Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 2,992
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?