Cheka naye bana juzi anahojiwa anasema huu mchezo wa boxer ni mzuri.hivi ni boxer au boxing!!hahaaa muwe mnaongea kiswahili bana
Cheka amedhiirisha ubabe
wake tena kwa Mada maugo baada ya kumpiga kwa knock out.Nakuchukua
zawadi ya gari
yale majigambo yamekwenda wapi eti atahakikisha cheka analia hahah
Cheka naye bana juzi anahojiwa anasema huu mchezo wa boxer ni mzuri.hivi ni boxer au boxing!!hahaaa muwe mnaongea kiswahili bana
yale majigambo yamekwenda wapi eti atahakikisha cheka analia hahah
Mimi namshangaa huyo Maugo hana lolote ni kuongea tu tena visivyo na maana halafu akiingia ulingoni anatandikwa, watu wengine bana
Cheka naye bana juzi anahojiwa anasema huu mchezo wa boxer ni mzuri.hivi ni boxer au boxing!!hahaaa muwe mnaongea kiswahili bana
Wekundu wa msimbazi wanabahati?
Mada maugo huyoo chali wanasema wanamuandaa Mashali angalieni mambo yaliyomkuta kaseba yatarudia tena
Aliniacha hoi sana wakati anahojiwa na Sports Bar ya Clouds Tv kuwa eti Waamuzi waliokuwa wanachezesha mapambano yake dhidi ya Cheka walikuwa wanaingia kuchezesha huku wamevuta bangi,kumbe yeye ndo kaingia kupigana juzi huku amelipuliza,kwanini asichezee kipondo...
Wewe unaonekana ni shabiki wa Madam Maugo, cheka hana haja ya kujua kiingereza wala kiswahili. Hata akiongea Kiluguru tu, bado ataendelea kumdunda Madam Maugo