ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 2,383
- 5,227
Naona mashabiki wa Simba baada ya kupata sare na Asec Mimosas wameanza sherehe na kujiona wapo quarter final
Jwaneng ni team ngumu haswa ina points 4 ikishinda kwa mkapa inafikisha points 7 na kufuzu, watakuja kucheza jihad
Jwaneng ni wataalam wa kushinda ugenini waliwapiga Simba ikiwa kamili 2020 goals 3 na kuwatoa mashindanoni, hiyo simba ilikuwa na chama na miquison wakiwa moto, tadeo lwanga, kagere, mgalu, kapombe na Tshabalala walikuwa wangali vijana lakini bado Makili kili wakawapiga Mbumbumbu goal 5
Msimu huu wamempiga Wydad kwake jikoni, na wale waarabu walivo wagumu kuwapiga Morroco
Mbumbumbu Safari haijaisha chukueni tahadhari zote
Nawatakia kila la heri tupangwe knock out stage tuwapige 5 tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Jwaneng ni team ngumu haswa ina points 4 ikishinda kwa mkapa inafikisha points 7 na kufuzu, watakuja kucheza jihad
Jwaneng ni wataalam wa kushinda ugenini waliwapiga Simba ikiwa kamili 2020 goals 3 na kuwatoa mashindanoni, hiyo simba ilikuwa na chama na miquison wakiwa moto, tadeo lwanga, kagere, mgalu, kapombe na Tshabalala walikuwa wangali vijana lakini bado Makili kili wakawapiga Mbumbumbu goal 5
Msimu huu wamempiga Wydad kwake jikoni, na wale waarabu walivo wagumu kuwapiga Morroco
Mbumbumbu Safari haijaisha chukueni tahadhari zote
Nawatakia kila la heri tupangwe knock out stage tuwapige 5 tena
Sent using Jamii Forums mobile app