Forex vs Betting

Forex vs Betting

Je forex ni sawa na betting?


  • Total voters
    26
  • Poll closed .
Trade ya pili itakua GBPAUD price ipande
 

Attachments

  • Screenshot_20250512-110706.png
    Screenshot_20250512-110706.png
    82.6 KB · Views: 15
Na ya mwisho GBPNZD PRICE IPANDE pia
 

Attachments

  • Screenshot_20250512-111219.png
    Screenshot_20250512-111219.png
    80.6 KB · Views: 16
Sasa shida iko wapi maana ya hii ya mtandao inakuwa on the spot quickly reaction.Small movement watu wanapata hela kwenye difference in price.
hapana! online sio trading ni gambling, maana yake price ikishuka unapoteza ela unayoweza kufanya exchange, wa byuro anayo exact amount always na amenunua hizo pesa kwa bei ndogo anakuuzia wewe kwa bei kubwa
 
Kwahiyo mkuu katika trade 10 nikipata 2 au tatu 3 nikakosa trade saba kwa kulose amount ambayo ni constant ujue basi mambo yameenda sawia
 
hapana! online sio trading ni gambling, maana yake price ikishuka unapoteza ela unayoweza kufanya exchange, wa byuro anayo exact amount always na amenunua hizo pesa kwa bei ndogo anakuuzia wewe kwa bei kubwa
Ok ndo tunataka tuone kwenye hiyo Gambling katika trade 10 tunapata trade ngapi zikifika 2 tu ujue it's business
 
hapana! online sio trading ni gambling, maana yake price ikishuka unapoteza ela unayoweza kufanya exchange, wa byuro anayo exact amount always na amenunua hizo pesa kwa bei ndogo anakuuzia wewe kwa bei kubwa
Shida yako iko hapo kwenye kuloose ndo unachanganyikiwa hujui kuwa the Best loser Wini.
Ni namna tu ya kuweka uwiano sawasawa
 
unajua tushakuelezea sana, sasa imebaki wewe kuingia ulingo na kufanya maamuzi yako binafsi maaana ata nkikuelezea vp bado utaniona muongo
Nako kumbe kajiziiii kakutupwaa nimekuta kanauza signal kameshindwa kuzitumia kenyewe katengenez more money ,uhuni mtupu
Kila mtu mwizi hukuuu kutrade watu wanaona kugumu mwendo wa mentorship ndo wanaharibu hawa
 

Attachments

  • IMG-20250512-WA0007.jpg
    IMG-20250512-WA0007.jpg
    91.8 KB · Views: 19
usijjielezee sana, wewe ingia mzigon
Duuu watu wapigaji huku kishenzi first 100 personal ndo wanaotakiwa kutoa 150$.
Hiyo 150$×100=15000$ kwa hela za madafu million 40
Kama nakuelewa hivi huu utapeli wa kiwango cha SGR
 

Attachments

  • IMG-20250512-WA0007.jpg
    IMG-20250512-WA0007.jpg
    91.8 KB · Views: 14
Kwa edge ninayo test mkuu minimum ni 1:5 kabla ya kuanza kubreak even we huu mziki umekushinda mkuu uwezo wako wa kuhimili mdg
🤣 🤣 wewe kwa saahv punguza maneno ingia mzigon piga pesa
 
Nako kumbe kajiziiii kakutupwaa nimekuta kanauza signal kameshindwa kuzitumia kenyewe katengenez more money ,uhuni mtupu
Kila mtu mwizi hukuuu kutrade watu wanaona kugumu mwendo wa mentorship ndo wanaharibu hawa
amna mkuu wewe ingia, sisi tukikwambia apa unaona kama hatuna akili ndo maaana nakwambia ingia mzigon piga ela
 
Duuu watu wapigaji huku kishenzi first 100 personal ndo wanaotakiwa kutoa 150$.
Hiyo 150$×100=15000$ kwa hela za madafu million 40
Kama nakuelewa hivi huu utapeli wa kiwango cha SGR
ingia mzigon ndo utapata experience apa ata tukikuelzea vp kama hujaamua kuelewa utakua mbishi ivo ivo ndo maana nkakwambia ingia mzigon ili baadae ukiwa unaongea uongee from experience
 
Back
Top Bottom