Forex vs Betting

Forex vs Betting

Je forex ni sawa na betting?


  • Total voters
    26
  • Poll closed .
Mkuu nikuombe radhi kwa kukaza fuvu nimegundua naye TRADER MIKE ni mwizi kama majizi mengine ya CCM.
Maana haimake sense hata kidgo unashow big profit then unataka hela ya mtu mwingine akulipe 149$ kufundisha huo ni wizi na utapeli
Kwahiyo sasa nitakomaa kivyangu naachana na upepo wake feki
nlivoona unakaza fuvu nkasema baba wewe nenda sisi tutajua tunazika ama tunasafirisha!
 
Sasa hivi nakoma kivyangu mkuu maana naona huko mtandaoni kila mtu anawinda ya mfukoni kwa mwenzake
hio ndo life style yao mkuu, ata mtu akushawishi kiasi gan hakikisha anachokihubiri alisema before kuingia kwenye trade other wise anatafuta tu ngombe wa kukamua
 
Na mimi ngoja nimfuate inbox aniambie kwanini anatoza hela watu tena hela ndogo kiasi kile ukilinganisha na profit anazodai kupata
ndo maisha yao hayo mzee, wapo wengi wana majina kabisa! utaoona kakodisha gari 🤣 🤣 yaani mpaka unapangika
1746959357981.png
 
ndo maisha yao hayo mzee, wapo wengi wana majina kabisa! utaoona kakodisha gari 🤣 🤣 yaani mpaka unapangika View attachment 3330887
Hi Mike,

You’re a successful trader and someone who has inspired a lot of people, including me. I really respect what you’ve achieved.

But I have a genuine question: Why do you charge people to join the 1% Group, especially when you show that you're making a lot of money every week? From the outside, it doesn’t quite make sense, so I’m just curious to understand the real reason behind it.

This isn’t meant to be personal or negative—I’m just looking for honest clarification.
Thanks in advance!
 
hio ndo life style yao mkuu, ata mtu akushawishi kiasi gan hakikisha anachokihubiri alisema before kuingia kwenye trade other wise anatafuta tu ngombe wa kukamua
Nisharuka naye DM tayar nasubir block
 
Sasa hivi nakoma kivyangu mkuu maana naona huko mtandaoni kila mtu anawinda ya mfukoni kwa mwenzake
Unakomaa na kamari acha ujinga Tanzania tunatengeneza vizaz vya vya wakamaria kwa hali hii
 
Halafu kweli huyu TRADER MIKE juu kabisa POST aliyoweka pinned kwenye mtandao wa X. ukibofya inakupeleka kwenye malipo directly kulipia 149$ sasa kumbe naye mhuni kama wengine kuanzia leo simfati tena maana ananilisha upepo tu kumbee naye JIZI la kutupwa fala yule
Ww unadhani iyo $149 ukipata wajinga Kama 1000 wenye tamaa ya kupata hela laini anazo $149,000 ambazo hazina jasho unadhani hata ni wazungu wanaoishika hii hela kwa mwaka
 
Ww unadhani iyo $149 ukipata wajinga Kama 1000 wenye tamaa ya kupata hela laini anazo $149,000 ambazo hazina jasho unadhani hata ni wazungu wanaoishika hii hela kwa mwaka
Kabisa mkuu kwenye hili gemu asilimia kubwa ni majiziii yaliyoshindikana
 
Forex ni betting 100%
- Sawa mkuu

Hapa nime_bet lotsize 0.01, BTCUSD infanya retracement, MN, W1 chart zote ni Bullish

1746969798045.png

- Acha tuendelee kubeti.
//
BTW huwa sifanyi trade siku za weekend, imetokea tu leo tool ambayo nilikuwa naifanyia update na testing ikanipa Entry iliyonishawishi kufungua poistion moja 0.01

1746970187217.png
 
Ukiangalia chart yangu juu kulia kuna "ManualTradeManager_ATR_Trailing_1 " | Kazi ya hii tool ni kuhakikisha kila trade unayofungua inakuwa na SL and TP., Na pia hufanya TRAILING stop profit inapofikia kiasi ulichoweka.

- Waweza download for FREE hapa:
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15162442#post15162442
1746970482978.png

---
Kwa wale wenye uhitaji:
  • Je una stratergy yako na unahitaji ifanyiwe coding either kupata indicator au EA, basi usisite kuwasiliana nami.
  • Natoa huduma ya coding kwa ghrama nafuu. Waweza angalia kazi zangu FOREXFACTORY, Ninadikie PM hapa JF au Forexafctory ili tufanye kazi.
 
