ninyi. Sasa kitendo cha kuwa kwenye muungano kila kitu mnatupangia, kiasi cha kwamba tunashindwa kufanya maendeleo yetu binafsi. Tunabaki tumeconcentrate kwenye issue za muungano ambazo hazitusaidii kwa lolote.
Kila siku tumesema hawa watu ni kama mabibi, wanao penda kulelewa na kulishwa bure.
Fanya kazi mkuu ili "ujiconcentreritie" mwenyewe.
Issue za muungano hazikuzuii kulima
Issue za muungano hazikuzuii kujielimisha
Issue za muungano hazikuzuii kujijengea nyumba Zanzibar
Issue za muungano hazikuzuii kujenga barabara kutokana na kodi zenu wenyewe
Uvivu ndio unasababisha uishi kutegemea kuna mtu atakupa vya bure, hiyo ni tabia ya mabibi.
 
Kila siku tumesema hawa watu ni kama mabibi, wanao penda kulelewa na kulishwa bure.
Fanya kazi mkuu ili "ujiconcentreritie" mwenyewe.
Issue za muungano hazikuzuii kulima
Issue za muungano hazikuzuii kujielimisha
Issue za muungano hazikuzuii kujijengea nyumba Zanzibar
Issue za muungano hazikuzuii kujenga barabara kutokana na kodi zenu wenyewe
Uvivu ndio unasababisha uishi kutegemea kuna mtu atakupa vya bure, hiyo ni tabia ya mabibi.

haaaah haaaah haaah mkuu basi basi inatosha wasije wakatualqaeda hawa, me hata siwaamini.
 
Back
Top Bottom