Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Forex training regional tour - mkoa mmoja baada ya mwingine

Kwa sababu umeamua kunitusi.Ngoja nianze hivi. FOREX IMENIZIDI SANA UMRI ILA SIO UPATU KTK FOREX. Hata sabuni imenizidi umri ila sio upatu wa sabuni unaofanywa nyuma ya sabuni. Sasa nipe analysis hapa ya MChakato mzima wa kujiunga hadi kutengeneza pesa na mimi nikupe facts zote.



Kumbe hata mchakato wa kuanza kusoma kupata training na kufungua account na broker kisha kufund account yako na kuanza kutrade hujui halafu unathubutu kusema ni Upatu....Mimi nilidhani unajua mchakato mzima na umeupima ukaona ni Upatu ndo maana ukadiriki kusema ni Upatu....kumbe hata mchakato huujui halafu unathubutu kusema ni Upatu.

Siwezi kuendelea na wewe maana wanasema no research no right to speak.

Nakushauri ufanye kwanza research Kuhusu kinachoendelea halafu ndo uje na hzi ngonjera zako vinginevyo watu watakuona hujui kitu.

Na kwa vile wewe ndo umeamua kusema ni scam sio kazi yangu kukuelezea mchakato hilo ni jukumu lako la kutafuta huo mchakato ili uaminishe umma kuwa ni scam kama ambavyo unasema.
 
Daaah nimehuzunika kweli kweli hasa kwa heshima nliyokua nakupa kulingana na michango yako kule kwenye siasa...
ni kawaida kwa watu waliokwisha sisimka kusikitika.Na ukishakuwa to naive ndipo unapopigwa.Tupo hapa kwa muda mrefu kidogo stay tuned.Nimependa huyo alienirukia aanze kutoa mcahkato mzima ili nimuonyeshe kinachompeleka race ni kurukwa na akili.Na kupata hela ni hatua ya mwanzo tuu ya upatu ambayo bado kuna wa kushika.Ikifikia pabaya wa mwisho ndio huwa anafunga mlango wa hasara.
 
ni kawaida kwa watu waliokwisha sisimka kusikitika.Na ukishakuwa to naive ndipo unapopigwa.Tupo hapa kwa muda mrefu kidogo stay tuned.Nimependa huyo alienirukia aanze kutoa mcahkato mzima ili nimuonyeshe kinachompeleka race ni kurukwa na akili.Na kupata hela ni hatua ya mwanzo tuu ya upatu ambayo bado kuna wa kushika.Ikifikia pabaya wa mwisho ndio huwa anafunga mlango wa hasara.



Mwenyenzi Mungu mfungue huyu mja wako akili maana shetani amechukia ufahamu wake.
 
Kumbe hata mchakato wa kuanza kusoma kupata training na kufungua account na broker kisha kufund account yako na kuanza kutrade hujui halafu unathubutu kusema ni Upatu....Mimi nilidhani unajua mchakato mzima na umeupima ukaona ni Upatu ndo maana ukadiriki kusema ni Upatu....kumbe hata mchakato huujui halafu unathubutu kusema ni Upatu.

Siwezi kuendelea na wewe maana wanasema no research no right to speak.

Nakushauri ufanye kwanza research Kuhusu kinachoendelea halafu ndo uje na hzi ngonjera zako vinginevyo watu watakuona hujui kitu.

Na kwa vile wewe ndo umeamua kusema ni scam sio kazi yangu kukuelezea mchakato hilo ni jukumu lako la kutafuta huo mchakato ili uaminishe umma kuwa ni scam kama ambavyo unasema.
temper tempe kijana acha papara,sikunyimi kushika mandezi,wajinga duniani hawataisha.Ila wanaowaibia haiwapi haki. Na kuwa mjinga ukapiga watu pasi ukiamini ni tiba bora na jambo zuri,haikupi usahihi ktk hilo.


