Ilikuwa noma ndugu yangu noma sana yani niliona nimefika end of the road. Mimi huwa sina fikra za kujiua ila laiti ningekuwa nazo ningejiua maana nilikuwa nna stress si za nchi hii.WAKUU EMBU TUJUZENI ULIPITIAJE KIPINDI UKIWA HUNA HELA MAISHA YAMEKUPIGA TOTAL KNOCK OUT AND HUNA KULA KULALA YA UHAKIKA ? .............
MIE NIMEJARIBU MISHE ZA UDALALI ILA HAILIPI KABISAA NA NI MAJANGA BIN VUUU .......SO HOW DO / DID YOU COPE WITH THIS SITUATION ?...............
NA UMRI UNAENDA LIFE HALISOMI...NILIJARIBU MISHE ZA KUBEBA ZEGE.........LAKINI SIKURUDI SIKU YA PILI MAANA NILIAMKA NUSU MFUU...............MISHE ZA NYANYA KUCHUMA ASEEEEEEEEE THEN UNALIWEKA KICHWANI UNAPELEKA KWENYE LORY ASEEEEEEEEEEEEEE KUMBE MAISHA YA KUSOMA /KALAMU NI TOFAUTI NA MAISHA YA KUTAFUTALerax
Hata kama safi osha tu nakaziaVamia Car Wash iliyo karibu nawe au kuna Parking za Bolt na Uber wahi hapo tafuta madumu yako kadhaa sabuni ya 500 na kitaulo chako ukifika zimepaki 2/3 anza kazi wewe OSHA tu, akija atakutoa.
Ingia Pori kachome Mkaa kazi zipo nyingiamakweliiiiii kusoma sio kazi ,,,kazi ni kugeuza elimu ya degree yako kuwa kazi/pesa
Tafuta Mama lishe Migahawa ya karibu omba tenda ya kuosha vyombo mkubaliane malipo kwa sikusema niliomba kazi za takukuru ila naisi kigezo cha umri ndo kimenipiga knock out directly maana nagonga 30 mwaka huu
Tafuta wanapochoma viazi omba umenye viazi wakutoe na kusaidia kazi ndogo ndogo utatokea hapo ukijiweka sawaIssue nipo moshi huku hakunaga hizo bolt bin uber huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu ,,unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa
Jichanganye maeneo kuna ujenzi kuna ishu za zege au kubeba matofari na wewe jiunge hapoIssue nipo moshi huku hakunaga hizo bolt bin uber huku ni bajaj mostly na hata kisela kisela ni ngumu kugusa chombo cha mtu ,,unaweza kung'utwa mpaka usahau kuwa una njaaa