Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Jamani na mimi nahitaji msaada kwa hili , Private Candidate hivi naye akifanya vizuri kwenye masomo yake anao uhalali wa kuchaguliwa kwenye shule za serikali?
 
mkuu dogo yupo Chief Mwang'ombe High school ndo wanamalizia form 6 mwaka huu, hiyo post ya mwaka juzi, dogo alipata post ya serikali kwenye hiyo shule, anapiga PGM, pamoja kamanda.

Zumbe iko wapi hii
 
Jamani na mimi nahitaji
msaada kwa hili , Private Candidate hivi naye akifanya vizuri kwenye
masomo yake anao uhalali wa kuchaguliwa kwenye shule za
serikali?

kamanda huyu hawezi chaguliwa gvt skul,mtafutie private tu.
 
Kuna mdogo wangu matokeo ya mwaka jana alipata div 4 ya point 29
civ_D
Eng_D
HIS_D
BIO_D
CHEM_D
KISW_F
MATH_F
GEO_D.Mwaka jana tena akaamua kurudia mtihani na amepata div div 4 point 32. hapa KISW -B, ENG-C ,HIST-C, BIOL-C , CIV-E, MATH-F,ENG-C. Je hapa kwenye mpango mzima wa cheti inakuwaje ?
 
Je nami naenda kwa haya. Civics D. History E. Literature D. Bios D. Chemistry D. Kiswahili B. Geog C. Englsh C. Math F. Hapa comb yenye hsistry c inakubali
 
Kibaha wanaweza kweli kumchukua dogo huyu aliyepata bios c, chemia c na geog c?. Ada zao vipi manake naona mtandaoni hawasemi chochote
 
Kibaha wanaweza kweli kumchukua dogo huyu aliyepata bios c, chemia c na geog c?. Ada zao vipi manake naona mtandaoni hawasemi chochote
kibaha ipi ,hii vipaji.hapo hachukuliwi kaka,labda kibah nyingine.pia wengi wamefaulu sana mwaka huu A za kumwaga
 
kamanda huyu hawezi chaguliwa gvt skul,mtafutie private tu.

Mfumo mpya umepitishwa ambao sasa EDUCATION CENTRES zote itatakiwa zisajiriwe na TAASIS YA ELIMU YA WATU WAZIMA kwa kushrkiana na serikali. Mfumo huu mpya utawaruhusu private candidates kujiunga na shule za serikali. N:B-kuna baadh ya vituo vimeanza kujisajri. for more information tembelea TAASIS YA ELIMU YA WATU WAZIMA,Pia ulizia kwa AFISA ELIMU WA HALMASHAUR.(MKOA)
 
naombeni mnisaidie jamani...mdogo wng amepata 4 ya 40 yani bios-D englsh-D chmstr-E phys-E geo-E math-E literature-E civs-E kisw-E histr-F ....hayo ndo matokeo yake naombeni msaada kama ana weza kwenda chuo nijue na chuo gani?
 
BUT still pvt chuo kipo mbeya vijijini eneo la iwambi,ni cha kutwa na bweni atachukuliwa bila tatizo.
 
Na mm nina mdogo wangu amepata Div IV ya 27;
Phy D
Bio C
Chem D
math D
kisw D
Geo D
Civ D
His F
Eng F
hlfu chaguo la kwanza alijaza vyuo na la 2 alijaza Advance
TUSAIDIANENI JMN MAWAZO ILI HAWA WADOGO ZETU WASIWE VIBAKA.

Huyu hawezi kuchaguliwa moja kwa moja ispokuwa kwa alama alizonazo zinaweza kumfanya aende chuo chochote cha ufundi kwa njia ya kuomba (application) hivo inabidi awahi kutuma maombi ktk vyuo avipendavyo na ata vile asivyovipenda ili kama atakosa ila akapata huko sio mbaya akaenda kusoma! Samahani naweza nikawa nimechelewa kuchangia mada kwa sababu sijui hayo matokeo ni ya mwaka 2012 or 2013.
 
naombeni mnisaidie jamani...mdogo wng amepata 4 ya 40 yani bios-D englsh-D chmstr-E phys-E geo-E math-E literature-E civs-E kisw-E histr-F ....hayo ndo matokeo yake naombeni msaada kama ana weza kwenda chuo nijue na chuo gani?
Aende TRACDI DODOMA wanampokea kwa roho nyeupeee.km upo tayari ni Pm
 
Kunamdogo wangu ana four 36 yaan
HIST D ENGL D BIOS D CVS C KISWA C GEO E NA MATH F Je anaweza pata nursing or chuo cha uwalim private
naombeni ushauri wenu wadau
 
jaman wadau naona msaada wenu ni mkubwa sana. me pia nahitaji kusaidiwa. nimemaliza kidato cha nne mwaka 2013. matokeo ni 4.37
yaan
civ-D, his-E, math-F, eng-C, geo-D, bio-D, kis-D.
Napendelea kwenda ualimu. kwa vyuo vya ualimu serikalin nimeambiwa haiwezekan. je vyuo vya binafsi vinapatikana kutokana na alama nilizopata.? au kama kuna msaada wa vyuo vingine nivyoweza kwenda lakin visiwe vya sheria. asanteni.
 
wamiliki wa vyuo mnapaswa (hasa div 35-40 mtoe matangazo jamvn )changamkien fursa mskae kmya mnakera alaah!
 
jaman wadau naona msaada wenu ni mkubwa sana. me pia nahitaji kusaidiwa. nimemaliza kidato cha nne mwaka 2013. matokeo ni 4.37
yaan
civ-D, his-E, math-F, eng-C, geo-D, bio-D, kis-D.
Napendelea kwenda ualimu. kwa vyuo vya ualimu serikalin nimeambiwa haiwezekan. je vyuo vya binafsi vinapatikana kutokana na alama nilizopata.? au kama kuna msaada wa vyuo vingine nivyoweza kwenda lakin visiwe vya sheria. asanteni.
Yaani huu utaratibu mpya mi sijaufuatilia sana ufaulu wake na qualification zake, lakini ninavyojua kwa Div. 4 ualimu sahau...hata kusomea sheria pia ni ngumu, ushauri wangu tafuta kozi itayokufaa uanze n ngazi ya cheti then ukifaulu vizuri ndo matokeo yako ya cheti somea mambo mengine. Vyuo vya utumishi wa umma ka Public Service College unaweza kusoma pia kozi za Reording Managements au Human Resources certificate na ukaunganisha Diploma
 
wamiliki wa vyuo mnapaswa (hasa div 35-40 mtoe matangazo jamvn )changamkien fursa mskae kmya mnakera alaah!
Yap ni fursa nzuri kwa wakuu wa vyuo kuchota wanafunzi
 
Back
Top Bottom