Kwanini usingeanza kuflow tuu wewe mjuaji?Ili utuonyeshe step by step kuwa unajua unachofanya na uachomwambia mtu ni kitu halisi na sio hamu ya kutaka hela yake tuu.?Najua upatu ni km dini, huwa mnapewa kinga ya akili msikombolewe. Mnapigwa fix kuwa ni fursa, na kutojituma ndio umasikini wako, sijui mtu asiye positive,kata nae mawasiliano.Ila mwishow ake nyie ndio watumiaji wa bidhaa mkidanganywa ni wajasiria mali.
 
temper tempe kijana acha papara,sikunyimi kushika mandezi,wajinga duniani hawataisha.Ila wanaowaibia haiwapi haki. Na kuwa mjinga ukapiga watu pasi ukiamini ni tiba bora na jambo zuri,haikupi usahihi ktk hilo.


Kwanini usingeanza kuflow tuu wewe mjuaji?Ili utuonyeshe step by step kuwa unajua unachofanya na uachomwambia mtu ni kitu halisi na sio hamu ya kutaka hela yake tuu.?Najua upatu ni km dini, huwa mnapewa kinga ya akili msikombolewe. Mnapigwa fix kuwa ni fursa, na kutojituma ndio umasikini wako, sijui mtu asiye positive,kata nae mawasiliano.Ila mwishow ake nyie ndio watumiaji wa bidhaa mkidanganywa ni wajasiria mali.


Nimeshakuombea kwa Mwenyenzi Mungu akurudishie ufahamu ambao shetani ameuchukua.
 
Go ahead mkuu

I need one of you to teach me as you have been taught by Ontario.

i ask you to teach me step by stop because to reach where the course is carrying on is impossible to me due to the academic reason..

please can you volunteers to teach me online and offline.
 
Nimehudhulia training pale tmt and am thankful for that, naweza nkakusaidia Hv elimu ya forex inayotolewa pale haihitaj uwe na elimu kubwa ila uwe na uwezo wa kuelewa kizungu [emoji12] kwasabab lugha ya kufundishia ndo hyo
Kama upo vzur there is nothing to worry about just attend na the best service they offer ni mentorship aisee ni kitu kikubwa Sana ambacho wanakupatia yan market engineer atakapoona kuna opportunity sokon ata kuinform chap mnaingia sokon mnadownload pesa pamoja.
Ontario popote ulipo ubarikiwe Sana kwa kutuletea ukomboz watz [emoji120]
Mkuu inabidi nikutafute aise,nimehamasika
 
ni kawaida kwa watu waliokwisha sisimka kusikitika.Na ukishakuwa to naive ndipo unapopigwa.Tupo hapa kwa muda mrefu kidogo stay tuned.Nimependa huyo alienirukia aanze kutoa mcahkato mzima ili nimuonyeshe kinachompeleka race ni kurukwa na akili.Na kupata hela ni hatua ya mwanzo tuu ya upatu ambayo bado kuna wa kushika.Ikifikia pabaya wa mwisho ndio huwa anafunga mlango wa hasara.
Screenshot_20171008-195350.png
 
Hii kitu naifatiliaga sana na kiela cha kuchezea kwenye hii trading ila nashindwa nianze vip, maana tangu ontoria andike uzi wa kwanza siku iyo nilikuwa wa kwanza kuisoma ata watu hawajacoment, nipeni ata mwongozo nianze vip jamani chonde chonde
 
ni kawaida kwa watu waliokwisha sisimka kusikitika.Na ukishakuwa to naive ndipo unapopigwa.Tupo hapa kwa muda mrefu kidogo stay tuned.Nimependa huyo alienirukia aanze kutoa mcahkato mzima ili nimuonyeshe kinachompeleka race ni kurukwa na akili.Na kupata hela ni hatua ya mwanzo tuu ya upatu ambayo bado kuna wa kushika.Ikifikia pabaya wa mwisho ndio huwa anafunga mlango wa hasara.
Mkuu nadhan sasa ni vyema tukakubali kuto kukubaliana!!

Kama wewe unaona ni utapeli basi tuache sisi tukomae na huu utapeli na kama ni kutapeliwa haijaanza leo maana hata SIRIKALI imetutapeli na kutudanganya...

