Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Nilikua naomba msaada,nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana kwenye fulan ya kata nimepata dv 4 point 26.kama ifutavyo;
Geo D
Hist D
Kisw D
Eng D
Civ C
B/math C
Bios D
na F mbili za B/kpng na comerce,niliajaribu kuomba nafac ya kusoma advnce huku na reseat cmb(EGM) Lakin nikaambiwa utaratibu huo ulishafutwa labda ujeufanye mtihan wa form six kma pc,nikaamua kughahil na ku2ma maombia katika chuo cha mipango dodoma(IRDP) kwa kuanzia ngazi ya chet na baadae diploma sasa ninawasiwas kama naweza kuchaguliwa na kama nikichaguliwa ngependa kujua ajira zake ziko vp na uteuz wa wanafunzi unatoka lin?Nahtaj msaada wako mkubwa!
 
Nilikua naomba msaada,nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana kwenye fulan ya kata nimepata dv 4 point 26.kama ifutavyo;
Geo D
Hist D
Kisw D
Eng D
Civ C
B/math C
Bios D
na F mbili za B/kpng na comerce,niliajaribu kuomba nafac ya kusoma advnce huku na reseat cmb(EGM) Lakin nikaambiwa utaratibu huo ulishafutwa labda ujeufanye mtihan wa form six kma pc,nikaamua kughahil na ku2ma maombia katika chuo cha mipango dodoma(IRDP) kwa kuanzia ngazi ya chet na baadae diploma sasa ninawasiwas kama naweza kuchaguliwa na kama nikichaguliwa ngependa kujua ajira zake ziko vp na uteuz wa wanafunzi unatoka lin?Nahtaj msaada wako mkubwa!
umeapply cheti gani Mr Mchunguzi
 
Nimeomba certificate ya rural dev plan. ...,.,na nimepitia ushaul uliokuwa unawapa baadhi ya wadau nikaona kama naweza kuwa na sifa kuanza na dipl,so nami ningependa unieleweshe hapo kidogo.Aksante
 
Wakuu mimi kufuatia ushauri wenu nimeomba medical assistance wizarani matokeo yangu ni
phy-D,bios-D,chem-D,math-f,engl-D,kisw-C,hist-D,geo-D,CIV-D.Ni 4 point 27,vp wakuu uwezekano wa kupata ni upi?
 
Nilikua naomba msaada,nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana kwenye fulan ya kata nimepata dv 4 point 26.kama ifutavyo;
Geo D
Hist D
Kisw D
Eng D
Civ C
B/math C
Bios D
na F mbili za B/kpng na comerce,niliajaribu kuomba nafac ya kusoma advnce huku na reseat cmb(EGM) Lakin nikaambiwa utaratibu huo ulishafutwa labda ujeufanye mtihan wa form six kma pc,nikaamua kughahil na ku2ma maombia katika chuo cha mipango dodoma(IRDP) kwa kuanzia ngazi ya chet na baadae diploma sasa ninawasiwas kama naweza kuchaguliwa na kama nikichaguliwa ngependa kujua ajira zake ziko vp na uteuz wa wanafunzi unatoka lin?Nahtaj msaada wako mkubwa!

Uliogopa bure kwani kufnya pepa forms as a pc ni kawaida tu kwani ndio utaratibu wa baraza na watu wengi huwa wanafauru kwani hakuna ukiritimba wa usahihishaji kama wa pc wa olevel. Ni hayo tu na nina uhakika nayo kwani nishadeclare kutoka kwa watu wangu wa karibu.
 
Nilikua naomba msaada,nimemaliza kidato cha 4 mwaka jana kwenye fulan ya kata nimepata dv 4 point 26.kama ifutavyo;
Geo D
Hist D
Kisw D
Eng D
Civ C
B/math C
Bios D
na F mbili za B/kpng na comerce,niliajaribu kuomba nafac ya kusoma advnce huku na reseat cmb(EGM) Lakin nikaambiwa utaratibu huo ulishafutwa labda ujeufanye mtihan wa form six kma pc,nikaamua kughahil na ku2ma maombia katika chuo cha mipango dodoma(IRDP) kwa kuanzia ngazi ya chet na baadae diploma sasa ninawasiwas kama naweza kuchaguliwa na kama nikichaguliwa ngependa kujua ajira zake ziko vp na uteuz wa wanafunzi unatoka lin?Nahtaj msaada wako mkubwa!

Achana na mambo ya EGM na kureseat,anzia certificate then in few years utakuwa na degree,kama umesoma za kata we si mbaya umejitahidi mdogo wangu.
 
