Forex trading coach and mentor

Forex trading coach and mentor

chuj

Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
51
Reaction score
109
Habari,

Baada ya kujifunza biashara ya forex kwa mda usiopungua miaka 8 hadi sasa bila mafanikio.

Nimeona njia sahihi ya kufanikiwa katika biashara hii ni kupata watu sahihi wenye uzoefu na wenye mafanikio halisi katika biashara ya forex.

Nakuja kwenu wana jamvi kwa yoyote aliye tayari kuwa mentor au coach anakaribishwa kunishika mkono ili kunivusha katika biashara hii.
Nb: nina uelewa wa wastani wa biashara hii.

Nawasilisha.
 
Habari,
Baada ya kujifunza biashara ya forex kwa mda usiopungua miaka 8 hadi sasa bila mafanikio. Nimeona njia sahihi ya kufanikiwa katika biashara hii ni kupata watu sahihi wenye uzoefu na wenye mafanikio halisi katika biashara ya forex.
Nakuja kwenu wana kamvi kwa yoyote aliye tayari kuwa mentor au coach anakaribishwa kunishika mkono ili kunivusha katika biashara hii.
Nb: nina uelewa wa wastani wa biashara hii.

Nawasilisha.
vizuri kwa sababu umekiri tatizo...
nakuuliza swali: ulitumia strategy ipi? na ulijifunza kwa njia gani? mentor au ulilipia youtube channels?
 
Habari,
Baada ya kujifunza biashara ya forex kwa mda usiopungua miaka 8 hadi sasa bila mafanikio. Nimeona njia sahihi ya kufanikiwa katika biashara hii ni kupata watu sahihi wenye uzoefu na wenye mafanikio halisi katika biashara ya forex.
Nakuja kwenu wana kamvi kwa yoyote aliye tayari kuwa mentor au coach anakaribishwa kunishika mkono ili kunivusha katika biashara hii.
Nb: nina uelewa wa wastani wa biashara hii.

Nawasilisha.
ushauri wangu. humu kuna wengi mno wanafanya fx ila wameamua kukaa kimya hawataki kelele. hivyo, kama upo serious, commit yourself ujifundishe wewe mwenyewe. usitafute mentor. hujui kiingereza?
 
8 yrs !!? Ingekuwa unajifunza ishu zingine ungekuwa unakaribia udaktari kwenye hilo jambo
mimi nilitumia zaidi ya miaka 6 kujifunza tu. huyu miaka 8 ni kwamba alikuwa ana trade kabisa. ukipiga hesabu alijifunza kwa miezi michache akadhani amejua, akaingia kichwa kichwa kwenye trading, hilo lilikuwa bonge la mistake alifanya.
 
vizuri kwa sababu umekiri tatizo...
nakuuliza swali: ulitumia strategy ipi? na ulijifunza kwa njia gani? mentor au ulilipia youtube channels?
Nimejifunza kwa kusoma vitabu, kupitia youtube na niliwahi kusoma kupitia zoom clasess kutoka kwa baadhi ya watu wanaofanya hii biashara
 
Habari chuj,

Nimekusoma na nimeelewa kabisa changamoto unazopitia. Kwanza kabisa, nakupongeza sana kwa uvumilivu na kutokata tamaa baada ya miaka minane! Hiyo inaonyesha una nia ya kweli na unajua unachokitaka. Watu wengi wangekata tamaa mapema sana, kwa hiyo usiweke shinikizo sana kwako mwenyewe kuhusu muda. Kujifunza Forex ni safari ndefu na ngumu kwa wengi, na wengi hupitia vipindi kama hivi.

Ni hatua nzuri sana kutafuta mentor au coach. Ni kweli kabisa, kupata mtu mwenye uzoefu na mafanikio halisi kunaweza kukupa mwongozo sahihi na kukuepusha na makosa mengi. Endelea kutafuta, naamini utampata mtu sahihi atakayekushika mkono.

Muhimu ni kuendelea na nidhamu, kujifunza kusimamia hatari (risk management), na kufuata mkakati mmoja baada ya kuupata. Usikate tamaa! Kila la heri katika safari yako, naamini utafanikiwa.Pole sana chuj kwa changamoto hii ya miaka minane bila mafanikio unayosema. Lakini pia hongera sana kwa kutokata tamaa na kuendelea kujitahidi! Miaka minane ni muda mrefu, na kuendelea kujifunza kunaonyesha azma kubwa sana.

Uamuzi wako wa kutafuta mentor au coach ni sahihi kabisa. Hakuna njia bora ya kufanikiwa kwenye jambo lolote kama kujifunza kutoka kwa wale waliofanikiwa tayari. Hii inaweza kukusaidia kuruka hatua nyingi na kuepuka makosa ambayo wengine wamefanya.

Usikate tamaa kabisa. Kwa uelewa wako wa wastani na uzoefu wa miaka minane, hata kama haujaleta faida, una msingi mzuri sana wa kuelewa soko. Unachohitaji sasa ni mwelekeo sahihi na labda nidhamu zaidi chini ya uangalizi wa mtu mwenye uzoefu.

Ninaamini utapata mtu sahihi hapa kwenye jukwaa hili. Wapo watu wenye uzoefu na roho nzuri ya kusaidia. Kila la heri katika safari yako ya kufikia mafanikio!
 
Nimejifunza kwa kusoma vitabu, kupitia youtube na niliwahi kusoma kupitia zoom clasess kutoka kwa baadhi ya watu wanaofanya hii biashara
you made a biggest mistake ever
 
Nashukuru, na naamini kupitia jukwaa hili atapatilana
 
Back
Top Bottom