Ukiangalia chart yangu juu kulia kuna "ManualTradeManager_ATR_Trailing_1 " | Kazi ya hii tool ni kuhakikisha kila trade unayofungua inakuwa na SL and TP., Na pia hufanya TRAILING stop profit inapofikia kiasi ulichoweka.

- Waweza download for FREE hapa:
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15162442#post15162442
View attachment 3331036
---
Kwa wale wenye uhitaji:
  • Je una stratergy yako na unahitaji ifanyiwe coding either kupata indicator au EA, basi usisite kuwasiliana nami.
  • Natoa huduma ya coding kwa ghrama nafuu. Waweza angalia kazi zangu FOREXFACTORY, Ninadikie PM hapa JF au Forexafctory ili tufanye kazi.
Mkuu mbona kama na ww umekuja na gia ya upigaji tena kulikoni kwenye hii Industry kila mtu anawinda mwingine amkwide roba ya dollar 💰 kadhaa
 
Mkuu mbona kama na ww umekuja na gia ya upigaji tena kulikoni kwenye hii Industry kila mtu anawinda mwingine amkwide roba ya dollar 💰 kadhaa
- Huu ni mtazamo wako. Ni haki yako.

Iko hivi:
  • Ninatrade
  • Nina code Indicator na EA for free iwapo utaomba in public
Unafungua hii thread na kuweka request yako
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15242837#post15242837
- Paid iwapo unataka huduma ya private:
---
Hapa Chini nakuwekea ushahidi wa FREE coding servirce na PAID coding service:
<Free coding service>
- Post shida yako hapa kisha nitag:
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15241451#post15241451
1746971779713.png


---
<Paid service>
Kwa wale wasio hitaji FREE service hunifuata chemba kwa Paid VIP service:
- Customer from UK:
1746971951722.png

---
Wenye uhitaji hunifuata PM nadhani unaona nimepokea request zaidi ya 200+
1746972104899.png

mwingine amkwide roba ya dollar 💰 kadhaa
- Achana na mawazo hasi, Achana na mawazo mgando, Kuwa positive, Amka toka usingizini, Fanyia kazi ulichojifunza kutokana na reply zangu.
 
- Huu ni mtazamo wako. Ni haki yako.

Iko hivi:
  • Ninatrade
  • Nina code Indicator na EA for free iwapo utaomba in public
Unafungua hii thread na kuweka request yako
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15242837#post15242837
- Paid iwapo unataka huduma ya private:
---
Hapa Chini nakuwekea ushahidi wa FREE coding servirce na PAID coding service:
<Free coding service>
- Post shida yako hapa kisha nitag:
Code:
https://www.forexfactory.com/thread/post/15241451#post15241451
View attachment 3331047

---
<Paid service>
Kwa wale wasio hitaji FREE service hunifuata chemba kwa Paid VIP service:
- Customer from UK:
View attachment 3331050
---
Wenye uhitaji hunifuata PM nadhani unaona nimepokea request zaidi ya 200+
View attachment 3331053

- Achana na mawazo hasi, Achana na mawazo mgando, Kuwa positive, Amka toka usingizini, Fanyia kazi ulichojifunza kutokana na reply zangu.
we jamaa hautokagi tu mwaka wa 20 sasa toka jamii forum imeanza unfukuzia faida ya $6
 
Nachangia mjadala kama ifuatavyo;

Forex = betting.

Unafuu wake ni kwenye kupata faida kwa muda mrefu ( rate of repeatedly happen of an event ( probability) is higher) kulinganisha na other probability schemes kama vile footballer, n.k. provided that Una high chance of producing sniper entries in long run. Otherwise forex don't opt to do it.

Kwanza tambua forex Tunayofanya kupitia kwenye software za MT4 or MT5 ni speculation siyo exchange ya sarafu.

Tunachofanya ni speculation ( utabiri) wa mwelekeo wa bei ya currency pair ( pea ya sarafu mbili) tofauti.

Unapobofya kitufe cha buy or sell unakuwa hujabadilisha sarafu moja kwenda nyingine.

Mfano pair USDCAD kwa broker umedepost USD 40 kwenye account yako. Unapo bofya kitufe cha buy unakuwa hujadilishi sarafu yoyote kwenye pair, kiasi chako ulichoweka kwa mfumo wa USD kinakuwa katika sarafu hiyo hiyo mwanzo mwisho wa mchezo.