Hivi walio2ma application letter wizarani afya/kilimo na mifugo majibu ya kujoin na collage yanatoka lini au yameshatoka....?
 
Mkuu mdogo wangu ana

Englih - c
Kiwahili - A
Geograph - d
Civic - D
Maths-F
Biology - D
History -F
Bookiping - D
Commerce - F

Hapa anaweza kwenda Diploma huko CBE na vyuo vingine....
 
naitwa pili, hongera sana ndugu kuwa hapa forum maana unasaidia sana watanzania.nahitaji msaada wa matokeo ya kujiunga na vyuo vya ualimu,je yametoka?nisaidien jaman niko njia panda.jina ni pili lugera,nisaidie uniangalizie kama nimechaguliwa ndugu yangu.email yangu ni maduhujackier@gmail.com
 
naitwa pili, hongera sana ndugu kuwa hapa forum maana unasaidia sana watanzania.nahitaji msaada wa matokeo ya kujiunga na vyuo vya ualimu,je yametoka?nisaidien jaman niko njia panda.jina ni pili lugera,nisaidie uniangalizie kama nimechaguliwa ndugu yangu.email yangu ni maduhujackier@gmail.com
habari yako ndugu kuhusu MAJINA ya kujiunga na vyuo vya ualimu kwa ngazi ya cheti na diploma yametoka
unaweza fuata hizi link chini
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=157&Itemid=385
ya diploma haya hapa
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=158&Itemid=385
kama unaweza ndugu nitumie shule uliyosoma ili iwe rahisi kukutazama nitumie PRIVATE MESSAGE majina yako na shule uliyosoma nikuangalizie vizuri
 
Cna mpango wa kwenda advance..nina dvsn 1 ya 17 yn B 4 na C 5,na nina mpango wa kuchkua coz za sayanc eg arc,civil,I.T,I.C.T, au minng ila ngeitaji ushauri coz gani tkw the best..plz naitaji ushaur help l b gr8ful
 
Cna mpango wa kwenda advance..nina dvsn 1 ya 17 yn B 4 na C 5,na nina mpango wa kuchkua coz za sayanc eg arc,civil,I.T,I.C.T, au minng ila ngeitaji ushauri coz gani tkw the best..plz naitaji ushaur help l b gr8ful

kwanza ni declare interest mimi ni mhandisi wa umeme
USHAURI
soma civil au electrical ni diploma ni iaka mitatu then utacheki utaratibu maan utaqualify kuwa technician na unaweza fanya kazi au kusoma degree
VYUO
DIT-DAR TECH
MIST-MBEYA TECH
ARUSHA TECH
ST.JOSEPH-DAR
kama una swali uliza
 
thnx sana,naje naweza kupata government spornsorship?na ntapitia njia gani? na ni vyuo gani ndo itakua the best kwa ajili ya dploma?
so akina I.T hwana issue?
 
thnx sana,naje naweza kupata government spornsorship?na ntapitia njia gani? na ni vyuo gani ndo itakua the best kwa ajili ya dploma?
so akina I.T hwana issue?
umemaliza form mwaka gani..?
kuna utaratibu ukiwa unakaribia kufanya mtihani wa form iv unajaza SELF FORM kwa ajili ya selection
either unaweza kuchagua A-LEVEL YA FIVE NA SIX AU TECHNICAL COLLEGE
UKICHAGUA TECHNICAL COLLEGE KWA MATOKEO YAKO LAZIMA WAKUCHUKUE
VYUO VYOTE VYA UFUNDI NI VIZURI HASA HIVI SERIKALI NA UKICHAGULIWA KUNA UTARATIBU HELA YA KUJIKIMU
MARA NYINGI WANAINGIA MWEZI WA NANE NA TISA..
KWA SASA UNAWEZA KULIZA CHUO KILICHOKARIBU NA WEWE KWA UTARATIBU
SOMA UMEME AU CIVIL NI USHAURI WANGU ..
 
memalza 4m4 2012 bt nkshndwa kuendlea coz nlikua naumwa sana,saiv nipo okey ndo cjajua mpka saiv knchofwata nn!
 
Naish arusha ila kwa sasa nipo tanga bt after 2 weeks ntakua nsharudi arusha
sasa fanya hivi ukifika arusha nenda arusha technical college kaangalie utaratibu pale kama diploma wameshaanza na kama kuna utaratibu nini ufanye utapata maelekezo
 
Back
Top Bottom