CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,950
- 9,509
Mara moja moja jisifie mwenyewe make hata ONTATIO huwa anajisifia mwenyewe.unajua we jamaa ni mnafiki sana tena sana achaga ujinga we ni mtu mzima kaa tuliza akili yako kama ni mafanikio kweny ujasiria mali dogo ame kupiga Gape kubwa
tena kubwa sana lakini kutwa kumu anzishia thread za kimafumbo na kumsema kama mwanaume si ufunguke tuu??
kwann usi jifunze kutoka kwake zaidi unacho kifanya ni kupita kwny nyuz zake na kutia shombo kama una fahamu lolote si useme na wap ume ona watu wame shikiwa akili zao?
kweny hii Forum ya biashara na uchumi ume jaza post nyng tu kuna nzuri za kuelimisha na kuna za waz waz za kumkashifu mwana kima fumbo mafumbo m nakuelewa vizur sana lakin unacho kifanya jua sio sahihi kama kuna kitu una jua Funguka apa as a man sio unavo fanya ww kina fiki!!!!
Sasa je wewe nani atakusifia? au ukisha shikiwa akili lazima ukeshe kusifia wanaume wenzako?
Mwanaume hasifii mwanaume mwenzake hiyo ni kazi ya wanawake kusifia na pia ni kazi ya watu wavivu.
Uko sawa? wacha kusifia bali jisifie hata MO huwa anajifisia mara nyingi sana
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app