Sasa hii biashara imekuwa degined ili irun kwa Ku establish vitu kadhaa na ndio vinafanya biashara hii iwepo. Vitu hivyo ni

01.LEVERAGE, hii Inakusaidia kumanage account kubwa kwa hela ndogo, ili Hali ukiingia kwenye mchezo Utagundua haikusaiidii sana kinachopotea ni hela yako uliyo depost( security money). Watu wa funding prop wanaitumia hii unatoa pesa ndogo unapewa account kubwa inakuwa na masharti flani.

02. LOT SIZE, hii Inakusaidia unakuwa na kamtaji kadogo na unataka kupata faida kubwa , utatumiA hii kitu. ni nzuri sana kama wewe trades zako ni snipers, stop loss max pips 5 na haiguswi yaani.hii ni kama engine ama gear ya gari. Inakufanya uamue wewe kwa mtaji huu nataka nipate kiasi flani cha juu kabisa endapo prices Nita anti sipate welekeo Uliosahihi.
.
Unakuta unaitafuta reward ya pips 300 halafu risk stop loss 5 pips na kamtaji 10$ halafu sasa unataka kila pips upate profit ya 2$ ( 0.2lot) kwa 300pips target unaichungulia 600$ profits.

Hii kitu inaadhiriwa na kitu kinaitwa spread, thus why nimesema inawafaa watu wenye sniper kali sana ni gusa na kuondoka to the target direction
yaani price ifike kwenye entry price na kuondoka yaani, siyo inafika inaanza kucheza cheza zone hiyo hapo utatolewa chapu na spread.

Unapopata faida, faida yako unalipwa kutoka account ya broker na utapopata loss broker ana deduct kutoka kwenye account yako, na siyo sehemu Nyingine Unayozania kuwa ndiko Inapotoka profit yako.

EDGE kwenye forex ndio inayoweza Kukusaidia Ku survive. Lakini itafanya kazi endapo utakuwa na snipers trades nyingi kuliko loss Tofauti na hapo haijalishi Unatumtaji kiasi gani cha mtaji, haijalishi una tumia winning ratio gani utachezea kichapo cha Mbwa Hadi uuze chupi zako.

Cha kushauri ni kuwekeza nguvu nyingi kwenye kumaxmize probability ya winning, Gaining more skills, techniques N. K ukiweza hapa utafanikiwa kwenye forex utakuwa kama kina trader Mike wa Twitter.

forex ni ngumu sana ila ukikaza unatoboa.

Nimepata vijisenti kwenye forex na pia nimepigwa za uso kwenye forex.Nimeifalitia sana Nimegundua inalipa sema ni ngumu sana Kutoboa ila inawezekana.

Now nadiili na prop firms tu japo nazo Zinamitego sana zimelenga kukufelisha tu, japo ndio hivyo nakomaa tu zinatoa sana sema ni ngumu sana.

Kuna kitu kinaitwa Contact for Difference ( CFD) tofauti ya entries na exist kwa kila trade Unayochukuwa ndio inaamua upate faida kiasi gani kutoka kwa broker.

Hela ya mzungu haiendi bure bure.!! Inahitaji utoke jasho.

Kwa upande wa ki biashara hii inadondokea category ya Biashara maana kampuni inalipa fees zote kwa mamlka za Serikari siyo illegal.


Naomba Kuwasilisha.

CC

Sir ONTARIO, Popote ulipo
 
hio ndo life style yao mkuu, ata mtu akushawishi kiasi gan hakikisha anachokihubiri alisema before kuingia kwenye trade other wise anatafuta tu ngombe wa kukamua
Ni kweli mkuu?
hii ndo fan ambayo ni most rewarding ukiipatia au still usanii tu
 

Attachments

  • Screenshot_20250512-082730.png
    Screenshot_20250512-082730.png
    74.1 KB · Views: 16
eti sku ukifanya nn 🤣 🤣 🤣 🤣 ! andaa machozi ya kutosha maaana kukuelezea hii movie inavoenda kuisha haitoshi inabidi ujionee mwenyewe
I started levelling up when stopped accepting excuses I made for myself.

Trading broke me down mentally before it made me.

I knew I was going to be a successful trader.
Never doubted it. Even when I didn’t know how.

I knew multiple profitable traders personally. I knew what was possible. I also knew how hard they worked.

I decided to work harder. I decided to work longer hours. By my calculations if I put in more hours I would get to my goals at a more efficient pace. It worked.

The results I was wanting was in the work I was avoiding.

It is a hard game. Don’t let anyone tell you any different. But it’s also possible to achieve great things in this game.

Others before you have done it. You can too. Don’t think any different. Put in the work.
 

Attachments

  • Screenshot_20250512-090053.png
    Screenshot_20250512-090053.png
    138.4 KB · Views: 15
Back
Top Bottom