jiepushe na maneno ya mtu wa forex, unapangwa unapangika mpaka utalipa feesNi kweli mkuu?
hii ndo fan ambayo ni most rewarding ukiipatia au still usanii tu
🤣🤣🤣 sisi kama ulivokutakia all the best before! you will learn the hard wayMkuu stake high research yangu inaonyesha sasa kuwa uwezekano wa kutoboa kwenye hii Carrier upo ,sio kama unavyoaminisha ila shughuli yake mpk utoboe ndo pevu kweli kweli.
stupid words 🤣 🤣 🤣 🤣 ! izi zote kuonyesha watu kwamba wapo serious na forex, mm nakupa shortcut NO ONE CAN MAKE A LIVING FROM FOREX, exchange rates are there to be used for international trade na nchi sio kupata ela! lakini pia its better ukaingia maaana ata nkikuelezea utaona kama sna akili, wewe ingia sisi tupo apaI started levelling up when stopped accepting excuses I made for myself.
Trading broke me down mentally before it made me.
I knew I was going to be a successful trader.
Never doubted it. Even when I didn’t know how.
I knew multiple profitable traders personally. I knew what was possible. I also knew how hard they worked.
I decided to work harder. I decided to work longer hours. By my calculations if I put in more hours I would get to my goals at a more efficient pace. It worked.
The results I was wanting was in the work I was avoiding.
It is a hard game. Don’t let anyone tell you any different. But it’s also possible to achieve great things in this game.
Others before you have done it. You can too. Don’t think any different. Put in the work.
Mkuu wapi unapata sure event hukoBetting ni mchezo wa kubahatisha....it is not a sure event.
Kwenye kulipa fees mi hawanipati nitakua nachukua kidg kidg YouTube wakifika sehem ya fees nakula konajiepushe na maneno ya mtu wa forex, unapangwa unapangika mpaka utalipa fees
stupid words 🤣 🤣 🤣 🤣 ! izi zote kuonyesha watu kwamba wapo serious na forex, mm nakupa shortcut NO ONE CAN MAKE A LIVING FROM FOREX, exchange rates are there to be used for international trade na nchi sio kupata ela! lakini pia its better ukaingia maaana ata nkikuelezea utaona kama sna akili, wewe ingia sisi tupo apa
Mkuu we kabishistupid words 🤣 🤣 🤣 🤣 ! izi zote kuonyesha watu kwamba wapo serious na forex, mm nakupa shortcut NO ONE CAN MAKE A LIVING FROM FOREX, exchange rates are there to be used for international trade na nchi sio kupata ela! lakini pia its better ukaingia maaana ata nkikuelezea utaona kama sna akili, wewe ingia sisi tupo apa
Nitaleta mrejesho hapa tarehe 24 December 2025 Mungu aendelee kutupa pumzistupid words 🤣 🤣 🤣 🤣 ! izi zote kuonyesha watu kwamba wapo serious na forex, mm nakupa shortcut NO ONE CAN MAKE A LIVING FROM FOREX, exchange rates are there to be used for international trade na nchi sio kupata ela! lakini pia its better ukaingia maaana ata nkikuelezea utaona kama sna akili, wewe ingia sis
sawa kijanaNitaleta mrejesho hapa tarehe 24 December 2025 Mungu aendelee kutupa pumzi
Kwahiyo mkuu note vema hiyo tarehe tajwa hapo juu kutakua na MREJESHO konki kwelii kwelii iwe nimebutua au nimebutuliwa sitasita kuweka mrejesho hapa nilichokutana nacho
Kwahiyo wale wanaoshika maburugutu nje nje pale tunduma boda kuuza kwacha wanafanya bure bure?stupid words 🤣 🤣 🤣 🤣 ! izi zote kuonyesha watu kwamba wapo serious na forex, mm nakupa shortcut NO ONE CAN MAKE A LIVING FROM FOREX, exchange rates are there to be used for international trade na nchi sio kupata ela! lakini pia its better ukaingia maaana ata nkikuelezea utaona kama sna akili, wewe ingia sisi tupo apa
hio inaitwa FOREX EXCHANGE sio FOREX TRADINGKwahiyo wale wanaoshika maburugutu nje nje pale tunduma boda kuuza kwacha wanafanya bure bure?
Maana nao wanawawezesha watu kupata exchange pale
Na ndo biashara pekee yenye faida, sio wa mpakani tu na benki wanafanya ama byuro! biashara nzuri sana ila iko limited na kiasi unachoweza kubeba!Kwahiyo wale wanaoshika maburugutu nje nje pale tunduma boda kuuza kwacha wanafanya bure bure?
Maana nao wanawawezesha watu kupata exchange pale
Mkuu we muongo sana vipi na haka kabint 21 years ila kutupiga gepu kwelii kweli kanafanya trading ww unayobisha.hio inaitwa FOREX EXCHANGE sio FOREX TRADING
unajua tushakuelezea sana, sasa imebaki wewe kuingia ulingo na kufanya maamuzi yako binafsi maaana ata nkikuelezea vp bado utaniona muongoMkuu we muongo sana vipi na haka kabint 21 years ila kutupiga gepu kwelii kweli kanafanya trading ww unayobisha.
Japo niko namfutalia nione kama hachaji hela nae ila kwaa research ya haraka hatozi
Mkuu huenda ww sio muongo ila kwa vile hujawah kutanana live na mtu aliyetoboa huko ambaye hana makandokando, kama vile VIP signal sijui, robots kuuzza.unajua tushakuelezea sana, sasa imebaki wewe kuingia ulingo na kufanya maamuzi yako binafsi maaana ata nkikuelezea vp bado utaniona muongo
Tukutane. 24 December 2025 kwa MREJESHOunajua tushakuelezea sana, sasa imebaki wewe kuingia ulingo na kufanya maamuzi yako binafsi maaana ata nkikuelezea vp bado utaniona muongo
Sasa shida iko wapi maana ya hii ya mtandao inakuwa on the spot quickly reaction.Small movement watu wanapata hela kwenye difference in price.Na ndo biashara pekee yenye faida, sio wa mpakani tu na benki wanafanya ama byuro! biashara nzuri sana ila iko limited na kiasi unachoweza kubeba!