ACHA TUPAMBANE NA HALI ZETU MKUU!!
 
vipi mmekimbia, mna haraka kwenda ibiwa kwa vile wanaowatapeli wanawaambia kuwa mnatengeneza pesa?NIlitaka uliza hiyo pesa kwenye huo mtandao zinatengezwa vipi?Wamesajiliwa wapi, address ya marekani ni virtual au real physical address?Je michango ya mwezi na hela kufundishwa ni ya nini km hela zinaingia kwa kufanya exchange ? wana hisa wapi new york stock exchange,nasqad au wapi pennye security ya hela.nani mwanzilishi wa hiyo business.Hiyo real time stock data wan aggregare toka source gani? Kwanini membership fees ukistop kuchangia unatoka km unaingiza faida. je hao jamaa wapo nchi gani nyingine ya asia?Malaysia,philipines,brazil, indonesia, thailand ndio mbingu za upatu.Kwa vile huko hakuna sheria, na raisa wanataka utajiri wa haraka. Wengi wao ndio wateja ila wanaaminishwa kuwa wajasiria mali.Wanaopata hela ni wale waliongia mapema wanaochelewa lazim ile kwao.

Kmapuni yeyote yenye physical Address marekani unaweza check na report za FBI, kwa vile FBI huwa hawaachi.Upatu ni haramu marekani.Ila virtual address ni jina tuu ila kampuni haipo nchini marekani.
 
vipi mmekimbia, mna haraka kwenda ibiwa kwa vile wanaowatapeli wanawaambia kuwa mnatengeneza pesa?NIlitaka uliza hiyo pesa kwenye huo mtandao zinatengezwa vipi?Wamesajiliwa wapi, address ya marekani ni virtual au real physical address?Je michango ya mwezi na hela kufundishwa ni ya nini km hela zinaingia kwa kufanya exchange ? wana hisa wapi new york stock exchange,nasqad au wapi pennye security ya hela.nani mwanzilishi wa hiyo business.Hiyo real time stock data wan aggregare toka source gani? Kwanini membership fees ukistop kuchangia unatoka km unaingiza faida. je hao jamaa wapo nchi gani nyingine ya asia?Malaysia,philipines,brazil, indonesia, thailand ndio mbingu za upatu.Kwa vile huko hakuna sheria, na raisa wanataka utajiri wa haraka. Wengi wao ndio wateja ila wanaaminishwa kuwa wajasiria mali.Wanaopata hela ni wale waliongia mapema wanaochelewa lazim ile kwao.

Kmapuni yeyote yenye physical Address marekani unaweza check na report za FBI, kwa vile FBI huwa hawaachi.Upatu ni haramu marekani.Ila virtual address ni jina tuu ila kampuni haipo nchini marekani.


Nilikuwa siamini kuwa we ni mtupu kiasi hiki kichwani....Khaaaaa...unatia kinyaa mkuu...umeandika maneno mengiiii....mashudu tupu.
 
vipi mmekimbia, mna haraka kwenda ibiwa kwa vile wanaowatapeli wanawaambia kuwa mnatengeneza pesa?NIlitaka uliza hiyo pesa kwenye huo mtandao zinatengezwa vipi?Wamesajiliwa wapi, address ya marekani ni virtual au real physical address?Je michango ya mwezi na hela kufundishwa ni ya nini km hela zinaingia kwa kufanya exchange ? wana hisa wapi new york stock exchange,nasqad au wapi pennye security ya hela.nani mwanzilishi wa hiyo business.Hiyo real time stock data wan aggregare toka source gani? Kwanini membership fees ukistop kuchangia unatoka km unaingiza faida. je hao jamaa wapo nchi gani nyingine ya asia?Malaysia,philipines,brazil, indonesia, thailand ndio mbingu za upatu.Kwa vile huko hakuna sheria, na raisa wanataka utajiri wa haraka. Wengi wao ndio wateja ila wanaaminishwa kuwa wajasiria mali.Wanaopata hela ni wale waliongia mapema wanaochelewa lazim ile kwao.

Kmapuni yeyote yenye physical Address marekani unaweza check na report za FBI, kwa vile FBI huwa hawaachi.Upatu ni haramu marekani.Ila virtual address ni jina tuu ila kampuni haipo nchini marekani.
Mkuu wangu unajivua nguo mchana kweupe... Yani kweupe peee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom